Uchambuzi: Simba ikimfunga Yanga nipigwe ban wiki

Kwanini ujipangie muda wa ban na wakati ni usumbufu kila mara unakula ban hausikii.

Moderator , this time please do the needful. Kama adhabu nia yake ni kukomesha. We lima huyu mtu ban ya maana iwe fundisho.
 
Mtu na akili zako uhangaike kumfukuza mwendawasimu eti kisa amekutukana!! Kwqni unategemea nini kuitoka kwa mwendawazimu!!
 
Kuna jamaa alikuwa anapenda kusema atatembea uchi/atavua nguo. Sijui alipotelea wapi.NIMWENDO WA KUGARAGARA.
 
Moderator
 
Mods huu utoto mnaulea nyie.huyu anatakiwa ale life ban.
 
Nakusubiria hiyo kesho.
 
Matokeo.....

Makolo wamekandwa Tena .......acha niende kuangalia vilio vya makolo mtandaoni [emoji23][emoji23]

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…