Uchambuzi: Hivi ndivyo kesi ya Yanga na TFF itavyokuwa huko CAS

Uchambuzi: Hivi ndivyo kesi ya Yanga na TFF itavyokuwa huko CAS

Hakuna mtu aliyesoma mzumbe ana akili mbovu kama za kwako. Wewe nachelea kuamini kua umesoma ..siamini..tena unatumia tecno..[emoji23] hata neno ignorant halikukai , labda stupidity..
Punguza jasba Mkuu
 
CAF: kwenye katiba ya YANGA mabaunsa wako kifungu gani?
Simba sc: hata yule mzee wa aliyewa wana watu hayuko kwenye katiba lkn hutangulia mbele ya timu na kuwatemea mate waanze mpira
 
Tuletee kanuni ya 31 uitafsiri.
Ni 31 au 34?
Bodi ilitumia 34(1.3)

KANUNI 34: KUAHIRISHA MCHEZO.

Mchezo unaweza kuahirishwa kutokana na sababu yoyote kati yazifuatazo:

1.1. Endapo timu ya Taifa ina mchezo.

1.2. Endapo timu inashiriki katika mashindano ya Kimataifa na ina muda usiozidi siku tatu (3) kufikia mchezo wa Kimataifa.

1.3. Sababu ya dharura au/na yenye msingi itakayokubaliwa na TFF.

1.4. Endapo itatokea matukio yalio nje ya uwezo wa binadamu (force
majure) yasiyotarajiwa wala kusababishwa na timu husika.

1.5 Endapo wachezaji wasiopungua watatu (3) wa klabu moja wataitwa kushiriki mchezo wa timu ya Taifa.

Bodi ya Ligi ilitumia kanuni ya 34(1.3) ambayo inazungumzia sababu ya dharura yenye msingi itakayokubaliwa na TFF.
 
HII KESI YA YANGA NA TFF ITAKAVYOKUWA KWENYE MAHAKAMA YA SOKA CAS.

Kwa utaalamu wangu wa Sheria kutoka chuo Bora MZUMBE UNIVERSITY ( Harvard of Africa)

CAS: Tumepokea malalamika kutoka Yanga SC dhidi yenu kwa kuailisha mechi kati ya Yanga Sc na Simba SC bila kufuata taratibu na kanuni zenu! Ebu tuambie ilikuaje?

TFF: Ni kweli tulifanya hivyo baada ya kupokea malalamiko kutoka Simba Sc kwamba walinyimwa haki yao ya kufanya mazoezi kwenye uwanja husika siku moja kabla.

YANGA SC: Iambie mahakama ni nani aliwanyima haki yao ya kufanya mazoezi?

TFF: Walisema ni Mabaunsa wa Yanga SC ndio waliwazuia kufanya mazoezi ya mwisho.

CAS: Hawa Mabaunsa ni akina nani kwenye club yenu?

YANGA SC: Hata sisi tunashangaa kutuhusisha sisi na Mabaunsa, maana katika muundo wa timu yetu hatuna waajiliwa wanaitwa Mabaunsa hata TFF wenyewe wanajua!

TFF: Sisi tuliambiwa na Simba SC kwamba tumezuiliwa na Mabaunsa wa Yanga SC sisi hatujui lolote kuhusu Mabaunsa.

YANGA SC: Je kanuni zetu zinasemaje kuhusu team mgeni kupata haki yake ya kufanya mazoezi siku moja kabla?

CAS: TFF jibu swali hilo!

TFF: Kanuni zetu zinasema timu mgeni inatakiwa iwasiliane na timu mwenyeji pamoja na kamisaa wa mchezo ili wapate kibali cha kuingia uwanjani.

CAS: Je Simba Sc walifanya hivyo?

TFF: Hapana hawakufanya hivyo walijiendea wenyewe tu bila kutoa taarifa.

CAS: Sasa hiyo haki wanayolilia ni ipi wakati hawakufuata utaratibu?

TFF: oooh! ooh! hata sisi tulipata kigugumizi kuamua jambo lao mwisho wa siku tukafanya busara tu.

CAS: Kulingana na kanuni zenu Simba Sc wapo sahihi kugoma kuingia uwanjani?

TFF: Hapana! Walitakiwa wacheze alafu baada ya mechi ndio suala lao lifanyiwe uchunguzi na kushughulikiwa kwa kuiadhibu timu mwenyeji kama wamehusika na kosa hilo.

YANGA SC: Iambie mahakama mliahilisha mechi kwa kutumia kanuni zipi?

TFF: Hakuna kanuni tuliyotumia bali tulitumia busara tu ili kuweka mambo sawa.

CAS: Mpira unaongozwa na kanuni hiyo busara imetoka wapi?

TFF: Ooh! ooh! hapo tulikosea!

CAS: Ni adhabu ipi inapewa timu inayogoma kuingia uwanjani?

