Uchaguzi 2020 Uchambuzi: Tundu Lissu anaweza kumshinda Dkt. Magufuli na Maalim Seif anaweza kuibuka kidedea Zanzibar

Uchaguzi 2020 Uchambuzi: Tundu Lissu anaweza kumshinda Dkt. Magufuli na Maalim Seif anaweza kuibuka kidedea Zanzibar


Wasalaaam wanabodi,


Kampeni za uchaguzi mkuu zinaelekea ukingoni siku mbili zijazo nchi nzima. Tumeona Kila mgombea akijinadi kwa style yake na upekee kulingana na malengo na mikakati thabiti waliyojiwekea.
Chama tawala CCM walianza kwa kishindo kikubwa pale dodoma na kuonesha ukubwa wa idadi ya wafuasi wake walijipanga kutetea kiti Chao. Kadiri siku zilivyozidi kwenda utamu wa kampeni za chama tawala ulinoga kupita zilizotangulia.

Msingi wao mkubwa ulikuwa nyomi la watu na uwezo wa kufika vijijini zaidi. Tofauti na miaka yote mgombea wao amefika MAENEO mengi ya mijini zaidi kuliko vijijini ukilinganisha na 2015. Ukifanya SWOT Analysis utayaona haya:

Strength:
CCM huwezi kuitenganisha na Sola na pia huwezi kuitenganisha na serikali , na hapo ndipo utagundua kwa Nini NEC Ni watiifu Sana kwa CCM.

WEAKNESS
Kundi kubwa Lina wageni ambao sio wajuvi wa siasa za majukwaa na uwezo wa kubashiri yajayo kwa uyakinifu. Hii imewagharimu Sana kiasi hawajui kuwa mbaya wao Ni Seif sharrif Hamad au Tundu Lissu au ubovu wa kumsimamisha Mwinyi.
Si hivyo tu pia kushindwa kujua kuwa Kuivuruga CUF,CHADEMA na kununua wabunge wa upinzani ingelikuwa njia nyepesu ya wao kushinda Bila kupingwa au kushinda kwa kishindo kikubwa. Mpaka Sasa timu ya kampeni ya CCM imeshinda kuondoa udhaifu huu na unawagharimu kwenye field sababu kubwa walisahau kuwa upinzani Ni mioyo na hisia za watu na sio vyama. Hivyo mziki wa upinzani bado unagonga spika zao kwa Kasi Sana.

NGUVU YA UMMA
Inaonekana wazi LISSU na SEIF hawatanii hata kidogo jinsi walivyojipanga kutumia nguvu ya Umma. Kwa mwenye macho mapana .Umma haujawahi kushinda DHIDI ya watawala na Kama kweli basi hiki kitisho kikubwa Sana kwa CCM.


OPPORTUNITY
Fursa kubwa na ya pekee Ni kutumia Dola .

Pili mtaji wa fedha na rasilimali watu

TECHNICALLY
Hapa namaanisha MBINU za kiufundi za kushinda uchaguzi siku ya uchaguzi.
MBINU ya kwanza NEC,hii imewapa wabunge zaidi ya 20

NEC na CCM ni watu wamoja wanaongea lugha Moja pia wanaweza kwa hiyari tu Kuivuruga ngome ya wapinzani na matokeo Yao kwa sababu hawana pa kushtakiwa popote kwa kuwa wao wanatoa tamko la mwisho.(namaanisha wakurugenzi) na dalili zishaonekana tayari.

CHADEMA NA ACT

Wote kwa pamoja na wajadili Bila kuwatenganisha ili nihitimishe vizuri. Ni ukweli usiopingika kuwa Zambarau wameiteka Zanzibar na CDM wameiteka Tanganyika.
Ubora wa viongozi wao wakuu wawili MBOWE & SEIF SHARRIF HAMAD umejidhihirisha wazi kwenye uchaguzi huu kwa kuruka mamii ya vihunzi na kuilaghai serikali mchana kweupeeee.
Hebu nikurudishe nyuma kidogo, siku Maalim Seif alipokwenda ikulu kumsalimia Rais huku MBOWE akipambana kesi ya Akwilina. Kila mtu alijua Maalim ameunga juhudi mkono na shughuli anayo mwamba. Sasa ndio nang'amua kwamba kumbe Ile Ni MBINU ya kimedani ya kuwalaghai watawala waamini upo pamoja nao. Ile ndio siku ya USHINDI wa SEIF Kama ikitokea atashinda Zanzibar kesho kutwa.

