Uchambuzi: Sababu za Kwanini Simba atakandwa na Al hly Tripoli Jumapili

Uchambuzi: Sababu za Kwanini Simba atakandwa na Al hly Tripoli Jumapili

Wakuu ...Leo kama kawaida mchambuzi mahiri hapa mjini JF nmekuja na uchambuzi makini ni jinsi Gani Simba itatolewa kwenye kombe la wamama ( shirikisho)

1. Simba bado Haina mshambuliaje wa kumtegemea ... Hii inafanya makolo wacheze soka la kubutua butua .... that's y they end with no any shots on target after 90 minutes [emoji23]

2. Lack of motivation, ukiangalia hata Kwa macho ya kawaida utaona kikosi cha Simba Kiko disorganized Kila mtu anapiga boli Ili mradi liende ...hii itawafanya waarabu watumie makosa kuwakanda makolo

Generally wachezaji wote pale Simba ...ukimtoa Debora .....wote ni magarasa

Hivyo basi matokeo ya Jumapili yatakua kama ifuatavyo

Al ahly tripoli 3.....0 Simba
View attachment 3100278
Wapigwe kama ngoma Losers Cup basi.
 
Hapana watashinda, Ile ni timu ndogo sana.
Simba itashinda, tatizo la SIMBA ni kwamba hawana quality ya kuifunga YANGA wala team yoyote iliyopo CAFCL 24/25
Unless zilikuwa mbinu za mwalimu kuwafanya waone Simba hawajui mpira,lakini kama ule ndio uchezaji wa timu yangu,siwezi kuwa na matumaini hata kidogo.
Mchezaji anapata mpira anaupiga hovyo bora utoke nje wakati angeweza kupambana awapite mabeki ama awagongeshe mpira utoke nje.
Wachezaji wanashambuliwa lakini wao hawajafanya hata attempt moja ya counter attack.
Kama Kibu bado ni tegemeo kwenye timu,sitarajii miujiza.Kibu hayuko sawa kisaikolojia na hawezi kuwa sawa tena.Kuna dhamiri inamshitaki.Na huenda anaongea na Hersi kwa siri kama hersi anavyofanya kwa wachezaji wengi nyota

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Wakuu ...Leo kama kawaida mchambuzi mahiri hapa mjini JF nmekuja na uchambuzi makini ni jinsi Gani Simba itatolewa kwenye kombe la wamama ( shirikisho)

1. Simba bado Haina mshambuliaje wa kumtegemea ... Hii inafanya makolo wacheze soka la kubutua butua .... that's y they end with no any shots on target after 90 minutes [emoji23]

2. Lack of motivation, ukiangalia hata Kwa macho ya kawaida utaona kikosi cha Simba Kiko disorganized Kila mtu anapiga boli Ili mradi liende ...hii itawafanya waarabu watumie makosa kuwakanda makolo

Generally wachezaji wote pale Simba ...ukimtoa Debora .....wote ni magarasa

Hivyo basi matokeo ya Jumapili yatakua kama ifuatavyo

Al ahly tripoli 3.....0 Simba
View attachment 3100278


WEWE NI MAMLUKI WA SIMBA? AU UNA BWANA AKO YUPO YUKO HALAFU UNAJIFANGA YANGA MWENZETU. DAILY WEWE NI SIMBA SIMBA. HATUONI UKIANZISHA NYUZI ZA KUZUNGUMZIA TEAM YETU YA WANANCHI. UPO VERY OBSESSED NA SIMBA. MPAKA TUNAKUTILIA MASHAKA DOGO.
 
Unless zilikuwa mbinu za mwalimu kuwafanya waone Simba hawajui mpira,lakini kama ule ndio uchezaji wa timu yangu,siwezi kuwa na matumaini hata kidogo.
Mchezaji anapata mpira anaupiga hovyo bora utoke nje wakati angeweza kupambana awapite mabeki ama awagongeshe mpira utoke nje.
Wachezaji wanashambuliwa lakini wao hawajafanya hata attempt moja ya counter attack.
Kama Kibu bado ni tegemeo kwenye timu,sitarajii miujiza.Kibu hayuko sawa kisaikolojia na hawezi kuwa sawa tena.Kuna dhamiri inamshitaki.Na huenda anaongea na Hersi kwa siri kama hersi anavyofanya kwa wachezaji wengi nyota

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Japo watu hawaelewi....ila kitendo Cha kutopiga hata on target moja kilinishangaza sana
 
WEWE NI MAMLUKI WA SIMBA? AU UNA BWANA AKO YUPO YUKO HALAFU UNAJIFANGA YANGA MWENZETU. DAILY WEWE NI SIMBA SIMBA. HATUONI UKIANZISHA NYUZI ZA KUZUNGUMZIA TEAM YETU YA WANANCHI. UPO VERY OBSESSED NA SIMBA. MPAKA TUNAKUTILIA MASHAKA DOGO.
Kuna mambo yanachukiza pale msimbazi .....

Usajili m,bovu Kila msimu

Timu Ina maliza na on target 0....... tuendelee kuisifia??
 
mi naona si kama hawana wachezaji sema mfumo wa kocha ndo shida!
 
Ningependa makolo waende makundii,ila kiukweli Hawana njiaaa.Wale Jamaa wataimaliza mechi ndani ya First Half....Mabululuu
 
Back
Top Bottom