joyce mngongo
JF-Expert Member
- Dec 29, 2016
- 890
- 972
Hakuna rangi, ccm hawataona,chini ya bulidoza lao.mdude usio na kichwa ili uwe na akili ya kuwaza,kutafakari na kuchambua mambo,mdude unaotumia mibunduki ya kivita bahari na mto ruvu kuuwa watu ! Tusubiri hatma ya huu mbuludoza."Eti mimi sinyongi watu", hao unaochinja ni wachache ? Nihaki unayofanya kumwaga damu,hatakama sio kwa kunyonga ? Uzuri hata wewe mauti yatakufika tu,huta paa kwenda mbinguni kama Elia ! Nilazima umauti uupitie.Mungu muongezee huyu mtawala maadui wa ndani,ili iwe rahisi kumuangamiza.ametapakaa uovu maungoni mwake,hata mavazi yake, kiasi kwamba,nchi ina athirika vibaya mno,kwautawala wake.Mungu hupendezwi na uovu,tenda muujiza ktk hili,Amen