Hebu tuone nani mbabe kwa menzake naona ni mechi kati ya Mahakama na BungeKama kweli katiba ilikiukwa juu ya kupatikana spika basi Mahakama kuu itende haki na uchaguzi wa spika usifanyike. Mahakama iwe huru na kufanya kazi yake.View attachment 2094670
Huwa napenda sana unavyotetea hoja na kuambatanisha na threads zako. Naishangaa serikali kwanini haikuajiri ukapambane na kina Kibwatala. Maana hakika sijaona mpinzani wako kwenye ujuvi wa sheria....Bunge ni mhimili, kufuatia kutokuwepo checks and balance, mahakamani yetu sio tuu haita entertain hiyo kesi, bali haita thubutu hata to summon the legistlature with a court summons, hata Bunge livunje vipi katiba!.
Hivyo mchakato wa kukamilisha tuu taratibu za kumthibitisha Spika Tulia utaendelea as if nothing happened.
Rejea
PNani Zaidi Kati ya Bunge na Mahakama?!. The Doctrine of "Separation of Powers" Nothing, Just a Myth!
Wanabodi, Leo Tarehe, 26/11/2014 ni siku ya kihistoria kwa taifa letu la Tanzania, kwa sababu siku hii, inaanza kwa mtanange muhimu kuliko hata mjadala wa katiba, huu ni mtanange wa kupimana ubavu kati ya vyombo vikuu viwili vya Dola, Bunge, na Mahakama, Nani Zaidi?!. Bunge limetangaza...www.jamiiforums.com
Ukipitia kwenye posts zangu zingine, utaona nimeweka vifungu vya katiba, na post ya mwisho (b4 this) nikaweka kanuni ya bunge!Katiba inasemaje.Nadhani Mbatia ana hoja,sio zuzu kama akina Mbowe.Anyway ngoje niangalie Katiba inasemaje kuhusu hili,I will come back.
Katiba haisemi barua inasema taarifa! Sasa kama barua na taarifa ni kitu kile kile, then well and good, na ndo maana nikasema hapo zitatafutwa loopholses zozote!Yh
Kanuni ya kujiuzulu iko wazi barua inapelekwa kwa katibu wa bunge
Kuna kanuni za kudumu za bunge zinaelezea hivyoKatiba haisemi barua inasema taarifa! Sasa kama barua na taarifa ni kitu kile kile, then well and good, na ndo maana nikasema hapo zitatafutwa loopholses zozote!
Kanuni ninazo kitambo 👇👇 na nimezisomaKuna kanuni za kudumu za bunge zinaelezea hivyo
Soma katiba sura ya 148 (1) kisha unganisha na (c), ile (1) inaainisha kuwa kujiuzulu kufanyike kwa kuandika barua kwa mkono wake mwenyewe na kuweka sahihi yake. Kipengere (c) kinaainisha hiyo barua ipelekwe bungeni!! Ndugai hakufanya hivyo na nadhani hakufanya hivyo kwa makusudi kabisa!! Sasa hivi ataungwa mkono na makundi ya Chenge na wenzake waliopigwa chini kwenye mchakato wa uspika ndani ya ccm!!Kila nikisoma katiba sioni popote ilipokiukwa, nami ni msomaji mzuri sana wa katiba, and I know how to read and interpret it!!
Lakini hata ikionekana imekiukwa, shughuli za nchi LAZIMA ziendelee!! Na shughuli za nchi haziwezi kuendelea pasipo na bunge hasa ukizingatia tunaelekea msimu wa Bunge la Bajeti, kwahiyo kesi itatupwa tu!
Katiba iko wazi, spika anaejiuzulu, ataritaarifu bunge kwa barua original, na hatakiwi kutoa taarifa ya kujiuzulu kwenye chama chake kwanza , sharti aanze kwanza kutaarifu bunge KWABARUA ORIGINAL SIO COPY[emoji134][emoji23][emoji23]Kusoma wengi wanajua, tatizo ni kuelewa kilichokusudiwa. Kuna mambo mawili yaliyokosewa:
1) Spika anayejiuzulu atalitaarifu Bunge
2) Kuna watu ambao hawaruhusiwi kugombea nafasi ya spika wakiwa bado kwenye nafasi zao, naibubspika ni mmojawapo.
Au kishafanya,, maana katiba haibanishi kwamba lazima mtangaziwe[emoji23]Which means, of course, kwamba Mjuzulu JYN anaweza kufuata utaratibu wa kujiuzulu (unaomfaa mshtaki & mlalamikaji) even mwaka 2025, na Mheshimiwa Mbatia akaridhika tu!
Hivi kuna haja hata ya kufanya huo uchaguzi wa Supika?Bunge ni mhimili, kufuatia kutokuwepo checks and balance, mahakamani yetu sio tuu haita entertain hiyo kesi, bali haita thubutu hata to summon the legistlature with a court summons, hata Bunge livunje vipi katiba!.
Hivyo mchakato wa kukamilisha tuu taratibu za kumthibitisha Spika Tulia utaendelea as if nothing happened.
Katibu wa bunge alikiri kupokea barua ya kujiuzulu spika na ataisoma siku ya kwanza mbele ya bunge then patakua na uchaguzi wa spika, kuelekea siku hiyo ndiposa Naibu spika atajiuzulu na kuwa rasmi mgombea wa nafasi ya spikaSoma katiba sura ya 148 (1) kisha unganisha na (c), ile (1) inaainisha kuwa kujiuzulu kufanyike kwa kuandika barua kwa mkono wake mwenyewe na kuweka sahihi yake. Kipengere (c) kinaainisha hiyo barua ipelekwe bungeni!! Ndugai hakufanya hivyo na nadhani hakufanya hivyo kwa makusudi kabisa!! Sasa hivi ataungwa mkono na makundi ya Chenge na wenzake waliopigwa chini kwenye mchakato wa uspika ndani ya ccm!!
