mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Tatizo lako unasikiliza maneno ya mitaani bila ushahidi wowote, ulipaswa kuonyeshwa hizo kura feki ambazo zimekamatwa katika masanduku ya kupigia kura, vyama husika vilipaswa kutoa ushahidi usiokua na shaka kwa kuonyesha tukio zima la kukamtwa hizo kura feki kwa kuambatanisho video, kama ambavyo wanaonyesha wanapopigwa mabomu na polisi.
Yako wapi na yamekatwa na nani?, ameripoti wapi?, lazima ukikamata jinai polisi lazima wahusishwe, nje ya hapo huo ni uhuni na udaku
Hawa ndio waliotuambia kwamba Hospitali zetu zimejaa wagonjwa wa Corona lakini serikali inaficha, hawahawa walituambia bungeni kuna Corona wakakimbia kwa siku 14 baadae wakarudi humo humo kwenye Corona, hawa walituambia kwamba tutashitakiwa kwa kuzuia makinikia, vipi leo ghafla unawaamini?.
Hawa watu ni wazandiki wakubwa sana, kama kweli hizo kura ni feki na walizikamata, ni kuzibiti tosha cha kupekeka mahakamani ili kufungua kesi ya kupinga matokeo, kwanini wasiende mahakamani kama wanaoushahidi mzuri kama huu?, wacheni kutulisha matango pori sisi ni watu wazima
Wacha kupoteza muda wako kwa kuweka vibandiko vya hovyo, hawa walio wengi ni wanasheria wanajua hatua zote za kuchukua kunapotokea jinai, waache uzandiki wao. Leo unatumia tweets zao kuthibitisha kama ni kweli, huyu Zinto si ndiye aliyetuaminisha kwamba Tanzania hali ya Corona ni mbaya sana? Huyu alikua akihojiwa BBC na kusema serikali inaficha wagonjwaa lakini madaktari na manesi wanekufa kwa wingi?, Zitto huyu huyu kabla hata Jua halijazama umeanza kumuamini?Ebu Soma HAPO.
polisi wamesemaje walipopelekewa mtuhumiwa wa kura feki?View attachment 1620144
Wacha kupoteza muda wako kwa kuweka vibandiko vya hovyo, hawa walio wengi ni wanasheria wanajua hatua zote za kuchukua kunapotokea jinai, waache uzandiki wao. Leo unatumia tweets zao kuthibitisha kama ni kweli, huyu Zinto si ndiye aliyetuaminisha kwamba Tanzania hali ya Corona ni mbaya sana?, huyu alikua akihojiwa BBC na kusema serikali inaficha wagonjwaa lakini madaktari na manesi wanekufa kwa wingi?, Zitto huyu huyu kabla hata Jua halijazama umeanza kumuamini?.
Kaka hata Lowassa aliposhindwa alidai kuibiwa kura, huo ni wimbo wa kawaida kwa aliyeshindwa, ni kama kulalamika kwamba maisha ni magumu, huo ni msemo wa kawaida hata Bakhressa na Rostam Aziz lazima watasema hivyo, kwasababu ni sifa mbaya kusema wewe ni tajiri mbele ya jamii, "don't take them serious "
nani hapa Tanzania nwenye jukumu kisheria kuthibitisha kama kweli kosa la jinai limetendeka kama sio mahakama? Punguza ushabiki usiokua na maana, kwanini umeamua kusikiliza na kushabikia upande mmoja?, wacha kujidhalilisha kiasi hicho watu watakudharauHivi NI kweli hauuoni huu wizi wa kura
Au ndo ukipenda chongo unaita kengeza?.
Ni kweli hauoni huo wizi wa kura na kura feki?
