Uchambuzi: Chama Jr ajifunze Kwa Mwamnyeto

Uchambuzi: Chama Jr ajifunze Kwa Mwamnyeto

Japo nafasi zao kiufundi haziendani lakin sio kigezo Cha mchezaji kushindwa kujifunza Kwa wengine

Chama ni miongoni mwa wachezaji wetu Bora ....ila Kuna vitu huyu mchezaji wetu anazingua ......

Mfano: Mechi yetu ya Wydadi Casablanca Chama alikuwa mzito wa kufanya maamuzi kiasi Kwamba anashindwa kufunga Kwa haraka au kuto assist ( Mr slow motion) ndio maana alifeli pale mjini Morocco

Nini kifanyike Ili kumtoa wydadi kwao

Chama afuatilie mechi nzima ya Yanga vs rivers then ajifunze jinsi ya kuwa faster kimaamuzi unavyokuwa na mpira

NB ajifunze Kwa Mwamnyeto.....huku kwenye mtoano hatuangalii sijui chenga Wala Nini .....tumia akili za fasta sanaView attachment 2598258
naunga mkono hoja
 
Ihefu tulishampeleka yacuba mkuu
Hapa, unaonyesha kuwa wewe ni shabiki la utopolo. Lakini hapo juu, umejifanya wewe ni makolo! Hivyo, wewe ni popo
Hata hivyo, wewe ulifeli huko chuo kikuu, ukarudishwa sekondali! Utamfundishaje aliyeko chuo kikuu mbinu za kufaulu mtihani wa huko chuo kikuu? Kwa nini wewe haukuzitumia hizo mbinu, ili uendelee kuwepo huko?
 
Japo nafasi zao kiufundi haziendani lakin sio kigezo Cha mchezaji kushindwa kujifunza Kwa wengine

Chama ni miongoni mwa wachezaji wetu Bora ....ila Kuna vitu huyu mchezaji wetu anazingua ......

Mfano: Mechi yetu ya Wydadi Casablanca Chama alikuwa mzito wa kufanya maamuzi kiasi Kwamba anashindwa kufunga Kwa haraka au kuto assist ( Mr slow motion) ndio maana alifeli pale mjini Morocco

Nini kifanyike Ili kumtoa wydadi kwao

Chama afuatilie mechi nzima ya Yanga vs rivers then ajifunze jinsi ya kuwa faster kimaamuzi unavyokuwa na mpira

NB ajifunze Kwa Mwamnyeto.....huku kwenye mtoano hatuangalii sijui chenga Wala Nini .....tumia akili za fasta sanaView attachment 2598258
Ahaaaaaa

Uwanja unatishaa
 
Japo nafasi zao kiufundi haziendani lakin sio kigezo Cha mchezaji kushindwa kujifunza Kwa wengine

Chama ni miongoni mwa wachezaji wetu Bora ....ila Kuna vitu huyu mchezaji wetu anazingua ......

Mfano: Mechi yetu ya Wydadi Casablanca Chama alikuwa mzito wa kufanya maamuzi kiasi Kwamba anashindwa kufunga Kwa haraka au kuto assist ( Mr slow motion) ndio maana alifeli pale mjini Morocco

Nini kifanyike Ili kumtoa wydadi kwao

Chama afuatilie mechi nzima ya Yanga vs rivers then ajifunze jinsi ya kuwa faster kimaamuzi unavyokuwa na mpira

NB ajifunze Kwa Mwamnyeto.....huku kwenye mtoano hatuangalii sijui chenga Wala Nini .....tumia akili za fasta sanaView attachment 2598258
Kushinda mbili mshaanza kutupa ushauri wa hapa na pale?
 
Back
Top Bottom