The Khoisan
JF-Expert Member
- Jun 5, 2007
- 16,434
- 14,547
With all due respect to you Invisible.
Nina kila sababu za kuamini kuwa hii barua ni feki. Naomba wanaharakati muwe makini sana kwenye kutumia hii barua kama uthibitisho wa wizi wa kura.
Bandiko langu hili sio la kumuandama Invisible (a friend and a guy I respect) BUT ni kumu-alert kuwa inawezekana amelishwa kasa.
Uchunguzi uendelee ili kuthibitisha authenticity ya hiyo barua.
Ila kwa sasa, wapiganaji wote tuelekeze nguvu zetu kwenye kuhakikisha kuwa vijana wote wanafika kwenye vituo vya kupiga kura na wanapiga kura kwa wingi sana. Kwa pamoja tutaweza kubadilisha uongozi wa nchi yetu na kuwaondoa hawa majambazi waliopora maliasili zetu zote kwa manufaa yao binafsi na familia zao.
Najua nitaumiza baadhi ya ego for this BUT I had to do this today.
Sasa kwa nini usituwekee hizo sababu hapa?? Hivi kweli mlitegemea baada ya mkutano huo, huyo Kabwe angeanza series nyingine ya mikutano kupeleka ujumbe?? Hivi unafikiri nani angemuamini zaidi ya kutumia nafasi na madaraka yake ya kiofisi?? Tushaona skendo kibao duniani ambazo ni nyeti kuliko hii lakini kunakuwa na nyaraka au memo uchunguzi unapokuja kufanyika baadaye.