Uchaguzi wa Spika huenda usifanyike, kesi ya Mbatia juu ya ukiukwaji wa Katiba katika kupatikana Spika mpya inaanza kusikilizwa

Uchaguzi wa Spika huenda usifanyike, kesi ya Mbatia juu ya ukiukwaji wa Katiba katika kupatikana Spika mpya inaanza kusikilizwa

Kwa hiyo mahakama watajenga hoja kwamba hawawezi kuingilia maswala ya mhimili mwingine, siyo? vipi swala la kuvunja katiba.....
Ndivyo watakavyojibu. Japo kwa mujibu wa Katiba ya JMT, mhimili wa mahakama, ndio the custodian wa Katiba. Bunge lilitunga sheria
batili ya kipengele cha mgombea uongozi kudhaminiwa na chama cha siasa, Mtikila akafungua kesi Mahakama Kuu kupinga kipengele hicho, akashinda, Mahakama Kuu ikatoa uamuzi kipengele hicho ni batili kwasababu kinakwenda kinyume cha katiba. Serikali ikakata rufaa, ikashindwa.

Ili kumkomoa Mtikila na kuidharau mahakama, Serikali ikapeleka bungeni sheria ya mabadiliko ya katiba kwa hati ya dharura na kukichomeka kipengele hicho batili ndani ya katiba, ili kuhalalisha sasa kiko kikatiba. Mtikila akapinga tena na akashinda tena kwa mahakama kutamka mabadiliko hayo ya katiba ni mabadiliko batili.

Serikali ikakata rufaa na mahakama ya rufaa Tanzania ikafikia uamuzi wa ajabu kuwahi kutokea Tanzania, ikatamka Mahakama haina uwezo wa kuliingilia Bunge na
kupinga kipengele chochote Bunge lilichokiingiza kwenye ndani ya katiba!.
P
 
Kila nikisoma katiba sioni popote ilipokiukwa, nami ni msomaji mzuri sana wa katiba, and I know how to read and interpret it!!

Lakini hata ikionekana imekiukwa, shughuli za nchi LAZIMA ziendelee!! Na shughuli za nchi haziwezi kuendelea pasipo na bunge hasa ukizingatia tunaelekea msimu wa Bunge la Bajeti, kwahiyo kesi itatupwa tu!
Katibu wa bunge hakuandikiwa barua na jobo bali alipewa nakala
 
Ndivyo watakavyojibu. Japo kwa mujibu wa Katiba ya JMT, mhimili wa mahakama, ndio the custodian wa Katiba. Bunge lilitunga sheria
batili ya kipengele cha mgombea uongozi kudhaminiwa na chama cha siasa, Mtikila akafungua kesi Mahakama Kuu kupinga kipengele hicho, akashinda, Mahakama Kuu ikatoa uamuzi kipengele hicho ni batili kwasababu kinakwenda kinyume cha katiba. Serikali ikakata rufaa, ikashindwa.

Ili kumkomoa Mtikila na kuidharau mahakama, Serikali ikapeleka bungeni sheria ya mabadiliko ya katiba kwa hati ya dharura na kukichomeka kipengele hicho batili ndani ya katiba, ili kuhalalisha sasa kiko kikatiba. Mtikila akapinga tena na akashinda tena kwa mahakama kutamka mabadiliko hayo ya katiba ni mabadiliko batili.

Serikali ikakata rufaa na mahakama ya rufaa Tanzania ikafikia uamuzi wa ajabu kuwahi kutokea Tanzania, ikatamka Mahakama haina uwezo wa kuliingilia Bunge na
kupinga kipengele chochote Bunge lilichokiingiza kwenye ndani ya katiba!.
P
Hili ndo sawa na lile la mgombea huru, kiasi kwamba chama kinapata nguvu ya kumwondoa spika madarakani wakati ni nafasi iliyopo kikatiba na spika hakai pale kwa ajili ya maslahi ya chama bali nchi, ndo maana anapigiwa kura na wabunge wote wakiwemo wa upinzani........kwa hiyo anakuwa spika wa bunge siyo chama.​
 
Hili ndo sawa na lile la mgombea huru, kiasi kwamba chama kinapata nguvu ya kumwondoa spika madarakani wakati ni nafasi iliyopo kikatiba na spika hakai pale kwa ajili ya maslahi ya chama bali nchi, ndo maana anapigiwa kura na wabunge wote wakiwemo wa upinzani........kwa hiyo anakuwa spika wa bunge siyo chama.​
Naunga mkono hoja kwa asilimia 100 na hapa ndipo JYN alipobugi step kupeleka barua ya kujiuzulu chamani badala ya bungeni.
P
 
Katibu wa bunge hakuandikiwa barua na jobo bali alipewa nakala
Wewe, mimi na wengine tulichoona ni taarifa na sio barua! On top of that, katiba haisemi suala la barua bali:-149(1)(c)

