Ushindi haupatikana bila mikakati thabiti, ukiwa kama mpenzi na shabiki wa soka je unafikiri kocha wetu aanze na mfumo upi?
1. Mfumo wa 5-4 -1 Kujilinda na kupeleka mashambulizi ya kushitukiza kupitia kwa Msuva kutumia zile mbio zake.
2. Mfumo wa 3-5-2 Huu ni kujilinda kama hamna mpira, zile wingi back zinarudi nyuma kufanya cover na mabeki kuwa 5. Lakini hama wana mpira basi zinajaa pembeni na kufanya mfumo kuwa 3- 3- 4 (Striker 4), hasara ya huu ukishapoteza mpira mbele ni kama umekimbiza mwizi hujafunga mlango - faida mnakuwa na ball position kubwa mno hence mnatengeneza chance za kutosha.
3. Mfumo wa miaka yote wa 4-4-2 huu ndiyo unaotumika na makocha wengi duniani, hautashambulia sana wala hutajilinda sana - mfumo huu unatakiwa kuwa na mido wenye uwezo kubwa kale kati.
Kushinda tumesema ni lazima, Je unafikiri Samata aanze kama mido nyuma ya Boko ama aanze kushoto ? sababu kulia kuna Msuva ?
Mwisho nipe list yako? Je utapenda kiraka wa kimataifa Nyoni aanze kati?
1. Mfumo wa 5-4 -1 Kujilinda na kupeleka mashambulizi ya kushitukiza kupitia kwa Msuva kutumia zile mbio zake.
2. Mfumo wa 3-5-2 Huu ni kujilinda kama hamna mpira, zile wingi back zinarudi nyuma kufanya cover na mabeki kuwa 5. Lakini hama wana mpira basi zinajaa pembeni na kufanya mfumo kuwa 3- 3- 4 (Striker 4), hasara ya huu ukishapoteza mpira mbele ni kama umekimbiza mwizi hujafunga mlango - faida mnakuwa na ball position kubwa mno hence mnatengeneza chance za kutosha.
3. Mfumo wa miaka yote wa 4-4-2 huu ndiyo unaotumika na makocha wengi duniani, hautashambulia sana wala hutajilinda sana - mfumo huu unatakiwa kuwa na mido wenye uwezo kubwa kale kati.
Kushinda tumesema ni lazima, Je unafikiri Samata aanze kama mido nyuma ya Boko ama aanze kushoto ? sababu kulia kuna Msuva ?
Mwisho nipe list yako? Je utapenda kiraka wa kimataifa Nyoni aanze kati?