Tetesi: Uchaguzi wa Wilaya - CCM , Team Lowassa washinda kwa 75%

Tetesi: Uchaguzi wa Wilaya - CCM , Team Lowassa washinda kwa 75%

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Wakuu namba hazidanganyi , jana umefanyika uchaguzi wa CCM kwenye ngazi za wilaya kadhaa , Taarifa niliyopenyezewa ni kwamba wale Team Lowassa wameshinda kwa zaidi kidogo ya 75%.

Ifahamike kwamba 80% ya wanaccm ni Team Lowassa , wako pamoja naye hata huko UKAWA aliko , bali wako CCM kwa hofu ya " KUSHUGHULIKIWA ".

Adui muombee njaa na siasa ni mipango .

Mh Kikwete aliwahi kuwaonya wanaccm wenzake kwamba " TUKITEGEMEA POLISI TUTASHINDWA "
 
Wakuu namba hazidanganyi , jana umefanyika uchaguzi wa ccm kwenye ngazi za wilaya kadhaa , Taarifa niliyopenyezewa ni kwamba wale Team Lowassa wameshinda kwa zaidi kidogo ya 75%.

Ifahamike kwamba 80% ya wanaccm ni Team Lowassa , wako pamoja naye hata huko UKAWA aliko , bali wako ccm kwa hofu ya " KUSHUGHULIKIWA ".

Adui muombee njaa na siasa ni mipango .

Mh Kikwete aliwahi kuwaonya wanaccm wenzake kwamba " TUKITEGEMEA POLISI TUTASHINDWA "
Bavicha uwezo wenu wa kujenga hoja unashuka siku hadi siku.....hata propaganda za mtandaoni zinawashinda kwa kiasi kikubwa...
 
Siasa ni ajira watu wanalipwa kwa propaganda na kuna watu wanalipwa kuandika mitandaoni

Na kuna wengine wanajilipa kwa kujipa umarufu kwenye mitandao

Siasa haiwezi kutuacha salama kama hatujui kuitumikia
 
Kweli ni tetesi tu, maana kama kweli Lowassa ana wafuasi wengi CCM, kiasi hicho kwanini hawakumchagua kuwa rais
Kwani Lowassa alishindwa ? Lowassa mwenyewe amesema hadharani mara kadhaa kwamba alishinda , umesikia akihojiwa ?
 
Wakuu namba hazidanganyi , jana umefanyika uchaguzi wa CCM kwenye ngazi za wilaya kadhaa , Taarifa niliyopenyezewa ni kwamba wale Team Lowassa wameshinda kwa zaidi kidogo ya 75%.

Ifahamike kwamba 80% ya wanaccm ni Team Lowassa , wako pamoja naye hata huko UKAWA aliko , bali wako CCM kwa hofu ya " KUSHUGHULIKIWA ".

Adui muombee njaa na siasa ni mipango .

Mh Kikwete aliwahi kuwaonya wanaccm wenzake kwamba " TUKITEGEMEA POLISI TUTASHINDWA "
Hiyo timu si ingemuweka madarakani basi
 
Back
Top Bottom