Nampurukano
JF-Expert Member
- Jul 17, 2015
- 1,196
- 1,456
Awamu hii naifananisha na awamu ya tatu...ambayo ilitengeneza mtandao wa urais ambao Ben alishindwa kuudhibiti. Magu naye atatengeneza mtandao ndani ya CCM ambao hata afanyeje hatakuja kuuweza wakati wa harakati za urais baada ya yeye kumaliza awamu yake.