Kipigi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2012
- 815
- 334
We endelea tu kusubiri embe chini ya mnaziSubiri !
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We endelea tu kusubiri embe chini ya mnaziSubiri !
Basi team Lowasa ambao ni CCM watashinda tena Uchaguzi Mkuu kupitia CCM 2020Wakuu namba hazidanganyi , jana umefanyika uchaguzi wa CCM kwenye ngazi za wilaya kadhaa , Taarifa niliyopenyezewa ni kwamba wale Team Lowassa wameshinda kwa zaidi kidogo ya 75%.
Ifahamike kwamba 80% ya wanaccm ni Team Lowassa , wako pamoja naye hata huko UKAWA aliko , bali wako CCM kwa hofu ya " KUSHUGHULIKIWA ".
Adui muombee njaa na siasa ni mipango .
Mh Kikwete aliwahi kuwaonya wanaccm wenzake kwamba " TUKITEGEMEA POLISI TUTASHINDWA "
Hujui kitu , tulia .Basi team Lowasa ambao ni CCM watashinda tena Uchaguzi Mkuu kupitia CCM 2020
nani amekwambia hawakumchagua?Kweli ni tetesi tu, maana kama kweli Lowassa ana wafuasi wengi CCM, kiasi hicho kwanini hawakumchagua kuwa rais
Kwa hiyo watamsaidia lowasa kushinda uenyekiti chadema wakiwa CCM?Wakuu namba hazidanganyi , jana umefanyika uchaguzi wa CCM kwenye ngazi za wilaya kadhaa , Taarifa niliyopenyezewa ni kwamba wale Team Lowassa wameshinda kwa zaidi kidogo ya 75%.
Ifahamike kwamba 80% ya wanaccm ni Team Lowassa , wako pamoja naye hata huko UKAWA aliko , bali wako CCM kwa hofu ya " KUSHUGHULIKIWA ".
Adui muombee njaa na siasa ni mipango .
Mh Kikwete aliwahi kuwaonya wanaccm wenzake kwamba " TUKITEGEMEA POLISI TUTASHINDWA "
Hapana ! Bali watasaidia chadema kuiweka ccm mfukoni .Kwa hiyo watamsaidia lowasa kushinda uenyekiti chadema wakiwa CCM?
Mkuu Lowasa kajifunza hagawi hela tena. Kaacha kaona watu sio kuwa wanampenda wanapenda pesa yake akiwapa tu wako tayari kudeki hadi barabara atakayopita walivyo wasanii.Sawa tunangojea aanze kuwapa posho za vikao na nauli za kwenda na kurudi kama ilivokua kwanza
Kwani Muro anasemaje?kwani mange kasemaje?
Nina wasiwasi na mleta uzi,hata mtu wa kawaida unaweza jua kaweka maandishi tu Ila hajui kaandika nn.Wakuu namba hazidanganyi , jana umefanyika uchaguzi wa CCM kwenye ngazi za wilaya kadhaa , Taarifa niliyopenyezewa ni kwamba wale Team Lowassa wameshinda kwa zaidi kidogo ya 75%.
Ifahamike kwamba 80% ya wanaccm ni Team Lowassa , wako pamoja naye hata huko UKAWA aliko , bali wako CCM kwa hofu ya " KUSHUGHULIKIWA ".
Adui muombee njaa na siasa ni mipango .
Mh Kikwete aliwahi kuwaonya wanaccm wenzake kwamba " TUKITEGEMEA POLISI TUTASHINDWA "
maneno ya kujifariji kwa nyumbu hayaWakuu namba hazidanganyi , jana umefanyika uchaguzi wa CCM kwenye ngazi za wilaya kadhaa , Taarifa niliyopenyezewa ni kwamba wale Team Lowassa wameshinda kwa zaidi kidogo ya 75%.
Ifahamike kwamba 80% ya wanaccm ni Team Lowassa , wako pamoja naye hata huko UKAWA aliko , bali wako CCM kwa hofu ya " KUSHUGHULIKIWA ".
Adui muombee njaa na siasa ni mipango .
Mh Kikwete aliwahi kuwaonya wanaccm wenzake kwamba " TUKITEGEMEA POLISI TUTASHINDWA "
Mkuu kama 80% ni low-hasa, ina mana na sizonje nae atakuemo? Anyway tupo kwenye vita ya uchumi kwasasaWakuu namba hazidanganyi , jana umefanyika uchaguzi wa CCM kwenye ngazi za wilaya kadhaa , Taarifa niliyopenyezewa ni kwamba wale Team Lowassa wameshinda kwa zaidi kidogo ya 75%.
Ifahamike kwamba 80% ya wanaccm ni Team Lowassa , wako pamoja naye hata huko UKAWA aliko , bali wako CCM kwa hofu ya " KUSHUGHULIKIWA ".
Adui muombee njaa na siasa ni mipango .
Mh Kikwete aliwahi kuwaonya wanaccm wenzake kwamba " TUKITEGEMEA POLISI TUTASHINDWA "
Diwani ananuliwa bila kujenga hoja?Nyie UVCCM mna uwezo gani wa kujenga hoja? au kununua madiwani
Kuna video humu jf ya walioimba tuna imani na Lowassa , ukiwaona utaunga mkono nilichoandika .Mkuu kama 80% ni low-hasa, ina mana na sizonje nae atakuemo? Anyway tupo kwenye vita ya uchumi kwasasa