Hujui mpira nyamaza.We Timu Bolu possession 20% kwa 80% , mmeshikilia bomba Mwanzo Mwisho mkiwa Kwenu.... Huyu atakukosa vipi ukienda Kwake?
Asec Mimosa alishikilia bomba ,Lkn alikuwa ugenini..! Msipende kujicompare nyie Utopolo..!
Yanga ilicheza conventional.
Yanga ilikua na shot on target nyingi na Yanga alifika golini kwa mamelody mara nyingi.
Bimaana Mamelody possess yake ilikua ni pasi tu.
Alichofanya Yanga ni kama Chelsea dhidi ya barcelona.
Chelsea ilimtoa uefa barcelona kwa kumfunga goli mbili huku posession ilikua 20% kwa 80%.
Je hapo unasemaje???
Hujui mpira kaa kimya.