Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 19,637
- 29,473
HII KESI YA YANGA NA TFF ITAKAVYOKUWA KWENYE MAHAKAMA YA SOKA CAS.
Kwa utaalamu wangu wa Sheria kutoka chuo Bora MZUMBE UNIVERSITY ( Harvard of Africa)
CAS: Tumepokea malalamika kutoka Yanga SC dhidi yenu kwa kuailisha mechi kati ya Yanga Sc na Simba SC bila kufuata taratibu na kanuni zenu! Ebu tuambie ilikuaje?
TFF: Ni kweli tulifanya hivyo baada ya kupokea malalamiko kutoka Simba Sc kwamba walinyimwa haki yao ya kufanya mazoezi kwenye uwanja husika siku moja kabla.
YANGA SC: Iambie mahakama ni nani aliwanyima haki yao ya kufanya mazoezi?
TFF: Walisema ni Mabaunsa wa Yanga SC ndio waliwazuia kufanya mazoezi ya mwisho.
CAS: Hawa Mabaunsa ni akina nani kwenye club yenu?
YANGA SC: Hata sisi tunashangaa kutuhusisha sisi na Mabaunsa, maana katika muundo wa timu yetu hatuna waajiliwa wanaitwa Mabaunsa hata TFF wenyewe wanajua!
TFF: Sisi tuliambiwa na Simba SC kwamba tumezuiliwa na Mabaunsa wa Yanga SC sisi hatujui lolote kuhusu Mabaunsa.
YANGA SC: Je kanuni zetu zinasemaje kuhusu team mgeni kupata haki yake ya kufanya mazoezi siku moja kabla?
CAS: TFF jibu swali hilo!
TFF: Kanuni zetu zinasema timu mgeni inatakiwa iwasiliane na timu mwenyeji pamoja na kamisaa wa mchezo ili wapate kibali cha kuingia uwanjani.
CAS: Je Simba Sc walifanya hivyo?
TFF: Hapana hawakufanya hivyo walijiendea wenyewe tu bila kutoa taarifa.
CAS: Sasa hiyo haki wanayolilia ni ipi wakati hawakufuata utaratibu?
TFF: oooh! ooh! hata sisi tulipata kigugumizi kuamua jambo lao mwisho wa siku tukafanya busara tu.
CAS: Kulingana na kanuni zenu Simba Sc wapo sahihi kugoma kuingia uwanjani?
TFF: Hapana! Walitakiwa wacheze alafu baada ya mechi ndio suala lao lifanyiwe uchunguzi na kushughulikiwa kwa kuiadhibu timu mwenyeji kama wamehusika na kosa hilo.
YANGA SC: Iambie mahakama mliahilisha mechi kwa kutumia kanuni zipi?
TFF: Hakuna kanuni tuliyotumia bali tulitumia busara tu ili kuweka mambo sawa.
CAS: Mpira unaongozwa na kanuni hiyo busara imetoka wapi?
TFF: Ooh! ooh! hapo tulikosea!
CAS: Ni adhabu ipi inapewa timu inayogoma kuingia uwanjani?
TFF: Kupokwa points 15, faini
At the end Yanga atashinda
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Kwa utaalamu wangu wa Sheria kutoka chuo Bora MZUMBE UNIVERSITY ( Harvard of Africa)
CAS: Tumepokea malalamika kutoka Yanga SC dhidi yenu kwa kuailisha mechi kati ya Yanga Sc na Simba SC bila kufuata taratibu na kanuni zenu! Ebu tuambie ilikuaje?
TFF: Ni kweli tulifanya hivyo baada ya kupokea malalamiko kutoka Simba Sc kwamba walinyimwa haki yao ya kufanya mazoezi kwenye uwanja husika siku moja kabla.
YANGA SC: Iambie mahakama ni nani aliwanyima haki yao ya kufanya mazoezi?
TFF: Walisema ni Mabaunsa wa Yanga SC ndio waliwazuia kufanya mazoezi ya mwisho.
CAS: Hawa Mabaunsa ni akina nani kwenye club yenu?
YANGA SC: Hata sisi tunashangaa kutuhusisha sisi na Mabaunsa, maana katika muundo wa timu yetu hatuna waajiliwa wanaitwa Mabaunsa hata TFF wenyewe wanajua!
TFF: Sisi tuliambiwa na Simba SC kwamba tumezuiliwa na Mabaunsa wa Yanga SC sisi hatujui lolote kuhusu Mabaunsa.
YANGA SC: Je kanuni zetu zinasemaje kuhusu team mgeni kupata haki yake ya kufanya mazoezi siku moja kabla?
CAS: TFF jibu swali hilo!
TFF: Kanuni zetu zinasema timu mgeni inatakiwa iwasiliane na timu mwenyeji pamoja na kamisaa wa mchezo ili wapate kibali cha kuingia uwanjani.
CAS: Je Simba Sc walifanya hivyo?
TFF: Hapana hawakufanya hivyo walijiendea wenyewe tu bila kutoa taarifa.
CAS: Sasa hiyo haki wanayolilia ni ipi wakati hawakufuata utaratibu?
TFF: oooh! ooh! hata sisi tulipata kigugumizi kuamua jambo lao mwisho wa siku tukafanya busara tu.
CAS: Kulingana na kanuni zenu Simba Sc wapo sahihi kugoma kuingia uwanjani?
TFF: Hapana! Walitakiwa wacheze alafu baada ya mechi ndio suala lao lifanyiwe uchunguzi na kushughulikiwa kwa kuiadhibu timu mwenyeji kama wamehusika na kosa hilo.
YANGA SC: Iambie mahakama mliahilisha mechi kwa kutumia kanuni zipi?
TFF: Hakuna kanuni tuliyotumia bali tulitumia busara tu ili kuweka mambo sawa.
CAS: Mpira unaongozwa na kanuni hiyo busara imetoka wapi?
TFF: Ooh! ooh! hapo tulikosea!
CAS: Ni adhabu ipi inapewa timu inayogoma kuingia uwanjani?
TFF: Kupokwa points 15, faini
At the end Yanga atashinda
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app