Mtu yeyote mwenye dhamana ya kazi yoyote iliyoanzishwa na Katiba hii (pamoja na kazi ya Waziri, Naibu Waziri au Mbunge, isipokuwa Mbunge ambaye ni Mbunge kwa mujibu wa madaraka ya kazi yake, aweza kujiuzulu kwa kutoa taarifa iliyoandikwa na kutiliwa sahihi kwa mkono wake, kwa kufuata masharti yafuatayo: iwapo mtu huyo ni Spika au Naibu wa Spika wa Bunge, basi taarifa hiyo ya kujiuzulu ataiwasilisha kwenye Bunge;

Sijui tofauti ni nini lakini kwa maoni yangu, barua ni office doc. Kwahiyo mwenye mamlaka husika akiandikiwa barua ya kujiuzulu, kinachoafuata ni mamlaka hiyo kutoa taarifa ya kujiuzulu mhusika kama barua ilivyosema!! Hiyo taarifa ndiyo itawekwa public na sio barua!

All in all, point kubwa hapa ni kwamba: HAIJALISHI kwamba taratibu zimefuatwa au zimepindishwa! Kama ikionekana taratibu zimepindishwa, kitakachofuata hapo ni kutafuta sababu yoyote including legal technicalities za kuhalalisha kesi kutupwa!
 
Wewe, mimi na wengine tulichoona ni taarifa na sio barua! On top of that, katiba haisemi suala la barua bali:-149(1)(c)

Mtu yeyote mwenye dhamana ya kazi yoyote iliyoanzishwa na Katiba hii (pamoja na kazi ya Waziri, Naibu Waziri au Mbunge, isipokuwa Mbunge ambaye ni Mbunge kwa mujibu wa madaraka ya kazi yake, aweza kujiuzulu kwa kutoa taarifa iliyoandikwa na kutiliwa sahihi kwa mkono wake, kwa kufuata masharti yafuatayo: iwapo mtu huyo ni Spika au Naibu wa Spika wa Bunge, basi taarifa hiyo ya kujiuzulu ataiwasilisha kwenye Bunge;

Sijui tofauti ni nini lakini kwa maoni yangu, barua ni office doc. Kwahiyo mwenye mamlaka husika akiandikiwa barua ya kujiuzulu, kinachoafuata ni mamlaka hiyo kutoa taarifa ya kujiuzulu mhusika kama barua ilivyosema!! Hiyo taarifa ndiyo itawekwa public na sio barua!

All in all, point kubwa hapa ni kwamba: HAIJALISHI kwamba taratibu zimefuatwa au zimepindishwa! Kama ikionekana taratibu zimepindishwa, kitakachofuata hapo ni kutafuta sababu yoyote including legal technicalities za kuhalalisha kesi kutupwa!
Kesi itatupwa hilo halina mjadala,ila kauli ya ndugai ni kwamba alimuandikia katibu wa chama chake,hayo aliyasema kwa kinywa chake,na katibu wa ccm akasema amepokea barua yake,sio nakala,hakuna sehemu alisema amemuandikia katibu wa bunge,hii inashangaza
 
Nchi hii haiishi vituko !!
Kusoma wengi wanajua, tatizo ni kuelewa kilichokusudiwa. Kuna mambo mawili yaliyokosewa:

1) Spika anayejiuzulu atalitaarifu Bunge

2) Kuna watu ambao hawaruhusiwi kugombea nafasi ya spika wakiwa bado kwenye nafasi zao, naibubspika ni mmojawapo.
Tanzania ni nchi pekee ambayo Sheria hupindishwa makusudi kuisaidia CCM na dola iendelee kutawala itakavyo. Refer kesi zote za Mtikila kuhusu mgombea binafsi nini kilitokea.
 
Kesi itatupwa hilo halina mjadala,ila kauli ya ndugai ni kwamba alimuandikia katibu wa chama chake,hayo aliyasema kwa kinywa chake,na katibu wa ccm akasema amepokea barua yake,sio nakala,hakuna sehemu alisema amemuandikia katibu wa bunge,hii inashangaza
Ndo tunarudi pale pale... sidhani kama kuna kosa hapo limefanyika. Tusisahau, Ndugai ni Spika ambae jina lake lilipitishwa na chama.

At the same time, Kanuni ya 7 ya Bunge, Kifungu cha 3 kuhusu utaratibi wa uteuzi na uchaguzi wa Spika inasema:-
Spika.png


Kumbe, Spika, kwa muktadha huu Ndugai, wala sio kwamba alipeleka mwenyewe jina lake kwa Katibu wa BUnge bali CHAMA chake ndicho kiliwasilisha jina la Ndugai kwa Katibu wa Bunge!!

Sasa Spika anapotaka kujiuzulu, sioni ni namna gani atapeleka barua moja kwa moja kwa Katibu wa Bunge badala ya kupeleka barua kwa chama chake kwamba "...ile kazi mliyonituma, imenishinda"!