Hisia zinaniambia kwamba mwamba na mwalimu waliwaingiza Chaka CCM na Membe wao huku wakijua wamemficha mfukoni Lissu.
Tuachane na hayo hebu tuwafanyie SWOT na wao wapoje.
STRENGTH

NGUVU YA UMMA
Umma umewaelewa Sana ACT &CHADEMA na ushahidi wa Watanzania kuwachangia pesa wahalifu wasiende jela badala yake walipiwe faini na warudi uraiani Ni ishara Tosha upo tayari kufanya lolote lenye kuwalinda Chadema kwa upande wa bara. Jambo Hili liliwatia kiwewe IKULU na kesho yake Rais aliamua kumlipia msigwa kuonesha Kwamba Rais Ana huruma na wapinzani. Kama watu walichanga dusko dusko namaanisha kiasi Cha 1k -10k kinyume chake hizi buku buku Ni idadi ya wapiga kura wa upinzani. Sasa kazi yako chukua kikokotoo halafu tafuta majibu Ni watu wangapi wanasapoti Chadema. Zenji siongei Kila mtu ameona NGUVU ya Maalim kaondoka na wanachama wake kwenda ACT so like amevimbisha msuli kwa mamlaka.


UWEZO WA KUNUSA HATARI

Tukio la Membe kuachwa kwenye mataa na hajielewi linathibitisha uwezo wa wapinzani KUNUSA HATARI.
Waliujua mtego wa CCM na wao wakatega wa kwao kwenda ikulu na kuleta picha kwamba Seif Ni mshkaji na MBOWE mkorofi kumbe Ni mtego wa Kumlinda LISSU na kunifanya Membe aonekane punguani asiyejua anataka nn.
Membe Ni ujio hatarishi kwa upinzani na Lissu anatafutwa na watesi wake asirudi kwenye siasa. Inaonesha wazi Kuna makubaliano kwamba ACT na CDM wote waingize wagombea ili mmoja akikatwa aungwe mkono mwingine na ndicho kinachoendelea Sasa.

Wanachama 9M according to MBOWE

WEAKNESS

Hawana Dola Wala serikali na hawajahi kushinda uchaguzi ngazi ya Rais

NEC haipo upande wao

UWEZO mdogo wa ulinzi na USALAMA wa viongozi wake, Ni rahisi kumteka au kumkata au kuzuia mkutano wa upinzani.

Ukosefu wa rasilimali fedha

OPPORTUNITY

MPASUKO wa CCM baada ya kura za MAONI. Huu Ni mtaji mkubwa Sana wa upinzani na dalili zimeonekana wazi Kanda ya ziwa na Zanzibar. Maamuzi ya Dodoma huenda yakawafanya CCM kupoteza majimbo 35-50 ya uchaguzi wasipotumia utemi.

KULINDA KURA VITUONI

Wakiwekeza NGUVU imara ya KULINDA KURA CCM hawana Chao. Naamini Lissu anamaanisha na ujumbe umewafikia walengwa. Wameanza kujibu maneno

MAKUNDI MAALUM YALIYOUMIZWA NA SERIKALI

Hapa nawaweka wahanga wote wa utawala wa awamu ya tano. Wafanyakazi hewa,waliobomolewa,waliotoswa walimu, wafanyakazi wa serikali, waliokosa mshahara n.k

Hawa Ni game changers watatoa USHINDI 5%-7% kwa Lissu sababu Wana maumivu Yao.

TECHNICALLY

MAANDAMANO YASIYO KIKOMO

ukifuatilia vizuri utagundua MBINU pekee ya wapinzani kuingia ikulu Ni MAANDAMANO YASIYO na KIKOMO. Hii ndio MBINU ya kiufundi yenye chanya na imewasaidi wapinzani wa nchi jirani kuingia na kushika serikali punde tu baada ya uchaguzi.

Hakuna serikali ya kiafrika imeyashinda MAANDAMANO YASIYO KIKOMO. Kiufundi wapinzani wako vyedi.

MATAMKO NA VITISHO VYA VIKWAZO

tangu wiki iliyopita mataifa makubwa yamekuwa na spidi ya MATAMKO na baru ya into kwa serikali ya Tanzania Ni wazi wapinzani kwenye MBINU hii wako mbali Sana. Yakitokea tusiyoyaomba wanatusua mapema.

Baaada ya mtazamo huo Sasa najikita kueleza kwa Nini Lissu 49% na Magufuli 47%.


Sympathy
Umaarufu wa Magufuli umeporomoka Sana baada ya kura za MAONI. Wakati huohuo umaarufu wa Chadema umekuwa mkubwa kupindukia sababu watu waliaminishwa kuwa upinzani umekufa na kinyume chake umekuwa zaidi kwa sababu ya huruma kuwa wanaonewa.
Kifungo Cha viongozi wa Chadema mwezi Machi kiliibua hisia za huruma kwa wananchi na kuamsha Ari ya huruma kwa wapinzani. Ujio wa Lissu umeikuza sympathy ya Chadema na ACT kwa pamoja na hivi tunavyoongea waliopewa kazi kushughulika na wapinzani wanalala na viatu.Hii itawapa kura sawa na 21%

Waislamu
Hapa Sina lengo la udini Ila hakuna asiyejua michango ya waislamu hapa bongo. Ujio wa sheikh Ponda Ni pigo kwa CCM na faida upinzani.

