Uchaguzi wa Yanga: Dkt. Msolla achaguliwa kuwa Mwenyekiti na Mwakalebela kuwa Makamu Mwenyekiti Yanga

Huwezi kuwa Simba SC tokea Mtoto halafu ghafla tu ukageuka na kuwa Yanga SC. Kubalini tu kuwa mmeingia cha ' Kike ' Mkuu.
Mbona Simba ilitokana na Yanga watu hawajasema Simba ni tawi la Yanga!
 
Uchaguzi huu umeingiliwa na ccm na watu wa kitengo. Najiuliza tu kwa sauti, Polepole alienda kwenye mkutano wa Yanga kufanya nini?

Waliochaguliwa ni makada wa ccm, hii itatufanya wengine tujiweke pembeni na Yanga tunayoipenda.
Labda na yeye ni mwanachama wa Yanga!
 
Huwezi kuwa Simba SC tokea Mtoto halafu ghafla tu ukageuka na kuwa Yanga SC. Kubalini tu kuwa mmeingia cha ' Kike ' Mkuu.
Mbona ww ulikuwa mnyarwanda utotoni saa hz unajifanya mtanzania?
 
Ole wao wawafuatilie wakiwa wafazili wa Yanga ndio hapo watakapojua kama sasa tumechoka
 
Wewe zamani nilikuona mtu makini sana kumbe mzee wa matani
 
Leteni za kuleta kuhusu chama la wananchi. Huyo Kanjibai wenu kwanza arudishe mashamba yetu ya mkonge.
Akikaidi, anate... tena. Safari hii miezi mitatu hadi afirisike.
Mwenye kusikia na asikie
 
Ahsante sana mtani ila umesahau kuwa hata rais wa TFF ni mnyama pia
 
Huwezi kuwa Simba SC tokea Mtoto halafu ghafla tu ukageuka na kuwa Yanga SC. Kubalini tu kuwa mmeingia cha ' Kike ' Mkuu.
Bro. Mbona unateseka? Kwa kuwa wamekidhi vigezo vya kuwa viongozi wetu haina shida! Hata kina Kafulila, Shonza, Mwita, Kitila..... Walikuwa Chadema lakini sasa ni viongozi tegemezi huko Ccm! So, mikia tulieni dawa iwaingie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…