Uchambuzi: Sababu za Kwanini Simba atakandwa na Al hly Tripoli Jumapili

Uchambuzi: Sababu za Kwanini Simba atakandwa na Al hly Tripoli Jumapili

Wakuu ...Leo kama kawaida mchambuzi mahiri hapa mjini JF nmekuja na uchambuzi makini ni jinsi Gani Simba itatolewa kwenye kombe la wamama ( shirikisho)

1. Simba bado Haina mshambuliaje wa kumtegemea ... Hii inafanya makolo wacheze soka la kubutua butua .... that's y they end with no any shots on target after 90 minutes [emoji23]

2. Lack of motivation, ukiangalia hata Kwa macho ya kawaida utaona kikosi cha Simba Kiko disorganized Kila mtu anapiga boli Ili mradi liende ...hii itawafanya waarabu watumie makosa kuwakanda makolo

Generally wachezaji wote pale Simba ...ukimtoa Debora .....wote ni magarasa

Hivyo basi matokeo ya Jumapili yatakua kama ifuatavyo

Al ahly tripoli 3.....0 Simba
View attachment 3100278
Kitakachowafanya Simba wafungwe ni kauli ya kusema kwa Mkapa hatoki mtu,wataingia na mawazo hayo uwanjani bila kufanya bidii.
 
Kuna mambo yanachukiza pale msimbazi .....

Usajili m,bovu Kila msimu

Timu Ina maliza na on target 0....... tuendelee kuisifia??

MAMBO YA NGOSWE MWACHIE NGOSWE. UNAHANGAIKA SANA NA SIMBA KULIKO TEAM YETU YA YANGA. AU KUNA BOYFRIEND WA SIMBA ALIKUTENDA? TUENDELEE NA YANGA YETU.
 
MAMBO YA NGOSWE MWACHIE NGOSWE. UNAHANGAIKA SANA NA SIMBA KULIKO TEAM YETU YA YANGA. AU KUNA BOYFRIEND WA SIMBA ALIKUTENDA? TUENDELEE NA YANGA YETU.
Hapana mkuu....Kazi yetu ni kuusemea mpira
 
Mimi naendelea kusisitiza kwamba kwny mechi ya marudiano, simba atumie wachezaji wa zamani kwa uwiano wa 7/4

Nategemea kuwaona ndani akina mzamiru, ngoma, kibu, zimbwe, kapombe, fondo nk

Wachezaji wapya wasizidi wanne kwny lineup itakayoanza..

Kama mwalimu ataendelea kutumia wachezaji wapya kwa uwiano wa 8/3
Simba itafungwa nyumbani.
 
Unless zilikuwa mbinu za mwalimu kuwafanya waone Simba hawajui mpira,lakini kama ule ndio uchezaji wa timu yangu,siwezi kuwa na matumaini hata kidogo.
Mchezaji anapata mpira anaupiga hovyo bora utoke nje wakati angeweza kupambana awapite mabeki ama awagongeshe mpira utoke nje.
Wachezaji wanashambuliwa lakini wao hawajafanya hata attempt moja ya counter attack.
Kama Kibu bado ni tegemeo kwenye timu,sitarajii miujiza.Kibu hayuko sawa kisaikolojia na hawezi kuwa sawa tena.Kuna dhamiri inamshitaki.Na huenda anaongea na Hersi kwa siri kama hersi anavyofanya kwa wachezaji wengi nyota

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Jamaa angu umeonyesha uchungu sana. Labda uchovu na Hali ya hewa ili changia kucheza ovyo
 
Back
Top Bottom