mic zinawasumbua, wabunge wageni walitakiwa kufanyiwa orientation
OLE Sendeka ajiumbua, apoteza sifa ya UPIGANAJI.
Marando anaulizwa ana hama hama chama je akipewa upika hata hama??? Poor question toka kwa Olesendeka.
Anna abdalah analipiga chini
wageni mike sinawatoa ushamba, wangepewa shule kwanzawabunge wa CCM wanafanya fitina wanawasha mike zao ili ya Marando isisike.
hee..kumbe Mbunge tangu mwaka 1975 akiwakilisha vijana!....
Olesendeka! Mh Huyu Jamaa mbona anazeeka Vibaya
Mi naona zengwe limeanza mapema tu. Uchaguzi wanafanya kama watoto vile!