Uchaguzi wa TFF: Wallace Karia achaguliwa kuwa rais mpya wa TFF

Karia na Wambura wote ni Simba damu.
Sasa matopeni chezeni mpira visingizio vya Malinzi havitakuwepo tena.

Kamati ya mashindano ilijaa watu wenu lakini kila kitu ilikuwa Malinzi hiki, Malinzi kile.
Wataiendwsha TFF wanavyotaka au wanavyotakiwa na Katiba?

Vv
 
Karia anaonekana ni Gentleman ataipeleka TFF mahali namtabiria kufka kuvaa viatu vya Leodiga Tenga. ....naaamini wenye makundi na walioandaa watu wao wamekosa hiyo ni safi cz kutakua na doscpline
 
sisi vijana wa chama cha mashambani au kijani mtu.wetu kushindwa yule mwakalibela imetufedhehesha sana.
 
Wasifu wa huyo karia ni upi?? Mwageni CV yake hapa
 
wambura aliondoka simba kwa zengwe sa sijajua km ataibeba simba.
 
Pamoja na ujuaji wake mwingi na maneno neno mengi, ukijumlisha na tambo zake za kutumia radio na tv pedwa ya Clouds, Shafii Dauda ameangukia pua ktk uchaguzi wa leo wa TFF kuwania Ujumbe kuwakilisha Mkoa wa Dar es salam. Amebwagwa chini na mgombea asie na Jina Lameck Nyambaya. Mpira sio maneno bwana dauda ni vitendo

ORODHA YA WAJUMBE WAPYA WA KAMATI YA UTENDAJI YA TFF WALIOSHINDA


Kanda namba 13 -Dar es Salaam

Mshindi ni Lameck Nyambaya

Kanda namba 12 Kilimanjaro na Tanga

Mshindi ni Khalid Andallah

Kanda No 11 Pwani na Morogoro

Francis ni Ndulane ameshinda

Kanda Namba 10 (Dodoma na Singida)

Mshindi: Mohamed Abeid

Kanda Namba 9 (Lindi na Mtwara)

Mshindi: Dunstan Mkundi

Kanda namba 8 (Njombe na Ruvuma)

Mshindi: James Mhagama

Kanda namba 7 (Mbeya na Iringa)

Mshindi: Elias Mwanjala

Kanda Namba 6 (Katavi na Rukwa)

Kenneth Pesambili

Kanda namba 5 (Kigoma na Tabora)

Issa Bukuku

Kanda namba 4 (Arusha na Manyara)

Mshindi: Sarah Chao

Kanda namba 3 (Shinyanga, Simiyu)

Mshindi: Mbasha Matutu

Kanda namba 2 (Mara, Mwanza)

Mshindi: Vedastus Lufano

Kanda namba 1 (Kagera, Geita)

Mshindi: Salum Chama

Makamu wa Rais

Michael Wambura

NAFASI YA RAIS

Wallace Karia
 
Kwenye uchaguzi kushinda na kushindwa ni kawaida.
Tunamshukuru hata hivyo kwa kujituma kwake kutuletea habari na uchambuzi wa soka
 
hongereni kwa wote mliochaguliwa, maana hata tukilaumu sana hatuwezi kupindua matokeo.
Fanyeni kazi ili timu yetu ipande ktk viwango vya fifa, angalau iwe ktk top 60.
 

Ally Mayai alipiga kampeni kwa wanamichezo na media nakuwaacha wapiga kurahalisi next time anapakuanzia. Kusema turudishieni mpira wetu was the worst slogan and its failed kuwaunganisha wapigakura, kwa maoni yangu mayai angekuwa malinzi mwingine iwapo angeshinda (timua timua)
Dauda simwelewi na sijawahi kumwelewa kama kiongozi wa mpira, heko kwa ndondo cup although haina future mwenye kuendeleza soka letu ila kwa burudani sawa. And its known CMG inatoa back up kubwa kwa ndondo cup ukibisha subiria ya mkoani haitakuwa na utofauti na logi za TFF.

LAST Karia wape league vilabu wewe baki na taifa stars.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…