anyway,
hapa duniani kwa sasa ni nchi mbili tu ndio zina uwezo mkubwa kijeshi, na kijasusi..... Russia na US...... hawa wana uwezo, uzoefu na ujuzi wa kila mbinu kwenye uwanja wa vita!
akina China bado sana, sijui itachukua miaka mingapi maana hajawahi pigana vita hata moja