Uchaguzi wa TFF: Wallace Karia achaguliwa kuwa rais mpya wa TFF

Uchaguzi wa TFF: Wallace Karia achaguliwa kuwa rais mpya wa TFF

Wambura ana roho ngumu sana! Pamoja na kukatwa kote huko bado yumo, nafikiri ana mission flan na soka la bongo
 
Huko Kwny mpira kuna watu wengi sana wasiojitambua kabisa, hasa wapiga kura, ni ngumu sana kutoka kwa aina hii. Nashauri uongozi huu wa TFF usiwe wa kupigia kura bali kuomba kazi kama wakurugenzi tu. Kuna wapuuzi wengi sana huko Kwny michakato ya kupiga kura ambao hata shule walikataa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Duniani kote mpira unapendwa na kuongozwa na watu wa aina hii.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huko Kwny mpira kuna watu wengi sana wasiojitambua kabisa, hasa wapiga kura, ni ngumu sana kutoka kwa aina hii. Nashauri uongozi huu wa TFF usiwe wa kupigia kura bali kuomba kazi kama wakurugenzi tu. Kuna wapuuzi wengi sana huko Kwny michakato ya kupiga kura ambao hata shule walikataa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Tanzania kila kona hawajitambui mkuu, kama ulijua ni kwenye soka tu, nenda na kule kwenye siasa ndo utaugua

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mayai mi alinikera kuweka ile mirangi ya Chura FC a.k.a yebo yebo!!! Nikajua anaturudisha kwenye utawala wa Malinzi....

Asingekuwa Malinzi Simba msimu uliopita angekuwa bingwa...

Walace na wewe ukituletea utimutimu kwenye uongozi wako tutakuitia PCCB ukanyee kalai...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ama kweli asiyeijua njia hapotei

Kwa Hisani Ya Watu Wa Mbeya!
 
Back
Top Bottom