Kiukweli Geza mimi hii kitu imenifanya niwenahamu yakujiunga na siasa rasimi. Hasa kupitia Chadema. Sio kwa sababu Magufuli sio raisi mzuri..Lakini kwa sababu nivyema kwa nchi makini kuweza kuwa na mawazo yenye mlengo tofauti kuwezesha kupata maendeleo thabiti...Bila upinzani CCM isingeweza kufanya yale wanayoyafanya leo. Kiongozi mzuri anatokana na upinzani dhabiti ndani ya nchi.
Hii nchi yetu sote...Naamini wataibuka wapinzani wapya wengi na hasa wenye fikra bora kuliko hata za Tundu Lissu.Hakuna jinsi Mkuu zaidi ya kupambana na kuuweka ukweli hadharani. Matakwa ya Watanzania ya kuchagua viongozi wanaostahili yataporwa hadi lini? Matakwa ya Watanzania kutaka Katiba mpya na Tume huru ya uchaguzi yatapuuzwa hadi lini!?
Lakini hiyo haimnyimi haki yakuongea kile anachoamini. Ukweli lazima usemwe. It can take years to build a country but it can only be destroyed within a day for such things.Askofu kachanganyikiwa; sasa hajui kama Mungu yupo au la. Atajuta kujichanganya kwenye siasa.
Hamna kitu hapo.Lakini hiyo haimnyimi haki yakuongea kile anachoamini. Ukweli lazima usemwe. It can take years to build a country but it can only be destroyed within a day for such things.
Sio Geza tu. Tupo wengi kwa Sasa. Msione tunasifia mazuri humu ndani. Lakini na mabaya tunayaona. Ni lazima ukweli usemwe. CCM imefanya kosa kubwa Sana.Huwezi amini Kama huu uzi kaanzisha geza😂😂
Akili yako yakufikili imeishia Apo..🤭🤭🤭Hamna kitu hapo.
Asante Sana mdau... Ujumbe umepenya...
Jamaa walisindika hadi imewauma hata baadhi MaCCM kindaki ndaki, hao wasimamizi wa uchaguzi kila mmoja aliogopa asiwe wa kwanza kutangaza ushindi wa kiongozi yeyote wa upinzani.
Hapa hamna namna, wamlilie Magufuli akubali kubadilisha katiba iwape tume uhuru wa kusimamia uchaguzi bila kuingiliwa au kubabaishwa na dola, Nyerere alishawaonya siku hiyo katiba yao mbovu itakamatwa na kiongozi aina fulani watakoma, wanayaona.....leo hii unakuta mtu amevaa mavazi ya CCM full kijani lakini moyoni yuko upinzani.
Magufuli akibembelezwa vizuri anaweza akakubali irekebishwe maana yeye yuko kwenye hatamu ya mwisho na sidhani kama ana haja ya kuendelea kushikilia uongozi, jamhuri iko mikononi mwake 100%, afanye chochote akitakacho, aidha aandike historia upya na nzuri au aharibu kabisa.
Duh! Ama kwa kweli Watanzania, ukiondoa hawa wapiga makelele wa Jamii Forums, huwa ni watu wapole sana na wanyonge, yaani wananywea hadi huruma. Mzee Magufuli awahurumie watu wake na kurekebisha jameni.
Sema utakavyo lakini hiyo hainisumbui hata kidogo.Akili yako yakufikili imeishia Apo..🤭🤭🤭
Wakenya walitegemea kile kilichltokea zanzibar juzi kingetokea Tanzania nzima, hawajajua tu watanzania ni watu wa aina ganiNaona Wakenya mnapambana kweli ili na sisi tuwe kwenye meli moja na ninyi, sisi hatuendi hiyo njia yenu, nyie kaeni na Demokrasia yenu ya kuandika Katiba mpya kila siku, BTW watu wengi zaidi huuliwa na kuumizwa Kenya kwenye kila uchaguzi kuliko Tanzania yetu pamoja na Katiba yenu mpya na sijui Tume huru ambayo bado pia hamuitaki na sasa hivi mnataka nyingine sababu tu imeshindwa kumpa Raila Uraisi.
