UCHAMBUZI: Ni kwanini Ruge aliwezana sana na wasanii wachanga na akashindwana na wakongwe

UCHAMBUZI: Ni kwanini Ruge aliwezana sana na wasanii wachanga na akashindwana na wakongwe

Aman iwe juu yenu

Kama kichwa cha habar kinavyosomeka hapo juu

Leo nimekuletea uchambuz ili ujue ni kwanini kaka yetu aliwezana na wasanii wachanga na akishindwana kabisa na wasanii wakongwe


Msanii mchanga ni rahis sana kuteka akili yake hata akiwa kwenye top, unaweza kumletea demu mkali tu na ukamulipia gest house

Unaweza hata kumlipia ticket ya ndege na kumpa laki mbili kisha akapiga show

Kwake pesa siyo kigezo cha kwanza Ila umarufu, pombe na mademu wakali wenye majina

Kuna line moja ya fidq inasema watakupa pesa ya kula na mafake ladies kisha utaenda zako so why no pamanent artist

Ujanja wa ruge alikuwa anakutumia ukiwa star mchanga hujaijua pesa na ukishituka tu kuwa unaibiwa hivyo unataka ulipwe kulingana na mziki wako anakutema na kukutema mfano king zila na wengine wengi hapo utabak na jina tu maana huna pesa na huna mademu mwisho wa siku mawazo na kuingia kwenye madawa ya kulevya

Msanii mkongwe hataki hela ya kula wala hataki mademu yeye anataka mkwanja na si bla bla

Diamomd kwa Mara ya kwanza walimpa mademu na pesa ya kula lakin aliposhituka na kugundua kuwa hataki hela ya kula wa mademu Bali anataka pesa kila show 10milion hapo ndo kasheshe ilipoanzia

Ugomvi wa diamond na ruge ni mkubwa sana mfano kama ugomvi wa sir God na Satan

Siku zote mtu anayezuia riziki yako na kutaka kukutoa kwenye kiti huwez muelewa hata kidogo

Ndo maana Mungu hampend shetan sababu alitaka kumtoa kwenye kiti cha enzi ili akae yeye

Ni hayo tu


NEW YORK BOY

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahiyo wakiamua kuachana na ruge kwa nn mziki wao ulikuwa unakufa asa sijaelewa vizur

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aman iwe juu yenu

Kama kichwa cha habar kinavyosomeka hapo juu

Leo nimekuletea uchambuz ili ujue ni kwanini kaka yetu aliwezana na wasanii wachanga na akishindwana kabisa na wasanii wakongwe


Msanii mchanga ni rahis sana kuteka akili yake hata akiwa kwenye top, unaweza kumletea demu mkali tu na ukamulipia gest house

Unaweza hata kumlipia ticket ya ndege na kumpa laki mbili kisha akapiga show

Kwake pesa siyo kigezo cha kwanza Ila umarufu, pombe na mademu wakali wenye majina

Kuna line moja ya fidq inasema watakupa pesa ya kula na mafake ladies kisha utaenda zako so why no pamanent artist

Ujanja wa ruge alikuwa anakutumia ukiwa star mchanga hujaijua pesa na ukishituka tu kuwa unaibiwa hivyo unataka ulipwe kulingana na mziki wako anakutema na kukutema mfano king zila na wengine wengi hapo utabak na jina tu maana huna pesa na huna mademu mwisho wa siku mawazo na kuingia kwenye madawa ya kulevya

Msanii mkongwe hataki hela ya kula wala hataki mademu yeye anataka mkwanja na si bla bla

Diamomd kwa Mara ya kwanza walimpa mademu na pesa ya kula lakin aliposhituka na kugundua kuwa hataki hela ya kula wa mademu Bali anataka pesa kila show 10milion hapo ndo kasheshe ilipoanzia

Ugomvi wa diamond na ruge ni mkubwa sana mfano kama ugomvi wa sir God na Satan

Siku zote mtu anayezuia riziki yako na kutaka kukutoa kwenye kiti huwez muelewa hata kidogo

Ndo maana Mungu hampend shetan sababu alitaka kumtoa kwenye kiti cha enzi ili akae yeye

