Uchambuzi: Kwanini Simba kwa Onana wamepigwa

Uchambuzi: Kwanini Simba kwa Onana wamepigwa

𝙇𝙄𝙂𝙄 𝙉𝘿𝙊𝙂𝙊 𝙃𝘼𝙄𝙅𝘼𝙒𝘼𝙃𝙄 𝙆𝙐𝙏𝙊𝘼 𝙈𝙏𝙐 𝙈𝙕𝙐𝙍𝙄.

Yaan hiyo Ligi ya Rwanda akicheza MZIZE anachukua tuzo zote. Ukiona Umbo la Onana na Sarpong unaogopa ila kazi zao sasa alafu wote huwa wanatokea RAYON SPORT[emoji2296].

Yaani kwa Rwanda angalau mchezaji atoke APR kama Niyonzima na Twite lakin Rayon ambayo kila mwaka imejitahidi ni Nafasi ya pili ni bomu tu.

Yale Yale ya kina sawa kubwa

NIMEKAA PALEEEEEEEE
hebu tuyaache haya maneno ya tumepigwa
 
Kama wale washuka daraja kule bondeni malumo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na skudu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hakika ww ni mchambua mboga na si mchambuzi wa michezo
FB_IMG_16983907399430423.jpg
 
"Rafiki yetu SAMUEL ETOO ndiye aliyetushawishi kumsajili ONANA alisema ni chuma kizito" - Ahmed Ally, Afisa habari wa klabu ya Simba SC.
 
"Rafiki yetu SAMUEL ETOO ndiye aliyetushawishi kumsajili ONANA alisema ni chuma kizito" - Ahmed Ally, Afisa habari wa klabu ya Simba SC.
Kispika anaongea sana mwisho anaharibu[emoji23]
 
Back
Top Bottom