Zahabu????KAMA MAWAZO NI HAYA NDO MAANA STROGILLERS GORGE HAIKUJENGWA TANGIA ZAMANI KWANI WAZUNGU WALITUAMINISHA KUWA TANZANIA UCHUMI WAKE NI MDOGO SANA KUZALISHA UMEME ULE..GEITA ZAHABU ZOTE ZINATOKA HUKO UKANDA WA GEITA NA CHATO NA NIMEKWAMBIA KUNAMGONDI UTAZIDI WA GGM UTAJENGWA..eia ILITANGAZWA KAMA WIKI TATU KWENYE MAGAZETI..HALAFU UMBWA KOKO WANAKUJA KUPINGA BILA ECONOMICS ZOZOTE
Mfano, Musoma kuna uwanja wa ndege lakini uwanja wa Bukoba hata kabla ya kuwa upgraded ulikuwa na ndege nyingi kuzidi Musoma. PW walikuwa wanaenda kila siku na hata mara mbili kwa baadhi ya siku, Auric walikuwa wanaenda mara tatu kila siku nk na sasa baada ya kuwekwa lami umeshamiri zaidi wakati una mita 1,200 tu!Maendeleo ya Chato ni sehemu ya Tanzania. Kama mikakati ikiwekwa hasa katika sekta ya Utalii na Wiwanda. Ndege zitatua tu hata kama Raisi wa Sasa Hatokuwepo Madarakani.
KAMA MAWAZO NI HAYA NDO MAANA STROGILLERS GORGE HAIKUJENGWA TANGIA ZAMANI KWANI WAZUNGU WALITUAMINISHA KUWA TANZANIA UCHUMI WAKE NI MDOGO SANA KUZALISHA UMEME ULE..GEITA ZAHABU ZOTE ZINATOKA HUKO UKANDA WA GEITA NA CHATO NA NIMEKWAMBIA KUNAMGONDI UTAZIDI WA GGM UTAJENGWA..eia ILITANGAZWA KAMA WIKI TATU KWENYE MAGAZETI..HALAFU UMBWA KOKO WANAKUJA KUPINGA BILA ECONOMICS ZOZOTE
Sawa.. Nakubaliana na Wewe. Lakini pia na wewe kubariana na mimiMfano, Musoma kuna uwanja wa ndege lakini uwanja wa Bukoba hata kabla ya kuwa upgraded ulikuwa na ndege nyingi kuzidi Musoma. PW walikuwa wanaenda kila siku na hata mara mbili kwa baadhi ya siku, Auric walikuwa wanaenda mara tatu kila siku nk na sasa baada ya kuwekwa lami umeshamiri zaidi.
Kwa hiyo kibiashara unajaribu soko kwanza alafu unaangalia mwelekeo, unajenga airstrip ya molam na ukiona mwitikio una upgrade. Hii ni sawa na mtu ambaye hajawahi hata kupanga chumba kuanza kwa kujenga ghrofa kwenye kiwanja cha squre meter 3000!
Mkuu uwanja Wa ndege ni muhimu katika kila Mji maana sometimes unatumika hata kuchukua wagojwa mahututu na kuwawahisha hospitali kubwa,lkn Kwa Mji Wa chato na hiyo miradi sijui ya migodi nk nadhani ilikuwa inatosha kabisa kujenga uwanja Mdogo Wa ndege kama Wa Arusha maana maana Kwa mbuga hiyo ya wanyama na cjui mgodi sidhani km kuna ndege kubwa km Boeing 737 itaenda huko.hivi unajua chato kunanini..Chatao kuna mbuga za brigi na rubombo kwa ajili ya utalii... Chato panafunguliwa mgod mkubwa sana wa dhahabu kuliko GGM amabo utakaa miaka 30-40 life span waith high grade gold in Africa and South America. usifate ujinga wakupinga kama wabunge amabo wanalirputa bila kufanya utafiti
Wilaya ya Chato, Ngara, Biharamulo, Kahama na Bukombe zipo katikati ya ukanda wa nchi za maziwa makuu.Hifadhi ya wanyama ya kisiwa cha Rubondo ipo Geita na kisiwa hicho kipo karibia na Chato,Mgodi wa dhahabu wa GGM upo karibia na Chato hapa kuliko mtu kutoka Geita then apite Sengerema kisha avuke maji afike wilaya ya Misungwi kisha aende Usagara kisha Buhongwa kisha Mkolani then Mkuyuni atoboe Pepsi kisha Mwanza Mjini Nara,Makongoro,apite Taqwa High School kisha kona ya bwiru aende Pasiansi kisha saba saba atoboe Ilemela ndio aingie airport Mwanza bora atoke Geita apite Buselesele kisha anaibukia Chato anakwea zake pipa
Of coz naunga mkono hoja ya kujenga Viwanja vya ndege katika kila miji nchini maana vinasaidia hata kukimbiza wagonjwa mahututi kwenye hispitali kubwa Kwa ndege za Kukodi, ila nadhani Viwanja vya kawaida tu vinatosha na si lazima kujenga Viwanja vya kurushia mindege mikubwaMaendeleo ya Chato ni sehemu ya Tanzania. Kama mikakati ikiwekwa hasa katika sekta ya Utalii na Wiwanda. Ndege zitatua tu hata kama Raisi wa Sasa Hatokuwepo Madarakani.
