Uchambuzi: Kuvuja kwa mazungumzo ya siri ya kamanda wa Ujerumani, Russia yaonyesha kuwa ipo juu katika medani ya ujasusi duniani, NATO washangaa

China keshapigana na Japan,USA kutokana VA vita ya korea na pia Urusi na vi nchi vingine.
Wako vizuri sana kiujasusi.sema muda haujafika TU wa kujulikana ujasusi wao.
 
Nuland ashajiuzuru?
Siku kama tatu zilizopita tarehe 5 March 2024 kulikuwa na taarifa rasmi Victoria Nuland atajiuzuru majuma machache yajayo (few weeks to come).
Imeelezwa hivyo katika taarifa rasmi iliyotolewa na Secretary of State Antony Blinken.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…