Lupweko
JF-Expert Member
- Mar 26, 2009
- 23,566
- 24,891
Wanajiamini? Mbona tangu 2021 kila mechi hawapiti mlango rasmi wa teams na wapo radhi kulipa faini?Hapana... yawezekana Yanga wanajiamini sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanajiamini? Mbona tangu 2021 kila mechi hawapiti mlango rasmi wa teams na wapo radhi kulipa faini?Hapana... yawezekana Yanga wanajiamini sana
Aaah Hilo silijui mkuu....lábda nifuatilieWanajiamini? Mbona tangu 2021 kila mechi hawapiti mlango rasmi wa teams na wapo radhi kulipa faini?
Punguza jasba MkuuHakuna mtu aliyesoma mzumbe ana akili mbovu kama za kwako. Wewe nachelea kuamini kua umesoma ..siamini..tena unatumia tecno..[emoji23] hata neno ignorant halikukai , labda stupidity..
CAF: kwenye katiba ya YANGA mabaunsa wako kifungu gani?Simba sc: Mheshimiwa tuna video ya baunsa tunaileta kama ushahidi naomba upokelewe
CAS: Wewe Simba sc uliandika barua kuwa hutaenda kucheza . Je unayo barua iliyotangua barua hii niliyo nayo mkononi ya kusema huendi kucheza?Waulize Bodi na TFF walioizuia Simba isiende kucheza
Simba Sc: Alikuwa na mawe huku akifoko tusingeweza kumkaribia mhNamba ya Nida ya Baunsa ina jina la mmiliki wa club ya yangu Kama body membe?
Simba sc: hata yule mzee wa aliyewa wana watu hayuko kwenye katiba lkn hutangulia mbele ya timu na kuwatemea mate waanze mpiraCAF: kwenye katiba ya YANGA mabaunsa wako kifungu gani?
Ni 31 au 34?Tuletee kanuni ya 31 uitafsiri.
Kwa sababu TFF wanajua ni lazima kufanya mazoezi ya mwisho, ndo maana wakaahirisha mechi hadi Simba watakafanya mazoezi ya mwisho.
Kama ww ndo mwanasheria hakika mtaendelea kubutuliwa kila ckuHII KESI YA YANGA NA TFF ITAKAVYOKUWA KWENYE MAHAKAMA YA SOKA CAS.
Kwa utaalamu wangu wa Sheria kutoka chuo Bora MZUMBE UNIVERSITY ( Harvard of Africa)
CAS: Tumepokea malalamika kutoka Yanga SC dhidi yenu kwa kuailisha mechi kati ya Yanga Sc na Simba SC bila kufuata taratibu na kanuni zenu! Ebu tuambie ilikuaje?
TFF: Ni kweli tulifanya hivyo baada ya kupokea malalamiko kutoka Simba Sc kwamba walinyimwa haki yao ya kufanya mazoezi kwenye uwanja husika siku moja kabla.
YANGA SC: Iambie mahakama ni nani aliwanyima haki yao ya kufanya mazoezi?
TFF: Walisema ni Mabaunsa wa Yanga SC ndio waliwazuia kufanya mazoezi ya mwisho.
CAS: Hawa Mabaunsa ni akina nani kwenye club yenu?
YANGA SC: Hata sisi tunashangaa kutuhusisha sisi na Mabaunsa, maana katika muundo wa timu yetu hatuna waajiliwa wanaitwa Mabaunsa hata TFF wenyewe wanajua!
TFF: Sisi tuliambiwa na Simba SC kwamba tumezuiliwa na Mabaunsa wa Yanga SC sisi hatujui lolote kuhusu Mabaunsa.
YANGA SC: Je kanuni zetu zinasemaje kuhusu team mgeni kupata haki yake ya kufanya mazoezi siku moja kabla?
CAS: TFF jibu swali hilo!
TFF: Kanuni zetu zinasema timu mgeni inatakiwa iwasiliane na timu mwenyeji pamoja na kamisaa wa mchezo ili wapate kibali cha kuingia uwanjani.
CAS: Je Simba Sc walifanya hivyo?
TFF: Hapana hawakufanya hivyo walijiendea wenyewe tu bila kutoa taarifa.
CAS: Sasa hiyo haki wanayolilia ni ipi wakati hawakufuata utaratibu?
TFF: oooh! ooh! hata sisi tulipata kigugumizi kuamua jambo lao mwisho wa siku tukafanya busara tu.
CAS: Kulingana na kanuni zenu Simba Sc wapo sahihi kugoma kuingia uwanjani?
TFF: Hapana! Walitakiwa wacheze alafu baada ya mechi ndio suala lao lifanyiwe uchunguzi na kushughulikiwa kwa kuiadhibu timu mwenyeji kama wamehusika na kosa hilo.
YANGA SC: Iambie mahakama mliahilisha mechi kwa kutumia kanuni zipi?
TFF: Hakuna kanuni tuliyotumia bali tulitumia busara tu ili kuweka mambo sawa.
CAS: Mpira unaongozwa na kanuni hiyo busara imetoka wapi?
TFF: Ooh! ooh! hapo tulikosea!
CAS: Ni adhabu ipi inapewa timu inayogoma kuingia uwanjani?