Katiba inasema vyote viwili sura 148(1) inasema barua iandikwe na isaniniwe kwa mkono wa mhusika. Baadaye kipengele (c) inasema hiyo taarifa (iliyo katika barua) ipelekwe bungeni!! Ndugai hakufanya hivyo!!Katiba haisemi barua inasema taarifa! Sasa kama barua na taarifa ni kitu kile kile, then well and good, na ndo maana nikasema hapo zitatafutwa loopholses zozote!
Vipi kama kesi ikisikilizwa na ikaonekana katiba ilikiukwa namna Spika alivyojiuzulu? Maana unaaza kutoa majibu kabla hata kesi haijasikilizwa.
Alikiri kupokea barua ya katibu mkuu wa ccm (ambaye hahusiki kabisa katika mchakato wa spika kujiuzulu). Alikiri pia kupokea nakala ya barua ya Ndugai!!Katibu wa bunge alikiri kupokea barua ya kujiuzulu spika na ataisoma siku ya kwanza mbele ya bunge then patakua na uchaguzi wa spika, kuelekea siku hiyo ndiposa Naibu spika atajiuzulu na kuwa rasmi mgombea wa nafasi ya spika
Kupata tiketi ya chama haina maana utakapokuwa spika utaendelea kuwa mtumwa wa chama. Ukishakuwa spika unawajibika kwa bunge na kwa nchi, siyo kwa chama ndo maana unapigiwa kura na wabunge wa vyama vyote.........jaribu kuelewa.Ndo tunarudi pale pale... sidhani kama kuna kosa hapo limefanyika. Tusisahau, Ndugai ni Spika ambae jina lake lilipitishwa na chama.
At the same time, Kanuni ya 7 ya Bunge, Kifungu cha 3 kuhusu utaratibi wa uteuzi na uchaguzi wa Spika inasema:-
View attachment 2095216
Kumbe, Spika, kwa muktadha huu Ndugai, wala sio kwamba alipeleka mwenyewe jina lake kwa Katibu wa BUnge bali CHAMA chake ndicho kiliwasilisha jina la Ndugai kwa Katibu wa Bunge!!
Sasa Spika anapotaka kujiuzulu, sioni ni namna gani atapeleka barua moja kwa moja kwa Katibu wa Bunge badala ya kupeleka barua kwa chama chake kwamba "...ile kazi mliyonituma, imenishinda"!
Sasa chama kikishapata barua ya mtu ambae ilimtuma akawe spika kwamba anajiuzulu, ndipo nacho kitaandika taarifa kuipeleka kwa Katibu wa Bunge kwamba "yule mtu ambae tuliwaletea, effective to this date" amejiuzulu nafasi yake ya uspika!
Taarifa kama hiyo pia itawekwa public. Katibu wa Bunge nae akishapata taarifa atalitaarifu bunge na umma!
Soma muktadha/context vizuri. Anaposema TAARIFA HIYO YA KUJIUDHURU ana-refer taarifa iliyoandikwa na kuwekwa sahihi kwa mkono wa spika!! Lazima hi hk kifungu cha 149 (1) c kisomwe chote kwa pamoja ili kupata muktadha vizuri!!Wewe, mimi na wengine tulichoona ni taarifa na sio barua! On top of that, katiba haisemi suala la barua bali:-149(1)(c)
Mtu yeyote mwenye dhamana ya kazi yoyote iliyoanzishwa na Katiba hii (pamoja na kazi ya Waziri, Naibu Waziri au Mbunge, isipokuwa Mbunge ambaye ni Mbunge kwa mujibu wa madaraka ya kazi yake, aweza kujiuzulu kwa kutoa taarifa iliyoandikwa na kutiliwa sahihi kwa mkono wake, kwa kufuata masharti yafuatayo: iwapo mtu huyo ni Spika au Naibu wa Spika wa Bunge, basi taarifa hiyo ya kujiuzulu ataiwasilisha kwenye Bunge;
Sijui tofauti ni nini lakini kwa maoni yangu, barua ni office doc. Kwahiyo mwenye mamlaka husika akiandikiwa barua ya kujiuzulu, kinachoafuata ni mamlaka hiyo kutoa taarifa ya kujiuzulu mhusika kama barua ilivyosema!! Hiyo taarifa ndiyo itawekwa public na sio barua!
All in all, point kubwa hapa ni kwamba: HAIJALISHI kwamba taratibu zimefuatwa au zimepindishwa! Kama ikionekana taratibu zimepindishwa, kitakachofuata hapo ni kutafuta sababu yoyote including legal technicalities za kuhalalisha kesi kutupwa!
Mkuu Consultant, nchi inaendeshwa kwa mujibu wa Katiba, sheria, taratibu na kanuni. Kilichofanyika katika uteuzi wa Dr. Tulia Akson ni utaratibu tuu ndani ya CCM. Baada ya utaratibu wa CCM kufuatwa, kila chama kitaleta mgombea wake aliyepatikana kwa mujibu wa taratibu za vyama na kumleta Bungeni ambapo sasa kanuni za Bunge kumchagua Spika lazima zifuatwe na Spika kuchaguliwa na hivyo Spika kuapa mbele ya Bunge na kuwa amepatikana kwa mujibu wa sheria, taratibu na kanuni.Hivi kuna haja hata ya kufanya huo uchaguzi wa Supika?
Harafu eti wabunge wa CCM watapigishwa kura za ndio au hapana kuchagua jina moja la mgombea wao. Mambo ya kijima kweli haya