Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 19,637
- 29,473
Wakuu ...Leo kama kawaida mchambuzi mahiri hapa mjini JF nmekuja na uchambuzi makini ni jinsi Gani Simba itatolewa kwenye kombe la wamama ( shirikisho)
1. Simba bado Haina mshambuliaje wa kumtegemea ... Hii inafanya makolo wacheze soka la kubutua butua .... that's y they end with no any shots on target after 90 minutes [emoji23]
2. Lack of motivation, ukiangalia hata Kwa macho ya kawaida utaona kikosi cha Simba Kiko disorganized Kila mtu anapiga boli Ili mradi liende ...hii itawafanya waarabu watumie makosa kuwakanda makolo
Generally wachezaji wote pale Simba ...ukimtoa Debora .....wote ni magarasa
Hivyo basi matokeo ya Jumapili yatakua kama ifuatavyo
Al ahly tripoli 3.....0 Simba
1. Simba bado Haina mshambuliaje wa kumtegemea ... Hii inafanya makolo wacheze soka la kubutua butua .... that's y they end with no any shots on target after 90 minutes [emoji23]
2. Lack of motivation, ukiangalia hata Kwa macho ya kawaida utaona kikosi cha Simba Kiko disorganized Kila mtu anapiga boli Ili mradi liende ...hii itawafanya waarabu watumie makosa kuwakanda makolo
Generally wachezaji wote pale Simba ...ukimtoa Debora .....wote ni magarasa
Hivyo basi matokeo ya Jumapili yatakua kama ifuatavyo
Al ahly tripoli 3.....0 Simba
sisi tumeshaweka standard kwa mkapa hatoki raia