Watuhumu wao, watoe hukumu wao. Halafu haohao utakuta wanadai Tume ya Uchaguzi huru. Hii ni 'double-standard' kiwango cha bahari. Ndiyo walewale wanaosema Mwalimu Nyerere hakuwa anawakosoa wafanyakazi na watumishi kwa ukali na hadharani, ihali yeye mwenyewe ni kinara wa uzushi, uongo, kashfa, kupinga kila kitu na kuwatukana hadharani jukwaani polisi, Mkuu wa Nchi, serikali na kila mtu asiyekubaliana na sera & ushari wake.Mbona una matatizo ya akili wewe kiasi hicho?, nani hapa Tanzania nwenye jukumu kisheria kuthibitisha kama kweli kosa la jinai limetendeka kama sio mahakama?, punguza ushabiki usiokua na maana, kwanini umeamua kusikiliza na kushabikia upande nnoba?, wacha kujidhalilisha kiasi hicho watu watakudharau
Mtu anatoa tuhuma za kuibiwa, anayetuhumiwa anasema sio kweli, wewe unakubaliana moja kwa moja na upande mmoja, hiyo ndio demokrasia unayoipigia kelele?.. Inapaswa aliyeibiwa apeleke kesi mahakamani ili wakachunguze na kugundua ukweli na kutoa haki, sasa wewe bila hata kupepesa macho umeshatoa hukumu, wewe umejipa sifa ya mahakama ya uchaguzi?, wacha ushabiki usiokua na maana huo.
Miaka mia moja ijayo hawawezi kuongoza nchi hawa jamaa, hovyo sana hawa watu.Watuhumu wao, watoe hukumu wao. Halafu haohao utakuta wanadai Tume ya Uchaguzi huru. Hii ni 'double-standard' kiwango cha bahari. Ndiyo walewale wanaosema Mwalimu Nyerere hakuwa anawakosoa wafanyakazi na watumishi kwa ukali na hadharani, ihali yeye mwenyewe ni kinara wa uzushi, uongo, kashfa, kupinga kila kitu na kuwatukana hadharani jukwaani polisi, Mkuu wa Nchi, serikali na kila mtu asiyekubaliana na sera & ushari wake.
Nasubiri kauli yako 2022Wataukumbuka huu uzi 2022, sasa hivi wacha waupuuze.
Mbona una matatizo ya akili wewe kiasi hicho?, nani hapa Tanzania nwenye jukumu kisheria kuthibitisha kama kweli kosa la jinai limetendeka kama sio mahakama?, punguza ushabiki usiokua na maana, kwanini umeamua kusikiliza na kushabikia upande mmoja?, wacha kujidhalilisha kiasi hicho watu watakudharau
Mtu anatoa tuhuma za kuibiwa, anayetuhumiwa anasema sio kweli, wewe unakubaliana moja kwa moja na upande mmoja, hiyo ndio demokrasia unayoipigia kelele?.. Inapaswa aliyeibiwa apeleke kesi mahakamani ili wakachunguze na kugundua ukweli na kutoa haki, sasa wewe bila hata kupepesa macho umeshatoa hukumu, wewe umejipa sifa ya mahakama ya uchaguzi?, wacha ushabiki usiokua na maana huo.
Mbona una matatizo ya akili wewe kiasi hicho?, nani hapa Tanzania nwenye jukumu kisheria kuthibitisha kama kweli kosa la jinai limetendeka kama sio mahakama?, punguza ushabiki usiokua na maana, kwanini umeamua kusikiliza na kushabikia upande mmoja?, wacha kujidhalilisha kiasi hicho watu watakudharau
Mtu anatoa tuhuma za kuibiwa, anayetuhumiwa anasema sio kweli, wewe unakubaliana moja kwa moja na upande mmoja, hiyo ndio demokrasia unayoipigia kelele?.. Inapaswa aliyeibiwa apeleke kesi mahakamani ili wakachunguze na kugundua ukweli na kutoa haki, sasa wewe bila hata kupepesa macho umeshatoa hukumu, wewe umejipa sifa ya mahakama ya uchaguzi?, wacha ushabiki usiokua na maana huo.
