Tetesi: Uchaguzi wa Wilaya - CCM , Team Lowassa washinda kwa 75%

Tetesi: Uchaguzi wa Wilaya - CCM , Team Lowassa washinda kwa 75%

Wakuu namba hazidanganyi , jana umefanyika uchaguzi wa CCM kwenye ngazi za wilaya kadhaa , Taarifa niliyopenyezewa ni kwamba wale Team Lowassa wameshinda kwa zaidi kidogo ya 75%.

Ifahamike kwamba 80% ya wanaccm ni Team Lowassa , wako pamoja naye hata huko UKAWA aliko , bali wako CCM kwa hofu ya " KUSHUGHULIKIWA ".

Adui muombee njaa na siasa ni mipango .

Mh Kikwete aliwahi kuwaonya wanaccm wenzake kwamba " TUKITEGEMEA POLISI TUTASHINDWA "
Basi team Lowasa ambao ni CCM watashinda tena Uchaguzi Mkuu kupitia CCM 2020
 
Wakuu namba hazidanganyi , jana umefanyika uchaguzi wa CCM kwenye ngazi za wilaya kadhaa , Taarifa niliyopenyezewa ni kwamba wale Team Lowassa wameshinda kwa zaidi kidogo ya 75%.

Ifahamike kwamba 80% ya wanaccm ni Team Lowassa , wako pamoja naye hata huko UKAWA aliko , bali wako CCM kwa hofu ya " KUSHUGHULIKIWA ".

Adui muombee njaa na siasa ni mipango .

Mh Kikwete aliwahi kuwaonya wanaccm wenzake kwamba " TUKITEGEMEA POLISI TUTASHINDWA "
Kwa hiyo watamsaidia lowasa kushinda uenyekiti chadema wakiwa CCM?
 
Sawa tunangojea aanze kuwapa posho za vikao na nauli za kwenda na kurudi kama ilivokua kwanza
 
Juzi lowassa alinukuliwa akilalamika kuwa watu wake wamekatwa...leo wewe unampinga!!
 
Kwa hiyo tuamini kuwa Lowasa atakwenda kugombea tena urais kupitia CCM 2020? Foolish!
 
Wakuu namba hazidanganyi , jana umefanyika uchaguzi wa CCM kwenye ngazi za wilaya kadhaa , Taarifa niliyopenyezewa ni kwamba wale Team Lowassa wameshinda kwa zaidi kidogo ya 75%.

Ifahamike kwamba 80% ya wanaccm ni Team Lowassa , wako pamoja naye hata huko UKAWA aliko , bali wako CCM kwa hofu ya " KUSHUGHULIKIWA ".

Adui muombee njaa na siasa ni mipango .

Mh Kikwete aliwahi kuwaonya wanaccm wenzake kwamba " TUKITEGEMEA POLISI TUTASHINDWA "
Nina wasiwasi na mleta uzi,hata mtu wa kawaida unaweza jua kaweka maandishi tu Ila hajui kaandika nn.
 
Wakuu namba hazidanganyi , jana umefanyika uchaguzi wa CCM kwenye ngazi za wilaya kadhaa , Taarifa niliyopenyezewa ni kwamba wale Team Lowassa wameshinda kwa zaidi kidogo ya 75%.

Ifahamike kwamba 80% ya wanaccm ni Team Lowassa , wako pamoja naye hata huko UKAWA aliko , bali wako CCM kwa hofu ya " KUSHUGHULIKIWA ".

Adui muombee njaa na siasa ni mipango .

Mh Kikwete aliwahi kuwaonya wanaccm wenzake kwamba " TUKITEGEMEA POLISI TUTASHINDWA "
maneno ya kujifariji kwa nyumbu haya
 
Wakuu namba hazidanganyi , jana umefanyika uchaguzi wa CCM kwenye ngazi za wilaya kadhaa , Taarifa niliyopenyezewa ni kwamba wale Team Lowassa wameshinda kwa zaidi kidogo ya 75%.

Ifahamike kwamba 80% ya wanaccm ni Team Lowassa , wako pamoja naye hata huko UKAWA aliko , bali wako CCM kwa hofu ya " KUSHUGHULIKIWA ".

Adui muombee njaa na siasa ni mipango .

Mh Kikwete aliwahi kuwaonya wanaccm wenzake kwamba " TUKITEGEMEA POLISI TUTASHINDWA "
Mkuu kama 80% ni low-hasa, ina mana na sizonje nae atakuemo? Anyway tupo kwenye vita ya uchumi kwasasa
 
Mkuu kama 80% ni low-hasa, ina mana na sizonje nae atakuemo? Anyway tupo kwenye vita ya uchumi kwasasa
Kuna video humu jf ya walioimba tuna imani na Lowassa , ukiwaona utaunga mkono nilichoandika .
 
Back
Top Bottom