Tetesi: Uchaguzi wa Wilaya - CCM , Team Lowassa washinda kwa 75%

Tetesi: Uchaguzi wa Wilaya - CCM , Team Lowassa washinda kwa 75%

Awamu hii naifananisha na awamu ya tatu...ambayo ilitengeneza mtandao wa urais ambao Ben alishindwa kuudhibiti. Magu naye atatengeneza mtandao ndani ya CCM ambao hata afanyeje hatakuja kuuweza wakati wa harakati za urais baada ya yeye kumaliza awamu yake.
 
Wakuu namba hazidanganyi , jana umefanyika uchaguzi wa CCM kwenye ngazi za wilaya kadhaa , Taarifa niliyopenyezewa ni kwamba wale Team Lowassa wameshinda kwa zaidi kidogo ya 75%.

Ifahamike kwamba 80% ya wanaccm ni Team Lowassa , wako pamoja naye hata huko UKAWA aliko , bali wako CCM kwa hofu ya " KUSHUGHULIKIWA ".

Adui muombee njaa na siasa ni mipango .

Mh Kikwete aliwahi kuwaonya wanaccm wenzake kwamba " TUKITEGEMEA POLISI TUTASHINDWA "
Naona ulivimbiwa ukashikwa na uharo, endelea kuhalisha.
 
unamaanisha hata mwenyekiti alichaguliwa na team lowasa.
kwa maana nyingine lws ni owner wa ccm kwa asilimia ulizotoa.
mkuu unafurahisha
 
Sasa kama wanampenda EDO si waambatane naye! kama wamejificha ndani ya CCM basi ni wanafiki hao
 
Wakuu namba hazidanganyi , jana umefanyika uchaguzi wa CCM kwenye ngazi za wilaya kadhaa , Taarifa niliyopenyezewa ni kwamba wale Team Lowassa wameshinda kwa zaidi kidogo ya 75%.

Ifahamike kwamba 80% ya wanaccm ni Team Lowassa , wako pamoja naye hata huko UKAWA aliko , bali wako CCM kwa hofu ya " KUSHUGHULIKIWA ".

Adui muombee njaa na siasa ni mipango .

Mh Kikwete aliwahi kuwaonya wanaccm wenzake kwamba " TUKITEGEMEA POLISI TUTASHINDWA "
Team Lowasa??? Lowasa karudi sisiemu tayari?
 
Ni sawa Mh Zitto. Kusema nchi inapoteza bil 600 kwa mwezi. Leo tumefaamishwa Matrilioni ya pesa kwa mwezi. Ni hii ya 75% ya sana CCM eti ni mashabiki wa fisadi Lowassa
 
Back
Top Bottom