Uchambuzi: Chama Jr ajifunze Kwa Mwamnyeto

Uchambuzi: Chama Jr ajifunze Kwa Mwamnyeto

Labani og

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2020
Posts
19,637
Reaction score
29,473
Japo nafasi zao kiufundi haziendani lakin sio kigezo Cha mchezaji kushindwa kujifunza Kwa wengine

Chama ni miongoni mwa wachezaji wetu Bora ....ila Kuna vitu huyu mchezaji wetu anazingua ......

Mfano: Mechi yetu ya Wydadi Casablanca Chama alikuwa mzito wa kufanya maamuzi kiasi Kwamba anashindwa kufunga Kwa haraka au kuto assist ( Mr slow motion) ndio maana alifeli pale mjini Morocco

Nini kifanyike Ili kumtoa wydadi kwao

Chama afuatilie mechi nzima ya Yanga vs rivers then ajifunze jinsi ya kuwa faster kimaamuzi unavyokuwa na mpira

NB ajifunze Kwa Mwamnyeto.....huku kwenye mtoano hatuangalii sijui chenga Wala Nini .....tumia akili za fasta sana
1682236369977.jpg
 
Mimi nibshabiki wa Simba na naunga mkono hoja yako. Kuchelewa kufanya maamuzi kwa Chama kunainyima Simba fursa ya mabao ya ushindi. Sasa kama ile alipofanikiwa kuingia ndani ya 18 kulikuwa na haja gani ya kutaka kumpiga chenga yule beki mwarabu? Pale alitakiwa aangalie mapema wapi apeleke mpira maana kina Baleke tayari walikuwa kwenye position nzuri ya ku score.....
 
Mimi nibshabiki wa Simba na naunga mkono hoja yako. Kuchelewa kufanya maamuzi kwa Chama kunainyima Simba fursa ya mabao ya ushindi. Sasa kama ile alipofanikiwa kuingia ndani ya 18 kulikuwa na haja gani ya kutaka kumpiga chenga yule beki mwarabu? Pale alitakiwa aangalie mapema wapi apeleke mpira maana kina Baleke tayari walikuwa kwenye position nzuri ya ku score.....
Kabisa mkuu ..although .Chama ni football brain.....angekuwa na mpira wa Kasi ....Simba wangekuwa hatari sana
 
Kabisa mkuu ..although .Chama ni football brain.....angekuwa na mpira wa Kasi ....Simba wangekuwa hatari sana
Ni kweli, Morocco hakudumu kule kwasababu ya kasi ya mpira wenye kuhitaji maamuzi ya haraka. Angemfikia kwa kasi kidogo tu Macquison "Nickson" Simba ingekuwa na matokeo mazuri zaidi ya haya tunayoyapata
 
Japo nafasi zao kiufundi haziendani lakin sio kigezo Cha mchezaji kushindwa kujifunza Kwa wengine

Chama ni miongoni mwa wachezaji wetu Bora ....ila Kuna vitu huyu mchezaji wetu anazingua ......

Mfano: Mechi yetu ya Wydadi Casablanca Chama alikuwa mzito wa kufanya maamuzi kiasi Kwamba anashindwa kufunga Kwa haraka au kuto assist ( Mr slow motion) ndio maana alifeli pale mjini Morocco

Nini kifanyike Ili kumtoa wydadi kwao

Chama afuatilie mechi nzima ya Yanga vs rivers then ajifunze jinsi ya kuwa faster kimaamuzi unavyokuwa na mpira

NB ajifunze Kwa Mwamnyeto.....huku kwenye mtoano hatuangalii sijui chenga Wala Nini .....tumia akili za fasta sanaView attachment 2598258

Mwamu-Nyeto Kabahati safari Hii; makelee kibao. Chama ni fundi sana wa mpira hapa TZ. Mnyeto akasome.
 
Mimi nibshabiki wa Simba na naunga mkono hoja yako. Kuchelewa kufanya maamuzi kwa Chama kunainyima Simba fursa ya mabao ya ushindi. Sasa kama ile alipofanikiwa kuingia ndani ya 18 kulikuwa na haja gani ya kutaka kumpiga chenga yule beki mwarabu? Pale alitakiwa aangalie mapema wapi apeleke mpira maana kina Baleke tayari walikuwa kwenye position nzuri ya ku score.....
Mechi iliyopita chama alizingua sio siri , waydad ni wazuri ndio ila mechi ya majuzi iliwakataa kabisa na simba ilikuwa game yao wakawa wanakatika tuu uwanjani, kule Morocco hakuna rangi wataacha iona
 
Japo nafasi zao kiufundi haziendani lakin sio kigezo Cha mchezaji kushindwa kujifunza Kwa wengine

Chama ni miongoni mwa wachezaji wetu Bora ....ila Kuna vitu huyu mchezaji wetu anazingua ......

Mfano: Mechi yetu ya Wydadi Casablanca Chama alikuwa mzito wa kufanya maamuzi kiasi Kwamba anashindwa kufunga Kwa haraka au kuto assist ( Mr slow motion) ndio maana alifeli pale mjini Morocco

Nini kifanyike Ili kumtoa wydadi kwao

Chama afuatilie mechi nzima ya Yanga vs rivers then ajifunze jinsi ya kuwa faster kimaamuzi unavyokuwa na mpira

NB ajifunze Kwa Mwamnyeto.....huku kwenye mtoano hatuangalii sijui chenga Wala Nini .....tumia akili za fasta sanaView attachment 2598258
Ni upuuzi mtoto wa darasa la saba kufundishwa na mtoto wa darasa la nne, champions league afundishwe na shirikisho? Nehi
 
Back
Top Bottom