Ni kweli mkuu....Of coz naunga mkono hoja ya kujenga Viwanja vya ndege katika kila miji nchini maana vinasaidia hata kukimbiza wagonjwa mahututi kwenye hispitali kubwa Kwa ndege za Kukodi, ila nadhani Viwanja vya kawaida tu vinatosha na si lazima kujenga Viwanja vya kurushia mindege mikubwa
Umenena vyema mkuuWilaya ya Chato, Ngara, Biharamulo, Kahama na Bukombe zipo katikati ya ukanda wa nchi za maziwa makuu.
Uwanja huo kujengwa Wilaya ya Chato si tu kwa kuwa Rais anatoka huko, bali kijiografia Chato iko kama ilivyo Mwanza/Ilemela hivyo kufaa kwa ujenzi huo.
Lakini pia ujenzi huo utasisimua ujenzi wa miundombinu mingine ya kiuchumi kama vile biashara ya utalii, ujenzi ya mahoteli makubwa ya kisasa katika visiwa vinavyozunguka ziwa Victoria, Viwanda vikubwa vya samaki na nyama na kukuza biashara katika nchi za maziwa makuu (Congo, Rwanda, Uganda, Burundi, Tanzania na Zambia).
Ingelikuwa vyema iwapo wale wanaolalamika wangelifanya study tour ya kujionea fursa zilizoko ukanda huo hususani Wilaya ya Chato na Wilaya jirani, visiwa katika victoria na mandhali za kiutalii.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Uzuri uwanja wa ndege unaweza kutumia na ndege wa kawaida sioni kama ni vibaya.
Naona unaonyesha Usukuma wakoHifadhi ya wanyama ya kisiwa cha Rubondo ipo Geita na kisiwa hicho kipo karibia na Chato,Mgodi wa dhahabu wa GGM upo karibia na Chato hapa kuliko mtu kutoka Geita then apite Sengerema kisha avuke maji afike wilaya ya Misungwi kisha aende Usagara kisha Buhongwa kisha Mkolani then Mkuyuni atoboe Pepsi kisha Mwanza Mjini Nara,Makongoro,apite Taqwa High School kisha kona ya bwiru aende Pasiansi kisha saba saba atoboe Ilemela ndio aingie airport Mwanza bora atoke Geita apite Buselesele kisha anaibukia Chato anakwea zake pipa
Kwa mwendo huu tungekuwa na viwanja Butiama, Kisiju, Lupaso kule Masasi na MsogaMaendeleo ya Chato ni sehemu ya Tanzania. Kama mikakati ikiwekwa hasa katika sekta ya Utalii na Wiwanda. Ndege zitatua tu hata kama Raisi wa Sasa Hatokuwepo Madarakani.
Sasa hata makao makuu ya serikali Dodoma hakuna uwanja kama wa Chato!! Huoni ajabu?! Chato ilistahili air strip na uwanja mkubwa huo ungelijengwa Geita mkoani , wala mtu asingelilalamikaIla wapinzani wa Tanzania hadi kero ase
KunguruUzuri uwanja wa ndege unaweza kutumia na ndege wa kawaida sioni kama ni vibaya.