PD_Magumba
JF-Expert Member
- Apr 2, 2021
- 722
- 2,225
Zile 5 YANGA tulikufungia wapi? Na musimu jana ulifungwa hapo kwa mkapa kwenye mechi za CAFCLWanasiiimba wenzangu tunadhalilishwa hukusisi tumeshaweka standard kwa mkapa hatoki raia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zile 5 YANGA tulikufungia wapi? Na musimu jana ulifungwa hapo kwa mkapa kwenye mechi za CAFCLWanasiiimba wenzangu tunadhalilishwa hukusisi tumeshaweka standard kwa mkapa hatoki raia
Wapigwe kama ngoma Losers Cup basi.Wakuu ...Leo kama kawaida mchambuzi mahiri hapa mjini JF nmekuja na uchambuzi makini ni jinsi Gani Simba itatolewa kwenye kombe la wamama ( shirikisho)
1. Simba bado Haina mshambuliaje wa kumtegemea ... Hii inafanya makolo wacheze soka la kubutua butua .... that's y they end with no any shots on target after 90 minutes [emoji23]
2. Lack of motivation, ukiangalia hata Kwa macho ya kawaida utaona kikosi cha Simba Kiko disorganized Kila mtu anapiga boli Ili mradi liende ...hii itawafanya waarabu watumie makosa kuwakanda makolo
Generally wachezaji wote pale Simba ...ukimtoa Debora .....wote ni magarasa
Hivyo basi matokeo ya Jumapili yatakua kama ifuatavyo
Al ahly tripoli 3.....0 Simba
View attachment 3100278
Unless zilikuwa mbinu za mwalimu kuwafanya waone Simba hawajui mpira,lakini kama ule ndio uchezaji wa timu yangu,siwezi kuwa na matumaini hata kidogo.Hapana watashinda, Ile ni timu ndogo sana.
Simba itashinda, tatizo la SIMBA ni kwamba hawana quality ya kuifunga YANGA wala team yoyote iliyopo CAFCL 24/25
Wakuu ...Leo kama kawaida mchambuzi mahiri hapa mjini JF nmekuja na uchambuzi makini ni jinsi Gani Simba itatolewa kwenye kombe la wamama ( shirikisho)
1. Simba bado Haina mshambuliaje wa kumtegemea ... Hii inafanya makolo wacheze soka la kubutua butua .... that's y they end with no any shots on target after 90 minutes [emoji23]
2. Lack of motivation, ukiangalia hata Kwa macho ya kawaida utaona kikosi cha Simba Kiko disorganized Kila mtu anapiga boli Ili mradi liende ...hii itawafanya waarabu watumie makosa kuwakanda makolo
Generally wachezaji wote pale Simba ...ukimtoa Debora .....wote ni magarasa
Hivyo basi matokeo ya Jumapili yatakua kama ifuatavyo
Al ahly tripoli 3.....0 Simba
View attachment 3100278
Labani......nasikia umeanza tena ku follow Feitoto... 😀 😀
Japo watu hawaelewi....ila kitendo Cha kutopiga hata on target moja kilinishangaza sanaUnless zilikuwa mbinu za mwalimu kuwafanya waone Simba hawajui mpira,lakini kama ule ndio uchezaji wa timu yangu,siwezi kuwa na matumaini hata kidogo.
Mchezaji anapata mpira anaupiga hovyo bora utoke nje wakati angeweza kupambana awapite mabeki ama awagongeshe mpira utoke nje.
Wachezaji wanashambuliwa lakini wao hawajafanya hata attempt moja ya counter attack.
Kama Kibu bado ni tegemeo kwenye timu,sitarajii miujiza.Kibu hayuko sawa kisaikolojia na hawezi kuwa sawa tena.Kuna dhamiri inamshitaki.Na huenda anaongea na Hersi kwa siri kama hersi anavyofanya kwa wachezaji wengi nyota
Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Kuna mambo yanachukiza pale msimbazi .....WEWE NI MAMLUKI WA SIMBA? AU UNA BWANA AKO YUPO YUKO HALAFU UNAJIFANGA YANGA MWENZETU. DAILY WEWE NI SIMBA SIMBA. HATUONI UKIANZISHA NYUZI ZA KUZUNGUMZIA TEAM YETU YA WANANCHI. UPO VERY OBSESSED NA SIMBA. MPAKA TUNAKUTILIA MASHAKA DOGO.
Basi huku atakuwa sister of the mechi. Simba makundi is givenRefa alikuwa man of the match