Hivi maana ya kuwepo kwa utawala wa sheria ni nini?, kwanini tunatumia pesa nyingi kuwalipa majaji, mahakimu na mawakili na kujenga mahakama?.Pekeni mahaba pembeni kwenye ukweli semeni ukweli.
Wenye mamlaka NEC wanashindwa kujitetea iweje wewe uwateteee useme hizo kura zimetengenezwa na chadema?
NEC haijajitetea vipi wakati ilishatoa tamko na wananchi wote wenye akili walisikia na kuelewa wakiwemo hao wajinga waliotoa hizo shutuma.Pekeni mahaba pembeni kwenye ukweli semeni ukweli.
Wenye mamlaka NEC wanashindwa kujitetea iweje wewe uwateteee useme hizo kura zimetengenezwa na chadema?
Nini kinakufanya uamini hizo ni karatasi halisi za NEC?Na hapo una kipi Cha kusema?View attachment 1620048
Hivi maana ya kuwepo kwa utawala wa sheria ni nini?, kwanini tunatumia pesa nyingi kuwalipa majaji, mahakimu na mawakili na kujenga mahakama?.
Tuache basi ili kila mtu ajiamulie vile anavyoona yeye kwamba ni sahihi. Wewe umeshaona na kuamini kwamba huo ni uovu kwahiyo lazima iwe ni kweli unachoamini wewe, kila mtu aachwe aamue vile aonavyo yeye ni sawa bila kuwepo kwa mahakama kuweza kuchunguza kwa undani na kujiridhisha.
Hivyo ndivyo mnavyotaka kuiendesha hii nchi pindi umtakaposhinda uchaguzi?, kwamba mtu akihisi na kuamini kwamba jambo fulani limefanyika, basi hakuna tena kwenda mahakamani kuthibitisha na kuamuliwa na mahakama. Mtasubiri hadi meno yaote nywele, hakuna mtu atawapigia kura vichaa wa aina yako.
Nini kinakufanya uamini hizo ni karatasi halisi za NEC?
Ndio sababu nikakuambia akili zako hazipo sawa wewe, NEC haijajitetea vipi wakati ilishatoa tamko na wananchi wote wenye akili walisikia na kuelewa wakiwemo hao wajinga waliotoa hizo shutuma.
Hayo yote tisa, kumi walipanga makusudi mazima kuuvuruga uchaguzi. Period. Ndiyo maana hoja yao kuu ni KURA FEKI. Na bila shaka majimbo kama Kawe yalichaguliwa kuwa sampuli ya figisu yao bandia.Yako wapi na yamekatwa na nani?, ameripoti wapi?, lazima ukikamata jinai polisi lazima wahusishwe, nje ya hapo huo ni uhuni na udaku
Hawa ndio waliotuambia kwamba Hospitali zetu zimejaa wagonjwa wa Corona lakini serikali inaficha, hawahawa walituambia bungeni kuna Corona wakakimbia kwa siku 14 baadae wakarudi humo humo kwenye Corona, hawa walituambia kwamba tutashitakiwa kwa kuzuia makinikia, vipi leo ghafla unawaamini?.
Hawa watu ni wazandiki wakubwa sana, kama kweli hizo kura ni feki na walizikamata, ni kuzibiti tosha cha kupekeka mahakamani ili kufungua kesi ya kupinga matokeo, kwanini wasiende mahakamani kama wanaoushahidi mzuri kama huu?, wacheni kutulisha matango pori sisi ni watu wazima
Walizipata ile siku walipewa karatasi za mfano ili kuona namna zitakavyokua, walipewa copies nyingi tu, wakaenda kuzitoa photocopies na kuzijaza kisha maigizo yakaanza.Kama sio karatasi za NEC zimetoka wapi?.
Je NEC wanajua kuwa kuna kura zimekamatwa?