brave one
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 4,879
- 7,386
Matokeo ya uchagizi wa klabu ya Yanga yametangwazwa huku nafasi ya Mwenyekiti akishinda Dr Mshindo Msolla na Makamu Mwenyekiti akishinda Frendrick Mwakalebela
Matokeo
Mwenyekiti
Dr. Jonas Tiboroha kura 60
Dr. Mshindo Msolla kura 1276
Nafasi ya Makamu Mwenyekiti
Chota 12
Osolo 17
Yono 31
Mbene janet 67
Mwakalebela 1206
Yanga imepata uongozi mpya baada ya mwenyekiti kiti wake Yusuf Manji kujiuzulu miaka 2 iliopita
Matokeo
Mwenyekiti
Dr. Jonas Tiboroha kura 60
Dr. Mshindo Msolla kura 1276
Nafasi ya Makamu Mwenyekiti
Chota 12
Osolo 17
Yono 31
Mbene janet 67
Mwakalebela 1206
Yanga imepata uongozi mpya baada ya mwenyekiti kiti wake Yusuf Manji kujiuzulu miaka 2 iliopita