Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 19,637
- 29,473
- Thread starter
- #61
Mkuu ..mpira ni sayansi .....Kila kitu kipo openHuu umekuwa ni upuuzi sasa
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu ..mpira ni sayansi .....Kila kitu kipo openHuu umekuwa ni upuuzi sasa
Hii hapa mkuuMwenye picha ya TECNO KG5j tunaomba kuona.
Mtu Kila siku kuandika nyuzi za kishuzi, kufanya kazi aaagh!. Bladfaken.
Anapenda ahadi huyu mbwaWewe kunasiku utakuja pigwa ban ya maisha...maana ushaweka mchezo huo
Kumbe ni mwanaume?Mwanaume wa hivi hapana aisee....🙌🙌🙌🙌
Mwanaume anaependa kujidhalilisha kila siku....🤭🤭🤭
Yaaah that's y nimeona iwe one wiki[emoji16][emoji16] si mnajiamini 100%
Ninawashauri Simba wapaki basi ili magoli yasiwe mengi.
[/QUOTE
Tuliza kitoa taka mwili chako mama
Matokeo ya mpira yanajulikana mkuuUnaenda kucheza mwenyewe au wanaume wenzako ndiyo unaamini watakushindia?
Ni ushenzi wa Hali ya juu Mwanaume rijali kutoa ahadi za kijinga kama hizi.
Ha ha ha haNani Amewajeruhi? Una ushahidi wa madai yako?
AhahaahaahKumbe ni mwanaume?
Wee endelea kupoteza credibility
Hamna mtani kesho hainyeshi....😂😁😁Na hizi mvua zenu naona hiyo game kesho tunaenda kupoteza 😭😭😭😭😭
Tatizo una matamko mengi mkuu, ni kweli Yanga tutashinda lakini uache matamko kama ya Makonda😂😂😂
Hapana mkuu.....mbna hata tulikubaliana unipe mdg ako wa kikeWee endelea kupoteza credibility
Sasa wewe na Tecno spark 8C yako, hiyo nayo ni ban?Kwema wakuu
Baada ya kufanya uchambuzi wa kina nimegundua yafuatayo
Yanga inakikosi Bora sana ( Galacticos) ....hiki ni kikosi Bora sana kuwahi kuwepo hapa baraani Africa hivyo basi hakuna timu inaweza kuifunga
Yanga Ina wachezaji wenye match fitness 100% kiasi Kwamba wao Hadi mwisho wa mchezo Wana Kasi na nguvu tofauti na timu ya Simba
Yanga wanajituma sana
Kikosi cha Yanga kina wachezaji wenye morali kubwa ya kupambana uwanjani tofauti na Simba
Hivyo basi Kwa uchambuzi huu naamini kuwa Simba atakandwa heavily 4_0 na Yanga
NB @moderators kama Simba ataifunga yanga basi Kwa akili zangu timamu ....naomba nipigwe ban ya wiki Moja Ili niwe responsible Kwa uchambuzi wangu
View attachment 3128433
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app