Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #61
Mjomba kwani wewe hujagombea , umeridhika na kugonga meza kila siku ?Kosa mnalofanya kila siku ni kutegemea ushindi kwa huruma ya wana ccm never!
Mngekua na akili mngepata jibu pale mlipulizwa lowassa ni aaset au liability.Kavuka na watu wasiozidi kumi tena waliotemwa.
CCM Hawapo hivyo kama mnavyowafikiria,juzi tu mlikua mnampongeza Bashe anajitambua,leo kawa naibu waziri Tamisemi,hakuna mtu aliefungua bakuli lake kuhoji kama Bashe ni shushu au la