Bongo ni kubwa mkuu.....but Samata Ali perform vizuri Congo kuliko ulayaUmesema Ligi ndogo haijawai kutoa mtu mzuri. Amekupa mfano Samatta alitokea ligi (ndogo) ya Tz akenda kucheza ligi (kubwa) ya Congo akafanya poa, akaenda Belgium akafanya poa
Vp Kwa sarpong aliyekiwasha pale Kwa kagameEden Hazard alitoka timu ndogo sana Lille ya League 1 na akakiwasha EPL, Kagere alitoka Rwanda akaenda Kenya Gor Mahia kisha akaja Tz na akakiwasha Simba SC,
Chikwende alitoka Ligi na nchi ambayo mda huo walikuwa wanatuzidi karibia kila kitu Zimbabwe ni nini alifanya?
Wakati mnakamata mkia kwenye kundi lenu CAFcc hawa rayon sport si ndio waliowapiga za uso huko Rwanda na mkaambulia sare hapa Tz kwa Mkapa?𝙇𝙄𝙂𝙄 𝙉𝘿𝙊𝙂𝙊 𝙃𝘼𝙄𝙅𝘼𝙒𝘼𝙃𝙄 𝙆𝙐𝙏𝙊𝘼 𝙈𝙏𝙐 𝙈𝙕𝙐𝙍𝙄.
Yaan hiyo Ligi ya Rwanda akicheza MZIZE anachukua tuzo zote. Ukiona Umbo la Onana na Sarpong unaogopa ila kazi zao sasa alafu wote huwa wanatokea RAYON SPORT[emoji2296].Yaan kwa Rwanda angalau mchezaji atoke APR kama Niyonzima na Twite lakin Rayon ambayo kila mwaka imejitahidi ni Nafasi ya pili ni bomu tu.
Yale Yale ya kina sawa kubwa
NIMEKAA PALEEEEEEEE
Asante sana, well said, hunaga baya mtaniNikiwa kama mdau wa michezo, sina ujasiri wa kumhukumu wakati sijamuona akicheza. Ligi itakapoanza, mbivu na mbichi zitajulikana.
Muhimu tu kila usajili kwa timu za ligi kuu, basi uwe na tija kwa timu zote zinazoshiriki. Na usiwe usajili wa mihemko, au kukomoana.
Leo nimekupa like mtaniNikiwa kama mdau wa michezo, sina ujasiri wa kumhukumu wakati sijamuona akicheza. Ligi itakapoanza, mbivu na mbichi zitajulikana.
Muhimu tu kila usajili kwa timu za ligi kuu, basi uwe na tija kwa timu zote zinazoshiriki. Na usiwe usajili wa mihemko, au kukomoana.
We ni miongoni mwa mashabiki wanaojua mpira huko utopoloni .Hongera zako.Japo wakati mwingine huwa unajizima data kwa makusudiNikiwa kama mdau wa michezo, sina ujasiri wa kumhukumu wakati sijamuona akicheza. Ligi itakapoanza, mbivu na mbichi zitajulikana.
Muhimu tu kila usajili kwa timu za ligi kuu, basi uwe na tija kwa timu zote zinazoshiriki. Na usiwe usajili wa mihemko, au kukomoana.
Mashujaa waliwahi mbandua Simba.....Je inamaanisha mahujaa ni Bora zaidi ya kolo???Wakati mnakamata mkia kwenye kundi lenu CAFcc hawa rayon sport si ndio waliowapiga za uso huko Rwanda na mkaambulia sare hapa Tz kwa Mkapa?View attachment 2679504
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]we jamaa bhn,hata yanga makachakacha kama beki la chan doumbia hayatakosekanahizi polimilai hatuzitaki ,ngoja ligi ifunguliwe japo simba najua lazima makachakacha kama akina okwa hayatakosekana
Ya kibabe sana hii[emoji1666][emoji119][emoji119][emoji119]Nikiwa kama mdau wa michezo, sina ujasiri wa kumhukumu wakati sijamuona akicheza. Ligi itakapoanza, mbivu na mbichi zitajulikana.
Muhimu tu kila usajili kwa timu za ligi kuu, basi uwe na tija kwa timu zote zinazoshiriki. Na usiwe usajili wa mihemko, au kukomoana.
Umri wakeGael Bigirimana alitokea kwenye ligi bora kabisa duniani, EPL
Roho mbaya na ujuaji wakizamani.Anashindwa kuelewa kwamba mpira ni kazi tu,na hakunaga mchezaji mbaya bali mazingira ya ofisi ndiyo ambayo yanakua changamoto kwa baadhi ya wachezaji.sio kila mchezaji anaweza akacheza kwenye kila mazingira kwakiwango kile kile.Kwahiyo nivizur tuupe muda nafasi.Una dalili ya roho mbaya We Jamaa, 😡😡😡😡
Ila katika suala walilonisikitisha Simba SC ni kutomsajili huyu Mwamba Jean Baleke. Imekuwaje wameshindwa kumsajili wakati kulikuwa na clause ya kumnunua kati yao na TP Mazembe, na sasa nimeona kwenye mitandao ameenda kuibukia Raja Casablanca. Dah nimesikitika sana. Jamaa alikuwa anajua, hasa nikikumbuka mechi ya mkondo wa pili ya mwaka 2022/23 alivyowasumbua mabeki wa Yanga. Vilevile, alivyoiwezesha Simba SC kuwa bora kwa kipindi kifupi.Kikawaida HUWEZI KUBALI USAJILI WA SIMBA,so kazi kwenu kusema yoooote mkimaliza tukutane msimu ujao.
Hujui kitu wewe, Genk KRC walimuimba sana kuliko hata Tp mazembe.Bongo ni kubwa mkuu.....but Samata Ali perform vizuri Congo kuliko ulaya
Football ni science mkuuKikawaida HUWEZI KUBALI USAJILI WA SIMBA,so kazi kwenu kusema yoooote mkimaliza tukutane msimu ujao.