TFF: Kupokwa points 15, faini

At the end Yanga atashinda View attachment 3267562

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Kama ww ndo mwanasheria hakika mtaendelea kubutuliwa kila cku
 
Hakuna mtu aliyesoma mzumbe ana akili mbovu kama za kwako. Wewe nachelea kuamini kua umesoma ..siamini..tena unatumia tecno..[emoji23] hata neno ignorant halikukai , labda stupidity..
Hii ni product ya Zoom College
 
Mnajua ujinga Simba mlioufanya kwa kushirikiana na Tff halafu mnakomaaaaaaa .

Kimsingi Simba baada ya kuona atafungwa goli nyingi akaona bora asiingize timu uwanjani, akaona atengeneze scenario itakayowaaminisha watu , pili akaona ili kuepuka rungu la Tff la kunyang'anywa points ni bora achonge dili na Tff ili game iahirishwe. Na ndicho kilichofanyika hicho.

Sema ninawasifu Simba wanajua sana Propaganda. Mashabiki wa Simba wakiamua kutetea hoja ya uongo wanaitetea kwa nguvu zote , yaani wakiamua kusema mbuzi ni nguruwe hakika watasimamia hivyohivyo. Pia Wachambuzi wengi wa Mchongo kwa asilimia kubwa wanasaidia ku propagate issue ya Simba .
Alisikika utopwinyo mmoja kutoka gezaulole
 
H
HII KESI YA YANGA NA TFF ITAKAVYOKUWA KWENYE MAHAKAMA YA SOKA CAS.

Kwa utaalamu wangu wa Sheria kutoka chuo Bora MZUMBE UNIVERSITY ( Harvard of Africa)

CAS: Tumepokea malalamika kutoka Yanga SC dhidi yenu kwa kuailisha mechi kati ya Yanga Sc na Simba SC bila kufuata taratibu na kanuni zenu! Ebu tuambie ilikuaje?

TFF: Ni kweli tulifanya hivyo baada ya kupokea malalamiko kutoka Simba Sc kwamba walinyimwa haki yao ya kufanya mazoezi kwenye uwanja husika siku moja kabla.

YANGA SC: Iambie mahakama ni nani aliwanyima haki yao ya kufanya mazoezi?

TFF: Walisema ni Mabaunsa wa Yanga SC ndio waliwazuia kufanya mazoezi ya mwisho.

CAS: Hawa Mabaunsa ni akina nani kwenye club yenu?

YANGA SC: Hata sisi tunashangaa kutuhusisha sisi na Mabaunsa, maana katika muundo wa timu yetu hatuna waajiliwa wanaitwa Mabaunsa hata TFF wenyewe wanajua!

TFF: Sisi tuliambiwa na Simba SC kwamba tumezuiliwa na Mabaunsa wa Yanga SC sisi hatujui lolote kuhusu Mabaunsa.

YANGA SC: Je kanuni zetu zinasemaje kuhusu team mgeni kupata haki yake ya kufanya mazoezi siku moja kabla?

CAS: TFF jibu swali hilo!

TFF: Kanuni zetu zinasema timu mgeni inatakiwa iwasiliane na timu mwenyeji pamoja na kamisaa wa mchezo ili wapate kibali cha kuingia uwanjani.

CAS: Je Simba Sc walifanya hivyo?

TFF: Hapana hawakufanya hivyo walijiendea wenyewe tu bila kutoa taarifa.

CAS: Sasa hiyo haki wanayolilia ni ipi wakati hawakufuata utaratibu?

TFF: oooh! ooh! hata sisi tulipata kigugumizi kuamua jambo lao mwisho wa siku tukafanya busara tu.

CAS: Kulingana na kanuni zenu Simba Sc wapo sahihi kugoma kuingia uwanjani?

TFF: Hapana! Walitakiwa wacheze alafu baada ya mechi ndio suala lao lifanyiwe uchunguzi na kushughulikiwa kwa kuiadhibu timu mwenyeji kama wamehusika na kosa hilo.

YANGA SC: Iambie mahakama mliahilisha mechi kwa kutumia kanuni zipi?

TFF: Hakuna kanuni tuliyotumia bali tulitumia busara tu ili kuweka mambo sawa.

CAS: Mpira unaongozwa na kanuni hiyo busara imetoka wapi?

TFF: Ooh! ooh! hapo tulikosea!

CAS: Ni adhabu ipi inapewa timu inayogoma kuingia uwanjani?

TFF: Kupokwa points 15, faini

At the end Yanga atashinda View attachment 3267562

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Hiyo kanuni ya timu ngeni kumtaarifu timu mwenyeji, kamisaa na meneja wa uwanja ni kifungu cha ngapi?
 
Utopolo wakitaka washinde hiyo kesi labda wamtumie benarld morrisson ili awe wakili wao kwenye hiyo kesi yao kwani hao utopolo hawajawahi shinda kesi yeyote huko cas pia hao utopolokwinho inabidi wajiulize kuwa hivi neno ubaya ubwela lina maana ipi hasa?
 
Back
Top Bottom