Hapa una ushahidi tunakubali na hakuna asiyejua NEC iko gado kuiba kura lakini hii barua hapana
Sasa mbona kichwa cha habari kimebadilishwa bila taarifa yoyote ile? :confused2:
thibitisha kama ni FAKE na sio kulalama bila ushahidi,
With all due respect to you Invisible.
Nina kila sababu za kuamini kuwa hii barua ni feki. Naomba wanaharakati muwe makini sana kwenye kutumia hii barua kama uthibitisho wa wizi wa kura.
Bandiko langu hili sio la kumuandama Invisible (a friend and a guy I respect) BUT ni kumu-alert kuwa inawezekana amelishwa kasa.
Uchunguzi uendelee ili kuthibitisha authenticity ya hiyo barua.
Ila kwa sasa, wapiganaji wote tuelekeze nguvu zetu kwenye kuhakikisha kuwa vijana wote wanafika kwenye vituo vya kupiga kura na wanapiga kura kwa wingi sana. Kwa pamoja tutaweza kubadilisha uongozi wa nchi yetu na kuwaondoa hawa majambazi waliopora maliasili zetu zote kwa manufaa yao binafsi na familia zao.
Najua nitaumiza baadhi ya ego for this BUT I had to do this today.
ooppsss... Mwafrika... Naona watu wa muheza na wataalam kama buckreef wameshindwa tena... Yani mada imekua kama afya ya sheikh yahya, migogoro mitupunakubaliana na wewe kabisa, wenye macho tuliona, na tukaisoma na kwa nguvu za watu wa muheza, msaada wa buckreef na busara za mtanzania, invisble ameondoa
ashukuriwe aliye juu
hatudangayiiiki wwewe mwafrika, tunafunika kombe tu na mwaka huu hata mkishinda cha moto mmekiona
hilo ni kwa mwanza
kila kituo kina majina 100 hewa, na jumla ya vituo ni 53,000 nchi zima zidisha hapo uone ccm wana kura ngapi ambzo ni hewa!!
msiwe wabishi na kuanza kupayuka ovyo, hii barua ni ya kweli mimi nawambia
Mbona a while ago hii thread ilikuwa inasomeka vingine na sasa inasomeka vingine? nani kafanya namna hii?????????????????????!
Kwa sasa imeckakachuliwa maana content haifanani na heading, WHAT IS HAPPENING HERE???????????????
kuweni makini na hii barua, ni feki (kwa mtizamo wangu).