Nampurukano
JF-Expert Member
- Jul 17, 2015
- 1,196
- 1,456
Naona ulivimbiwa ukashikwa na uharo, endelea kuhalisha.Wakuu namba hazidanganyi , jana umefanyika uchaguzi wa CCM kwenye ngazi za wilaya kadhaa , Taarifa niliyopenyezewa ni kwamba wale Team Lowassa wameshinda kwa zaidi kidogo ya 75%.
Ifahamike kwamba 80% ya wanaccm ni Team Lowassa , wako pamoja naye hata huko UKAWA aliko , bali wako CCM kwa hofu ya " KUSHUGHULIKIWA ".
Adui muombee njaa na siasa ni mipango .
Mh Kikwete aliwahi kuwaonya wanaccm wenzake kwamba " TUKITEGEMEA POLISI TUTASHINDWA "
75% niiweke yote hapa !TajA maeneo waliposhinda hao team Lowassa
Weka Maana tunataka uwazi na ukweli75% niiweke yote hapa !
Team Lowasa??? Lowasa karudi sisiemu tayari?Wakuu namba hazidanganyi , jana umefanyika uchaguzi wa CCM kwenye ngazi za wilaya kadhaa , Taarifa niliyopenyezewa ni kwamba wale Team Lowassa wameshinda kwa zaidi kidogo ya 75%.
Ifahamike kwamba 80% ya wanaccm ni Team Lowassa , wako pamoja naye hata huko UKAWA aliko , bali wako CCM kwa hofu ya " KUSHUGHULIKIWA ".
Adui muombee njaa na siasa ni mipango .
Mh Kikwete aliwahi kuwaonya wanaccm wenzake kwamba " TUKITEGEMEA POLISI TUTASHINDWA "
Hivi Lowasa yupo CCM au CHADEMA?Kwani Lowassa alishindwa ? Lowassa mwenyewe amesema hadharani mara kadhaa kwamba alishinda , umesikia akihojiwa ?
Si suala la Lowassa kurudi ccm , jiulize wale Team Lowassa ambao ni 80% ya wanaccm wote wameondoka ccm ?Team Lowasa??? Lowasa karudi sisiemu tayari?
Ukifuatilia historia ya ugonjwa wa Kansa utaelewa namaanisha nini .unamaanisha hata mwenyekiti alichaguliwa na team lowasa.
kwa maana nyingine lws ni owner wa ccm kwa asilimia ulizotoa.
mkuu unafurahisha