mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Tofauti ya karatasi za NEC na hizo zilizokamatwa ni IPI?
Walizipata ile siku walipewa karatasi za mfano ili kuona namna zitakavyokua, walipewa copies nyingi tu, wakaenda kuzitoa photocopies na kuzijaza kisha maigizo yakaanza
Mbona simple tu