Mtalia na kupiga kelele muwezavyo lkn Tanzania yetu hatufwati hiyo njia yengu, Watanzania walio wengi wako poa na jinsi tulivyo na nchi yetu inavyokwenda hao wanaopiga kelele mitandaoni ni wengi wao ni machotara wachache na hawaishi Tanzania, ...
Mtulie hivyo hivyo yenu yanakuwa mchinjaneJamaa walisindika hadi imewauma hata baadhi MaCCM kindaki ndaki, hao wasimamizi wa uchaguzi kila mmoja aliogopa asiwe wa kwanza kutangaza ushindi wa kiongozi yeyote wa upinzani.
Hapa hamna namna, wamlilie Magufuli akubali kubadilisha katiba iwape tume uhuru wa kusimamia uchaguzi bila kuingiliwa au kubabaishwa na dola, Nyerere alishawaonya siku hiyo katiba yao mbovu itakamatwa na kiongozi aina fulani watakoma, wanayaona.....leo hii unakuta mtu amevaa mavazi ya CCM full kijani lakini moyoni yuko upinzani.
Magufuli akibembelezwa vizuri anaweza akakubali irekebishwe maana yeye yuko kwenye hatamu ya mwisho na sidhani kama ana haja ya kuendelea kushikilia uongozi, jamhuri iko mikononi mwake 100%, afanye chochote akitakacho, aidha aandike historia upya na nzuri au aharibu kabisa.
Duh! Ama kwa kweli Watanzania, ukiondoa hawa wapiga makelele wa Jamii Forums, huwa ni watu wapole sana na wanyonge, yaani wananywea hadi huruma. Mzee Magufuli awahurumie watu wake na kurekebisha jameni.
Yaani Tanzania bana! Vitu zingine zinafanyika huko hadi naona wakati wa zama zile za kanu. Huyu ndio askofu Njoya wa Tanzania sasa. Ajitayarishe kichapo siku zijazo katika mkondo wake ameuchukua wa kuwa moja wapo wa wakombozi wa taifa lake.Duh! Huyo askofu ameamua kujitoa kafara, anadiriki kutamka maneno mazito sana na kutuhumu bila kuficha.
Tumekuwa tukisema Tanzania haina Upinzani waliopo ni Mamluki na Wachumia Tumbo
Yaani wao wenyewe Kujiongoza wameshindwa Waiongoze Tanzania kweli!!
Yaani mwenyekiti kama Mbowe Ana ng'ang'ania kiti Kama kupe
Na anaye jaribu Kumpinga kwake Adui
Sasa malengo yake nini kuisaidia nchi au tumbo lake!
Nchi inapambana kujikwamua upinzani Unapambana Kuiangusha nchi Hao kweli wakushinda uchaguzi!!
Watu wasitafute Visingizio
Ni mataahira (mental retards) pekee ndiyo wanaweza kushangilia eti CCM na Magufuli wameshinda uchaguzi huu wa 2020.expand...
Naona Wakenya mnapambana kweli ili na sisi tuwe kwenye meli moja na ninyi, sisi hatuendi hiyo njia yenu, nyie kaeni na Demokrasia yenu ya kuandika Katiba mpya kila siku, BTW watu wengi zaidi huuliwa na kuumizwa Kenya kwenye kila uchaguzi kuliko Tanzania yetu pamoja na Katiba yenu mpya na sijui Tume huru ambayo bado pia hamuitaki na sasa hivi mnataka nyingine sababu tu imeshindwa kumpa Raila Uraisi.
Mtalia na kupiga kelele muwezavyo lkn Tanzania yetu hatufwati hiyo njia yengu, Watanzania walio wengi wako poa na jinsi tulivyo na nchi yetu inavyokwenda hao wanaopiga kelele mitandaoni ni wengi wao ni machotara wachache na hawaishi Tanzania, ...