Katika upelelezi wa matukio kama haya huwezi kuacha kuangazia (last moment ya marehemu)
Marehemu padri Francis katika mahubiri yake ya misa takatifu jumapili ya matawi!
Sehemu kubwa ya mahubiri yake alilalamika jamii kusema vibaya watu, alisisitiza kwamba yeye kama paroko anasemwa vibaya sana na waumini huko mtaani! Tena wanaomsema vibaya wengine waumini wa karibu yake hata baadhi ya viongozi!
Katika kutaka kujua ni yepi haswa padri huyu aliyokuwa akisemwa kuyafanya!
Ilibidi kuhoji baadhi ya waumini wa kanisani kwake wamebainisha machache (yanayosemwa chinichini kama tetesi);
1. Walisema kuna matumizi mabaya ya fedha za waumini chini utawala wake.
2. Kumekuwepo na maneno ya chinichini kwamba anatembea na wanawake.
3. Inadaiwa moja ya mwanamke wake ambaye ni mke wa mtu penzi lilikolea hadi paroko akaamua kumnunulia gari mwanamke huyo anayeishi maeneo ya mbezi Msakuzi (jina kapuni). Baadhi ya waamini wameenda extra mile nakujiuliza kama kweli mwanamke huyo kahongwa gari, je pesa hizo zimetoka wapi? Kuna biashara gani siku hizi ndani ya kanisa inayowapa mapadri kumiliki ndiga za being mbaya na zingine kuhonga kama kweli? Hayo ni miongoni mwa tetesi.
Kwa hayo machache ingawa hayahusiani moja kwa moja tukio la kifo cha padri!
Lakini yanaweza kusaidia kuleta taswira ya kisaikolojia kwenye tukio zima!
Mazingira alipofia yalivyo salama na watu wake yanahamasisha kurudi kwenye (last moment)!
Nyuma ya tanki la maji bado mazingira hayo yanadhihirisha last moment!
Hivyo kuna uwezekano paroko alikuwa kwenye wakati mgumu!.
HUWEZI KUSEMA KIFO CHA PADRI HUYO NI CHA KAWAIDA kwamba watu wasihoji? Kitendo cha kusema kifo chake ni cha kawaida inaleta uchunguzi mwingine kwa watu wenye akili;
Kukutwa kwenye tanki la maji mtu ambaye siye fundi bomba huwezi sema ni kifo cha kawaida labda kama unataka kufumba jambo hilo! Na jambo hilo linaturudisha tena kwenye last moment ya marehemu!
Paroko wa Parokia ya Kanisa Katoliki Mt. Yohanne Paul II, Mbezi Mshikamano, Dar es Salaam, Francis Kangwa amefariki na mwili wake kukutwa kwenye tangi la maji nyuma ya nyumba ya mapadri wa Shirika la Missionaries of Africa iliyopo Kanisa Kuu la Mtakatifu Joseph-Posta DSM.
Upelelezi bado unaendelea!
Marehemu padri Francis katika mahubiri yake ya misa takatifu jumapili ya matawi!
Sehemu kubwa ya mahubiri yake alilalamika jamii kusema vibaya watu, alisisitiza kwamba yeye kama paroko anasemwa vibaya sana na waumini huko mtaani! Tena wanaomsema vibaya wengine waumini wa karibu yake hata baadhi ya viongozi!
Katika kutaka kujua ni yepi haswa padri huyu aliyokuwa akisemwa kuyafanya!
Ilibidi kuhoji baadhi ya waumini wa kanisani kwake wamebainisha machache (yanayosemwa chinichini kama tetesi);
1. Walisema kuna matumizi mabaya ya fedha za waumini chini utawala wake.
2. Kumekuwepo na maneno ya chinichini kwamba anatembea na wanawake.
3. Inadaiwa moja ya mwanamke wake ambaye ni mke wa mtu penzi lilikolea hadi paroko akaamua kumnunulia gari mwanamke huyo anayeishi maeneo ya mbezi Msakuzi (jina kapuni). Baadhi ya waamini wameenda extra mile nakujiuliza kama kweli mwanamke huyo kahongwa gari, je pesa hizo zimetoka wapi? Kuna biashara gani siku hizi ndani ya kanisa inayowapa mapadri kumiliki ndiga za being mbaya na zingine kuhonga kama kweli? Hayo ni miongoni mwa tetesi.
Kwa hayo machache ingawa hayahusiani moja kwa moja tukio la kifo cha padri!
Lakini yanaweza kusaidia kuleta taswira ya kisaikolojia kwenye tukio zima!
Mazingira alipofia yalivyo salama na watu wake yanahamasisha kurudi kwenye (last moment)!
Nyuma ya tanki la maji bado mazingira hayo yanadhihirisha last moment!
Hivyo kuna uwezekano paroko alikuwa kwenye wakati mgumu!.
HUWEZI KUSEMA KIFO CHA PADRI HUYO NI CHA KAWAIDA kwamba watu wasihoji? Kitendo cha kusema kifo chake ni cha kawaida inaleta uchunguzi mwingine kwa watu wenye akili;
Kukutwa kwenye tanki la maji mtu ambaye siye fundi bomba huwezi sema ni kifo cha kawaida labda kama unataka kufumba jambo hilo! Na jambo hilo linaturudisha tena kwenye last moment ya marehemu!
Paroko wa Parokia ya Kanisa Katoliki Mt. Yohanne Paul II, Mbezi Mshikamano, Dar es Salaam, Francis Kangwa amefariki na mwili wake kukutwa kwenye tangi la maji nyuma ya nyumba ya mapadri wa Shirika la Missionaries of Africa iliyopo Kanisa Kuu la Mtakatifu Joseph-Posta DSM.
Upelelezi bado unaendelea!