mlekulechoma
JF-Expert Member
- Nov 2, 2014
- 1,366
- 1,059
Walishapiga mpunga kitambo!mbona hawakumfuata?Kuna video humu jf ya walioimba tuna imani na Lowassa , ukiwaona utaunga mkono nilichoandika .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Walishapiga mpunga kitambo!mbona hawakumfuata?Kuna video humu jf ya walioimba tuna imani na Lowassa , ukiwaona utaunga mkono nilichoandika .
Tetesi za ufipa haziishi.Wakuu namba hazidanganyi , jana umefanyika uchaguzi wa CCM kwenye ngazi za wilaya kadhaa , Taarifa niliyopenyezewa ni kwamba wale Team Lowassa wameshinda kwa zaidi kidogo ya 75%...
Akili za kijinga kabisa, kama team Lowasa ilishindwa kuwasaidia 2015 itakuja kuwa hii ya 2017? Upinzani wa namna hauwezi kushika dola.Wakuu namba hazidanganyi , jana umefanyika uchaguzi wa CCM kwenye ngazi za wilaya kadhaa , Taarifa niliyopenyezewa ni kwamba wale Team Lowassa wameshinda kwa zaidi kidogo ya 75%.
Ifahamike kwamba 80% ya wanaccm ni Team Lowassa , wako pamoja naye hata huko UKAWA aliko , bali wako CCM kwa hofu ya " KUSHUGHULIKIWA ".
Adui muombee njaa na siasa ni mipango .
Mh Kikwete aliwahi kuwaonya wanaccm wenzake kwamba " TUKITEGEMEA POLISI TUTASHINDWA "
kwani mange kasemaje?
Huenda anajiandaa kukatwa mkia.kwa hiyo timu lowassa itafanya nini wakati yeye sio ccm tena...kama wanampenda si waende cdm....
Wakuu namba hazidanganyi , jana umefanyika uchaguzi wa CCM kwenye ngazi za wilaya kadhaa , Taarifa niliyopenyezewa ni kwamba wale Team Lowassa wameshinda kwa zaidi kidogo ya 75%.
Ifahamike kwamba 80% ya wanaccm ni Team Lowassa , wako pamoja naye hata huko UKAWA aliko , bali wako CCM kwa hofu ya " KUSHUGHULIKIWA ".
Adui muombee njaa na siasa ni mipango .
Mh Kikwete aliwahi kuwaonya wanaccm wenzake kwamba " TUKITEGEMEA POLISI TUTASHINDWA "
Wakuu namba hazidanganyi , jana umefanyika uchaguzi wa CCM kwenye ngazi za wilaya kadhaa , Taarifa niliyopenyezewa ni kwamba wale Team Lowassa wameshinda kwa zaidi kidogo ya 75%.
Ifahamike kwamba 80% ya wanaccm ni Team Lowassa , wako pamoja naye hata huko UKAWA aliko , bali wako CCM kwa hofu ya " KUSHUGHULIKIWA ".
Adui muombee njaa na siasa ni mipango .
Mh Kikwete aliwahi kuwaonya wanaccm wenzake kwamba " TUKITEGEMEA POLISI TUTASHINDWA "
Ni kweli kabisa Mkuu wengi wa washindi ni Team ya Matumaini.........!!! kuna kazi kubwa huko mbele wanaojifanya wajuaji ni wengi.............!!! walio chini kila ukimuuliza wamekata tamaa kwa uchaguzi huu.......Sijui itakuwaje.......kwenye Chaguzi kuanzia kata hadi kwenye Matawi wajanja wamepandikiza watu ili waje kufanikisha hili na kweli wamefanikiwa sasa subiri kulipiza visasi........na kuitana wasaliti kutakavyo shamiri na kufukuzana uanachama........Kisa misimamo tofauti baina ya Mtu na Mtu na siyo Chama............Wakuu namba hazidanganyi , jana umefanyika uchaguzi wa CCM kwenye ngazi za wilaya kadhaa , Taarifa niliyopenyezewa ni kwamba wale Team Lowassa wameshinda kwa zaidi kidogo ya 75%.
Ifahamike kwamba 80% ya wanaccm ni Team Lowassa , wako pamoja naye hata huko UKAWA aliko , bali wako CCM kwa hofu ya " KUSHUGHULIKIWA ".
Adui muombee njaa na siasa ni mipango .
Mh Kikwete aliwahi kuwaonya wanaccm wenzake kwamba " TUKITEGEMEA POLISI TUTASHINDWA "
Mkuu kuna watu wenye vichwa vyepesi wameshindwa kunielewa .Ni kweli kabisa Mkuu wengi wa washindi ni Team ya Matumaini.........!!! kuna kazi kubwa huko mbele wanaojifanya wajuaji ni wengi.............!!! walio chini kila ukimuuliza wamekata tamaa kwa uchaguzi huu.......Sijui itakuwaje.......kwenye Chaguzi kuanzia kata hadi kwenye Matawi wajanja wamepandikiza watu ili waje kufanikisha hili na kweli wamefanikiwa sasa subiri kulipiza visasi........na kuitana wasaliti kutakavyo shamiri na kufukuzana uanachama........Kisa misimamo tofauti baina ya Mtu na Mtu na siyo Chama............
2020 wataimwaga pombe....kwa hiyo timu lowassa itafanya nini wakati yeye sio ccm tena...kama wanampenda si waende cdm....
Kosa mnalofanya kila siku ni kutegemea ushindi kwa huruma ya wana ccm never!Adui muombee njaa na siasa ni mipango .
Mbona ni akili majitaka unayoleta hapa. Swali hao mamluki unaosema watafaidikaje endapo CCM ikishindwa? Wanamkomoa nani kama na wao ni CCM? Je Lowassa bado anaendelea kuwapa fedha? Kama anaendelea kuwapa fedha kama alivyozoea, je hiyo ni wazi kuwa CDM sasa hivi wananunua watu kwa fedha? Je hao mamluki wanakubalika kwa wana-CHADEMA ama ndiyo ya akina Mwapachu kurudi CCM baada ya kujikuta hawezi kukubalika?Wakuu namba hazidanganyi , jana umefanyika uchaguzi wa CCM kwenye ngazi za wilaya kadhaa , Taarifa niliyopenyezewa ni kwamba wale Team Lowassa wameshinda kwa zaidi kidogo ya 75%.
Ifahamike kwamba 80% ya wanaccm ni Team Lowassa , wako pamoja naye hata huko UKAWA aliko , bali wako CCM kwa hofu ya " KUSHUGHULIKIWA ".
Adui muombee njaa na siasa ni mipango .
Mh Kikwete aliwahi kuwaonya wanaccm wenzake kwamba " TUKITEGEMEA POLISI TUTASHINDWA "
Na ndivyo heading inavyosomeka...Ichukue kama tetesi tu mkuu
Si mlisema Lowassa amefilisika , mpaka kauza nyumba ! Kwani bado ana hela ?Mbona ni akili majitaka unayoleta hapa. Swali hao mamluki unaosema watafaidikaje endapo CCM ikishindwa? Wanamkomoa nani kama na wao ni CCM? Je Lowassa bado anaendelea kuwapa fedha? Kama anaendelea kuwapa fedha kama alivyozoea, je hiyo ni wazi kuwa CDM sasa hivi wananunua watu kwa fedha? Je hao mamluki wanakubalika kwa wana-CHADEMA ama ndiyo ya akina Mwapachu kurudi CCM baada ya kujikuta hawezi kukubalika?