Sasa chama kikishapata barua ya mtu ambae ilimtuma akawe spika kwamba anajiuzulu, ndipo nacho kitaandika taarifa kuipeleka kwa Katibu wa Bunge kwamba "yule mtu ambae tuliwaletea, effective to this date" amejiuzulu nafasi yake ya uspika!

Taarifa kama hiyo pia itawekwa public. Katibu wa Bunge nae akishapata taarifa atalitaarifu bunge na umma!
 
Ndo tunarudi pale pale... sidhani kama kuna kosa hapo limefanyika. Tusisahau, Ndugai ni Spika ambae jina lake lilipitishwa na chama.

At the same time, Kanuni ya 7 ya Bunge, Kifungu cha 3 kuhusu utaratibi wa uteuzi na uchaguzi wa Spika inasema:-
View attachment 2095216

Kumbe, Spika, kwa muktadha huu Ndugai, wala sio kwamba alipeleka mwenyewe jina lake kwa Katibu wa BUnge bali CHAMA chake ndicho kiliwasilisha jina la Ndugai kwa Katibu wa Bunge!!

Sasa Spika anapotaka kujiuzulu, sioni ni namna gani atapeleka barua moja kwa moja kwa Katibu wa Bunge badala ya kupeleka barua kwa chama chake kwamba "...ile kazi mliyonituma, imenishinda"!

Sasa chama kikishapata barua ya mtu ambae ilimtuma akawe spika kwamba anajiuzulu, ndipo nacho kitaandika taarifa kuipeleka kwa Katibu wa Bunge kwamba "yule mtu ambae tuliwaletea, effective to this date" amejiuzulu nafasi yake ya uspika!

Taarifa kama hiyo pia itawekwa public. Katibu wa Bunge nae akishapata taarifa atalitaarifu bunge na umma!
 
Yh
Ndo tunarudi pale pale... sidhani kama kuna kosa hapo limefanyika. Tusisahau, Ndugai ni Spika ambae jina lake lilipitishwa na chama.

At the same time, Kanuni ya 7 ya Bunge, Kifungu cha 3 kuhusu utaratibi wa uteuzi na uchaguzi wa Spika inasema:-
View attachment 2095216

Kumbe, Spika, kwa muktadha huu Ndugai, wala sio kwamba alipeleka mwenyewe jina lake kwa Katibu wa BUnge bali CHAMA chake ndicho kiliwasilisha jina la Ndugai kwa Katibu wa Bunge!!

Sasa Spika anapotaka kujiuzulu, sioni ni namna gani atapeleka barua moja kwa moja kwa Katibu wa Bunge badala ya kupeleka barua kwa chama chake kwamba "...ile kazi mliyonituma, imenishinda"!

Sasa chama kikishapata barua ya mtu ambae ilimtuma akawe spika kwamba anajiuzulu, ndipo nacho kitaandika taarifa kuipeleka kwa Katibu wa Bunge kwamba "yule mtu ambae tuliwaletea, effective to this date" amejiuzulu nafasi yake ya uspika!

Taarifa kama hiyo pia itawekwa public. Katibu wa Bunge nae akishapata taarifa atalitaarifu bunge na umma!
Kanuni ya kujiuzulu iko wazi barua inapelekwa kwa katibu wa bunge
 
CCM tumemleta mtu wetu yeye nani kikalogosi anaipangia CCM nn cha kufanya? Naomba akachunguzwe uraia wake huenda akawa wa Kagame huyu na ndio maana haoni umuhimu wake
 
Katibu wa bunge hakuandikiwa barua na jobo bali alipewa nakala

Hivi kile kilichoonekana kwa umma si lilikuwa ni tangazo la kujivua uspika na sio nakala ya barua ya kujivua uspika?

Walengwa wa lile tangazo walikuwa ni watu wote (umma wa Watanzania)
 
Hivi kile kilichoonekana kwa umma si lilikuwa ni tangazo la kujivua uspika na sio nakala ya barua ya kujivua uspika?

Walengwa wa lile tangazo walikuwa ni watu wote (umma wa Watanzania)
Tangazo linasema amemwandikia barua ya kujiuzuli katibu wa ccm ,hasemi katibu wa bunge???????
 
Huenda usifanyike?!

LAZIMA ufanyike kwa sababu, Katiba ya JMT Ibara ya 84(8) inasema:-

Kwahiyo there's no way shughuli za bunge zitasimama eti kisa Mbatia kafungua kesi wakati solution ni kuisikiliza sauti, na watakachofanya mahakama ni kujenga hoja kwamba kesi haina msingi, kwahiyo uchaguzi uendelee!!
Katiba inasemaje.Nadhani Mbatia ana hoja,sio zuzu kama akina Mbowe.Anyway ngoje niangalie Katiba inasemaje kuhusu hili,I will come back.
 
Back
Top Bottom