TFF: Kupokwa points 15, faini
At the end Yanga atashinda View attachment 3267562
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
HakikaHakuna mtu aliyesoma mzumbe ana akili mbovu kama za kwako. Wewe nachelea kuamini kua umesoma ..siamini..tena unatumia tecno..[emoji23] hata neno ignorant halikukai , labda stupidity..
Hii ni product ya Zoom CollegeHakuna mtu aliyesoma mzumbe ana akili mbovu kama za kwako. Wewe nachelea kuamini kua umesoma ..siamini..tena unatumia tecno..[emoji23] hata neno ignorant halikukai , labda stupidity..
Alisikika utopwinyo mmoja kutoka gezauloleMnajua ujinga Simba mlioufanya kwa kushirikiana na Tff halafu mnakomaaaaaaa .
Kimsingi Simba baada ya kuona atafungwa goli nyingi akaona bora asiingize timu uwanjani, akaona atengeneze scenario itakayowaaminisha watu , pili akaona ili kuepuka rungu la Tff la kunyang'anywa points ni bora achonge dili na Tff ili game iahirishwe. Na ndicho kilichofanyika hicho.
Sema ninawasifu Simba wanajua sana Propaganda. Mashabiki wa Simba wakiamua kutetea hoja ya uongo wanaitetea kwa nguvu zote , yaani wakiamua kusema mbuzi ni nguruwe hakika watasimamia hivyohivyo. Pia Wachambuzi wengi wa Mchongo kwa asilimia kubwa wanasaidia ku propagate issue ya Simba .
Hiyo kanuni ya timu ngeni kumtaarifu timu mwenyeji, kamisaa na meneja wa uwanja ni kifungu cha ngapi?HII KESI YA YANGA NA TFF ITAKAVYOKUWA KWENYE MAHAKAMA YA SOKA CAS.
Kwa utaalamu wangu wa Sheria kutoka chuo Bora MZUMBE UNIVERSITY ( Harvard of Africa)
CAS: Tumepokea malalamika kutoka Yanga SC dhidi yenu kwa kuailisha mechi kati ya Yanga Sc na Simba SC bila kufuata taratibu na kanuni zenu! Ebu tuambie ilikuaje?
TFF: Ni kweli tulifanya hivyo baada ya kupokea malalamiko kutoka Simba Sc kwamba walinyimwa haki yao ya kufanya mazoezi kwenye uwanja husika siku moja kabla.
YANGA SC: Iambie mahakama ni nani aliwanyima haki yao ya kufanya mazoezi?
TFF: Walisema ni Mabaunsa wa Yanga SC ndio waliwazuia kufanya mazoezi ya mwisho.
CAS: Hawa Mabaunsa ni akina nani kwenye club yenu?
YANGA SC: Hata sisi tunashangaa kutuhusisha sisi na Mabaunsa, maana katika muundo wa timu yetu hatuna waajiliwa wanaitwa Mabaunsa hata TFF wenyewe wanajua!
TFF: Sisi tuliambiwa na Simba SC kwamba tumezuiliwa na Mabaunsa wa Yanga SC sisi hatujui lolote kuhusu Mabaunsa.
YANGA SC: Je kanuni zetu zinasemaje kuhusu team mgeni kupata haki yake ya kufanya mazoezi siku moja kabla?
CAS: TFF jibu swali hilo!
TFF: Kanuni zetu zinasema timu mgeni inatakiwa iwasiliane na timu mwenyeji pamoja na kamisaa wa mchezo ili wapate kibali cha kuingia uwanjani.
CAS: Je Simba Sc walifanya hivyo?
TFF: Hapana hawakufanya hivyo walijiendea wenyewe tu bila kutoa taarifa.
CAS: Sasa hiyo haki wanayolilia ni ipi wakati hawakufuata utaratibu?
TFF: oooh! ooh! hata sisi tulipata kigugumizi kuamua jambo lao mwisho wa siku tukafanya busara tu.
CAS: Kulingana na kanuni zenu Simba Sc wapo sahihi kugoma kuingia uwanjani?
TFF: Hapana! Walitakiwa wacheze alafu baada ya mechi ndio suala lao lifanyiwe uchunguzi na kushughulikiwa kwa kuiadhibu timu mwenyeji kama wamehusika na kosa hilo.
YANGA SC: Iambie mahakama mliahilisha mechi kwa kutumia kanuni zipi?
TFF: Hakuna kanuni tuliyotumia bali tulitumia busara tu ili kuweka mambo sawa.
CAS: Mpira unaongozwa na kanuni hiyo busara imetoka wapi?
TFF: Ooh! ooh! hapo tulikosea!
CAS: Ni adhabu ipi inapewa timu inayogoma kuingia uwanjani?
TFF: Kupokwa points 15, faini
At the end Yanga atashinda View attachment 3267562
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Hivi huko CAS miliwahi kushinda kesi ngapi?Kama Simba na TFF watachomoka kwenye hili ....basi nitajihudhuru hapa jf
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Harvard of AfricaUmesema Mzumbe University ni Havard of what?
[emoji23]
Usiishi Kwa mzoea kijanaHivi huko CAS miliwahi kushinda kesi ngapi?
Kwenye suala la kishheria Yanga weupe.
Mwenasheria wenu huenda anakula rushwa za wadai au laa hajui sheria.