Pesa pesa pesaIla katika suala walilonisikitisha Simba SC ni kutomsajili huyu Mwamba Jean Baleke. Imekuwaje wameshindwa kumsajili wakati kulikuwa na clause ya kumnunua kati yao na TP Mazembe, na sasa nimeona kwenye mitandao ameenda kuibukia Raja Casablanca. Dah nimesikitika sana. Jamaa alikuwa anajua, hasa nikikumbuka mechi ya mkondo wa pili ya mwaka 2022/23 alivyowasumbua mabeki wa Yanga. Vilevile, alivyoiwezesha Simba SC kuwa bora kwa kipindi kifupi.
Hapana mkuu......tunapenda fair competition.....Ili mlete challenge ya ukweliSimba kusajili garasa ilitakiwa ndio iwe furaha yenu sasa nyie uto mnaumia
Sio kweli home boy, hizi timu mbili hazijawahi kutakiana memaHapana mkuu......tunapenda fair competition.....Ili mlete challenge ya ukweli
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Wachezaji wawili wamesajiliwa na Yanga kutoka Kawowo FC ya ligi ya Uganda, na sasa wapo kambini na timu huko Malawi. Kumbuka, msemaji wa Yanga ametamka kwamba Yanga imeshafunga usajiliYaani kwa Rwanda angalau mchezaji atoke APR kama Niyonzima na Twite lakin Rayon ambayo kila mwaka imejitahidi ni Nafasi ya pili ni bomu tu.
haya maneno ya simba au yanga imepigwa hayafai𝙇𝙄𝙂𝙄 𝙉𝘿𝙊𝙂𝙊 𝙃𝘼𝙄𝙅𝘼𝙒𝘼𝙃𝙄 𝙆𝙐𝙏𝙊𝘼 𝙈𝙏𝙐 𝙈𝙕𝙐𝙍𝙄.
Yaan hiyo Ligi ya Rwanda akicheza MZIZE anachukua tuzo zote. Ukiona Umbo la Onana na Sarpong unaogopa ila kazi zao sasa alafu wote huwa wanatokea RAYON SPORT[emoji2296].
Yaani kwa Rwanda angalau mchezaji atoke APR kama Niyonzima na Twite lakin Rayon ambayo kila mwaka imejitahidi ni Nafasi ya pili ni bomu tu.
Yale Yale ya kina sawa kubwa
NIMEKAA PALEEEEEEEE
Sawadogo na Mzungu 😁𝙇𝙄𝙂𝙄 𝙉𝘿𝙊𝙂𝙊 𝙃𝘼𝙄𝙅𝘼𝙒𝘼𝙃𝙄 𝙆𝙐𝙏𝙊𝘼 𝙈𝙏𝙐 𝙈𝙕𝙐𝙍𝙄.
Yaan hiyo Ligi ya Rwanda akicheza MZIZE anachukua tuzo zote. Ukiona Umbo la Onana na Sarpong unaogopa ila kazi zao sasa alafu wote huwa wanatokea RAYON SPORT[emoji2296].
Yaani kwa Rwanda angalau mchezaji atoke APR kama Niyonzima na Twite lakin Rayon ambayo kila mwaka imejitahidi ni Nafasi ya pili ni bomu tu.
Yale Yale ya kina sawa kubwa
NIMEKAA PALEEEEEEEE
Hutengezwa akiwa na umri gan???Mleta mada una ushabiki wa hovyo tu na hausimami kama mwanasoka, ifike muda mjifunze soka muache uzuzu wa kushabikia Simba na Yanga kwa kujitoa ufahamu.
Fikra zako ni za hovyo sana, Salomon Kalou ni mchezaji mkubwa na amecheza EPL lakini hata kule Djibouti kwa sasa hana maajabu. Soka pia linaangalia umri na siyo ukubwa wa ligi tu.
Halafu tambua mchezaji hutengenezwa pia.
Hamna uchambuzi hapoKama nawaona OKW BOBAN SUNZU na mwenzie Scars wanavyoucheki huu uzi huku wajidanganya kimoyo moyo kuwa ipo siku wataufukua. 😂😂
Cc. adriz
Msemaji ametuambia kwamba usajili umeshafungwa, iliyobaki ni kutambulisha. Wanatambulishwa kwa kupangwa kwenye kikosi huko MalawiWanafanya trial
Hujui kitu wewe, Genk KRC walimuimba sana kuliko hata Tp mazembe.
Hilo popoma halijui chochote, linaleta mabishano yasiyo na tija kabisa!Mkumbushe mwaka KRC Genk wanabeba ubingwa wa Belgium popa alikuwa top scorer wa ligi alitungiwa hadi nyimbo na mashabiki wa Genk.