Ni hayo tu


NEW YORK BOY

Sent using Jamii Forums mobile app
Diamond hajashituka alicho fanya nikubadilisha tu chupa ila mvinyo ni uleule katoka kwa ruge na kusaga kaenda kwa kusaga ila mambo ni yale yale tusubiri tuone

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Niliposoma hii mada na 'uchambuzi' huu akinifu ,ilibidi niangalie hili ni jukwaa gani..?nimekosea njia
 
Wabishi

Wanajidai wajuaji

Tamaa zimewajaa

Viburi

Dharau

Kufikiri mawazo ya wengine ni kuwaangusha

Maisha walivyokulia na kulelewa

N.k.
 
Ruge anaendesha business yake kama mfanyabiashara mwingine aki maximize profit kwa kuwalipa kidogo..
Wasanii wote unaowajua walipita kwa Ruge... wakakubali kulipwa kidogo... baadhi yao wakaota mapembe.. wakaona Ruge anawanyonya kwakuwa yeye anakulipa laki 3 kwa Fiesta wakati unakodishwa nje kwa laki 8... unahisi umeibiwa laki 5 na ww ni star mkubwa.. Unasahau kuwa Ruge sio NGO na usipojisikia sepa kafanye yako.....
Wakishamkatalia Ruge then wanagundua nyimbo zao hazipigwi... Ooh kwanini anatubania? Nyambafu mlichanga? Sio NGO
Kumbuka Clouds ndio redio iliyoanza kwa hamasa ya muziki wa vijana
 
Ruge alishika soko la wanamuziki toka nje kama USA kuwaleta TZ...Aliingia mikataba kwa kumtumia Kelvin Twisa ya kupata sponsors za voda na makampuni mengine wakati ukienda mwingine kuomba sponsorship huko kote hupewi..
He got me on that one.....
Kwanini silalamiki? Ni ushindani... kakamata soko la ndani na la nje... kama unaweza tafuta namna zako mwenyewe sio kulialia
 
Hivi Ruge aliwatapeli nini Konki na Jide mbona inaonekana wana hasira naye sana?
Aman iwe juu yenu

Kama kichwa cha habar kinavyosomeka hapo juu

Leo nimekuletea uchambuz ili ujue ni kwanini kaka yetu aliwezana na wasanii wachanga na akishindwana kabisa na wasanii wakongwe


Msanii mchanga ni rahis sana kuteka akili yake hata akiwa kwenye top, unaweza kumletea demu mkali tu na ukamulipia gest house

Unaweza hata kumlipia ticket ya ndege na kumpa laki mbili kisha akapiga show

Kwake pesa siyo kigezo cha kwanza Ila umarufu, pombe na mademu wakali wenye majina

Kuna line moja ya fidq inasema watakupa pesa ya kula na mafake ladies kisha utaenda zako so why no pamanent artist

Ujanja wa ruge alikuwa anakutumia ukiwa star mchanga hujaijua pesa na ukishituka tu kuwa unaibiwa hivyo unataka ulipwe kulingana na mziki wako anakutema na kukutema mfano king zila na wengine wengi hapo utabak na jina tu maana huna pesa na huna mademu mwisho wa siku mawazo na kuingia kwenye madawa ya kulevya

Msanii mkongwe hataki hela ya kula wala hataki mademu yeye anataka mkwanja na si bla bla

Diamomd kwa Mara ya kwanza walimpa mademu na pesa ya kula lakin aliposhituka na kugundua kuwa hataki hela ya kula wa mademu Bali anataka pesa kila show 10milion hapo ndo kasheshe ilipoanzia

Ugomvi wa diamond na ruge ni mkubwa sana mfano kama ugomvi wa sir God na Satan

Siku zote mtu anayezuia riziki yako na kutaka kukutoa kwenye kiti huwez muelewa hata kidogo

Ndo maana Mungu hampend shetan sababu alitaka kumtoa kwenye kiti cha enzi ili akae yeye

Ni hayo tu


NEW YORK BOY

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wasanii wengi wa bongoflava wanaimba kwa ajili ya kutafuta sifa tu au kujijengea ujiko kwa mademu uchwara wa kiswahili wanaotembea na chupi kwapani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom