Uchambuzi maalumu: Uzi wa Padri kulawiti watoto Vs Sheikh kulawiti watoto

Uchambuzi maalumu: Uzi wa Padri kulawiti watoto Vs Sheikh kulawiti watoto

adriz

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2017
Posts
12,207
Reaction score
26,521
Habari za muda huu wana JF

Baada ya kuibuka hivi karibuni matukio ya viongozi wa dini kulawiti na kupitia michango ya wadau mbalimbali humu kuna mambo nimeona muhimu kugusia.

Inapaswa kutambua kuwa kwa zama hizi suala la malezi na maadili linapitia wakati mgumu mno maana kila sehemu usalama mdogo na ukija kwenye miziki, muvi na mitandao ya kijamii uovu unahamasiswa kwa kiasi kikubwa mara kama kuingiliana kinyume na maumbile, mapenzi ya jinsia moja, Uzinzi nk kwa kiwango kikubwa hivyo wakati huu umakini katika malezi unahitajika sana.

Wiki za karibuni kuliibuka matukio ya Padri kulawiti vilevile kumewahi kuripotiwa matukio ya Shekhe kulawiti inasikitisha sana watu wanaacha kujadili njia bora za kukomesha na kuepukana na haya mambo na kuanza kukashifiana na kutukana na kuzuka vita za kidini wakati matukio hayo yapo katika jamii na binafsi nina amini hakuna dini inayoruhusu hayo mambo kabisa.

Japo vita za maneno zipo kwa watu wa pande zote ila kwa uchunguzi wangu baada ya kupitia nyuzi zote kwa umakini nimeona kuna utofauti mkubwa katika nyuzi zinazohusu Shekhe na Padri kulawiti mifano huu chini.
Screenshot_20220917_214055.jpg

Na

IMG_20221007_165530.jpg

Mara nyingi nyuzi zinahusu upande mmoja naona mara nyingi unashambuliwa kiasi ambacho uadilifu unakosekana mfano juzi ulianzishwa huu uzi wa Shekhe kulawiti mtoto wa miaka tisa kimara Bonyokwa mtu alianzisha tu bila kutaja majina na chanzo ghafla bila watu kuhoji kama taarifa za kweli au la na kufanya uchunguzi kisha kujadili kistaarabu matokeo yake ikawa tofauti naona uzi umefutwa tokea siku ile sababu nahisi ni taarifa ilikuwa ya uongo
IMG_20221007_164913.jpg


Hapa imhotep alionya
IMG_20221007_165506.jpg


Maoni Yangu Binafsi
IMG_20221007_165004.jpg

Sikubaliani na naomi ya mrangi hapo juu kwani naamini hata mashuleni kuna uhuni mwingi kwa wale tuliosomea shule za kata tutakuwa mashidi maana kule kumezidi lakini hatuwezi kufikia hitimisho la kufuta shule na kutopeleka watoto wetu shule bali katika swala hili ninachokipendeza wazazi wawe wafuatiliaji wa kina kuhusu watoto wao kila siku pamoja kuchunguza na kuwapeleka sehemu bora bila kusahau mamlaka husika kuandaa mikakati bora ya kuziuia na kupunguza matukio kama hayo.

Mimi mwenyewe niliwahi kutoa pendekezo nyumbani kuwapigia marufuku ndugu zangu madrassa fulani walivyokuwa wanasoma niliona uhuni mwingi maana ilikuwa inaruhusu hata watu wa mtaani waje chuo kwa ajili ya kitengo cha madufu sasa hata wengine wahuni walikuwa wanakuja kwa malengo tofauti na nikaona mabadiliko mara wakati wa kwenda chuo kujiremba sana nikatoa tamko kama wanataka kweli kusoma waende madrassa ya kisunni msikiti ninaoswali ambao hakuna kuchanganyika Kati ya wanaume na wanawake ,uhuni ,hata ostazi hawezi kuona sura ya mwanafunzi wa kike na maOstaz wa hapo huwa wanafuatiliwa mienendo yao.

#UziUnaendelea
 
Habari za muda huu wana Jf..

Baada ya kuibuka hivi karibuni matukio ya viongozi wa dini kulawiti na kupitia michango ya wadau mbalimbali humu kuna mambo nimeona muhimu kugusia.

Inapaswa kutambua kuwa kwa zama hizi suala la malezi na maadili linapitia wakati mgumu mno maana kila sehemu usalama mdogo na ukija kwenye miziki ,muvi na mitandao ya kijamii uovu unahamasiswa kwa kiasi kikubwa mara kama kuingiliana kinyume na maumbile,mapenzi ya jinsia moja ,Uzinzi nk kwa kiwango kikubwa hivyo wakati huu umakini katika malezi unahitajika sana.

Wiki za karibuni kuliibuka matukio ya Padri kulawiti vilevile kumewahi kuripotiwa matukio ya Shekhe kulawiti inasikitisha sana watu wanaacha kujadili njia bora za kukomesha na kuepukana na haya mambo na kuanza kukashifiana na kutukana na kuzuka vita za kidini wakati matukio hayo yapo katika jamii na binafsi nina amini hakuna dini inayoruhusu hayo mambo kabisa.

Japo vita za maneno zipo kwa watu wa pande zote ila kwa uchunguzi wangu baada ya kupitia nyuzi zote kwa umakini nimeona kuna utofauti mkubwa katika nyuzi zinazohusu Shekhe na Padri kulawiti mifano huu chini.View attachment 2379870
Na

View attachment 2379880
Mara nyingi nyuzi zinahusu upande mmoja naona mara nyingi unashambuliwa kiasi ambacho uadilifu unakosekana mfano juzi ulianzishwa huu uzi wa Shekhe kulawiti mtoto wa miaka tisa kimara Bonyokwa mtu alianzisha tu bila kutaja majina na chanzo ghafla bila watu kuhoji kama taarifa za kweli au la na kufanya uchunguzi kisha kujadili kistaarabu matokeo yake ikawa tofauti naona uzi umefutwa tokea siku ile sababu nahisi ni taarifa ilikuwa ya uongoView attachment 2379900

Hapa imhotep alionyaView attachment 2379903

Maoni Yangu Binafsi View attachment 2379905
Sikubaliani na naomi ya mrangi hapo juu kwani naamini hata mashuleni kuna uhuni mwingi kwa wale tuliosomea shule za kata tutakuwa mashidi maana kule kumezidi lakini hatuwezi kufikia hitimisho la kufuta shule na kutopeleka watoto wetu shule bali katika swala hili ninachokipendeza wazazi wawe wafuatiliaji wa kina kuhusu watoto wao kila siku pamoja kuchunguza na kuwapeleka sehemu bora bila kusahau mamlaka husika kuandaa mikakati bora ya kuziuia na kupunguza matukio kama hayo.

Mimi mwenyewe niliwahi kutoa pendekezo nyumbani kuwapigia marufuku ndugu zangu madrassa fulani walivyokuwa wanasoma niliona uhuni mwingi maana ilikuwa inaruhusu hata watu wa mtaani waje chuo kwa ajili ya kitengo cha madufu sasa hata wengine wahuni walikuwa wanakuja kwa malengo tofauti na nikaona mabadiliko mara wakati wa kwenda chuo kujiremba sana nikatoa tamko kama wanataka kweli kusoma waende madrassa ya kisunni msikiti ninaoswali ambao hakuna kuchanganyika Kati ya wanaume na wanawake ,uhuni ,hata ostazi hawezi kuona sura ya mwanafunzi wa kike na maOstaz wa hapo huwa wanafuatiliwa mienendo yao.

#UziUnaendelea
Swadakta
 
IMG_20221007_165056.jpg

Haya ni moja Kati ya maoni niliyokuta katika uzi ule kuhusu Shekhe uliofutwa ,
Alichokiongea sina uhakika nacho najua mambo hayo yameanzia huko Sodoma na Gomora na kwa sasa hii michezo inachochewa zaidi na utazamaji na pornography (video za ngono) ambao imekuwa janga la ulimwengu mzima kwa sasa na clip moja inaweza kushawishi mamilioni ya watu kufanya michezo hiyo na vitendo vingene vichafu.

Sasa chunguza wakina nani watengenezaji wakubwa na wambazaji ?
 
Kama ulivyoninukuu hapo juu. Matendo ya mtu binafsi yasihusishwe na taasisi anayohusika nayo. Kila mtu abebe msalaba wake mwenyewe kwa mujibu wa sheria.

Wakati mwingine imekuwa ligi kati ya waislam na wakristo kubebeshana uhusika. Hii ligi sio mbaya sana maana inasaidia kuongeza kiwango cha uvumilivu kwenye jamii pale inapotokea imani moja imeshambuliwa.
 
Kuna Hawa masheikh ubwabwa wanaowaingilia wanawake kinyume na maumbile, Hawa nao wafichueni hata Kama wamejificha ndani ya siasa.
 
Kuna Hawa masheikh ubwabwa wanaowaingilia wanawake kinyume na maumbile, Hawa nao wafichueni hata Kama wamejificha ndani ya siasa.
Mfano wewe hakuna anayejua unamuingilia vipi mkeo vile vile swala la wao kuwaingilia wanawake hivyo ni suala binafsi zaidi na halina uthibitishe kama ilivyo mimi siwezi kuthibitisha kama mkeo unamuingilia kinyume au la.
 
Sijui mtafanyaje nimesoma maoni yako Mtoa mada ila ukweli ni kwamba Hakuna namna Ya kuokoa Kizazi kijacho tunaowaamini ndio mstari wa Kwanza kuharibu kama Mungu yupo basi atusaidie.

Sent from my Infinix X658E using JamiiForums mobile app
 
Mambo haya sasa yamechochea baada ya kukuwa kwa haraka kwa teknolojia {utandawazi}, tupinge kadri tuwezavyo vitendo hivyo, tukemee kadri tuwezavyo,tuchukie kadri tuwezavyo matendo yote machafu, tutumie teknolojia kwa ajili ya kujengana na sio kufurahia maovu.
 
Kuzimu kweupee mashetani wote mko nao uraiani
 
Mambo haya sasa yamechochea baada ya kukuwa kwa haraka kwa teknolojia {utandawazi},tupinge kadri tuwezavyo vitendo hivyo,tukemee kadri tuwezavyo,tuchukie kadri tuwezavyo matendo yote machafu,tutumie teknolojia kwa ajili ya kujengana na sio kufurahia maovu.
Umeongea cha maana sana mkuu..
 
Back
Top Bottom