Sheikh ponda kashawagawa na Hili litawapa wapinzi USHINDI Zanzibar na pwani na mikoa ya kusini ambapo CCM imewakwaza kwa kiasi kikubwa kupitia korosho. Hili litapunguza 45% kwenye kura za waislam zilizotakiwa kwenda ccm

KOROSHO
sekeseke la korosho linaonekana Ni shida kubwa Sana kiasi Cha kuitikisa ngome ya CCM na hii ikikutana na impact ya ponda itawaumiza CCM zaidi na kuwanufaisha wapinzani.


Low turnover
Mwitiko mdogo wa wapiga kura siku ya uchaguzi, Ni pigo kingine kwa CCM na msaada kwa upinzani. Kuna uwezekano turn over ya wapiga kura ikawa watu 9M -11M

Hapa ndio kifo Cha CCM kinaanzia na hiili litawapunguzia 50% kura zote walizotarajia kupata kwenye uchaguzi huu.hii Ni faida kwa upinzani kwa sababu wao wanategemea sababu za hapo juu kupindua meza.

Common interest za Wazanzibar

Ikumbukwe watu wa visiwani wakitaka Lao hawashindwi licha ya utofauti wa vyama. Ni wazi CCM na ACT wote Lao Ni Moja ingawaje kwa nje wanashambuliana Jana kwamba wanapigana Vita ya 3 ya dunia. Seif anakwenda kushinda uchaguzi kwa sababu wazenji wote Wana ongozwa na common interest kuiona CCM Ni kikwazo kwao so best way Ni kumpa seif na sio Mwinyi.

Membe ATAPATA 1.1%
Lipumba & other 0.9%
Kuharibika kura 2%
Tutarajie mchuano mkali na matokeo ndio hayo hapo juu.

Karibuni kwa mjadalaa
 
Hakuna wa kumpigia kura msaliti wa Nchi Lissu

Ila ndio mbembwe za Uchaguzi, mnaruhusiwa kuongea kila lugha

October 29 baada ya kuragazwa na lissu kurudi ubeligiji
mrudi shamba msimu wa mvua umeanza
Kaka alisahau katika kuorodhesha makundi yalioumizwa nasisi wavuvi niwengi sana nchi hii
 
Wasalaaam wanabodi,

Kampeni za uchaguzi mkuu zinaelekea ukingoni siku mbili zijazo nchi nzima. Tumeona Kila mgombea akijinadi kwa style yake na upekee kulingana na malengo na mikakati thabiti waliyojiwekea.
Chama tawala CCM walianza kwa kishindo kikubwa pale dodoma na kuonesha ukubwa wa idadi ya wafuasi wake walijipanga kutetea kiti Chao. Kadiri siku zilivyozidi kwenda utamu wa kampeni za chama tawala ulinoga kupita zilizotangulia.

Msingi wao mkubwa ulikuwa nyomi la watu na uwezo wa kufika vijijini zaidi. Tofauti na miaka yote mgombea wao amefika MAENEO mengi ya mijini zaidi kuliko vijijini ukilinganisha na 2015. Ukifanya SWOT Analysis utayaona haya:

Strength:
CCM huwezi kuitenganisha na Sola na pia huwezi kuitenganisha na serikali , na hapo ndipo utagundua kwa Nini NEC Ni watiifu Sana kwa CCM.

WEAKNESS
Kundi kubwa Lina wageni ambao sio wajuvi wa siasa za majukwaa na uwezo wa kubashiri yajayo kwa uyakinifu. Hii imewagharimu Sana kiasi hawajui kuwa mbaya wao Ni Seif sharrif Hamad au Tundu Lissu au ubovu wa kumsimamisha Mwinyi.
Si hivyo tu pia kushindwa kujua kuwa Kuivuruga CUF,CHADEMA na kununua wabunge wa upinzani ingelikuwa njia nyepesu ya wao kushinda Bila kupingwa au kushinda kwa kishindo kikubwa. Mpaka Sasa timu ya kampeni ya CCM imeshinda kuondoa udhaifu huu na unawagharimu kwenye field sababu kubwa walisahau kuwa upinzani Ni mioyo na hisia za watu na sio vyama. Hivyo mziki wa upinzani bado unagonga spika zao kwa Kasi Sana.

NGUVU YA UMMA
Inaonekana wazi LISSU na SEIF hawatanii hata kidogo jinsi walivyojipanga kutumia nguvu ya Umma. Kwa mwenye macho mapana .Umma haujawahi kushinda DHIDI ya watawala na Kama kweli basi hiki kitisho kikubwa Sana kwa CCM.


OPPORTUNITY
Fursa kubwa na ya pekee Ni kutumia Dola .

Pili mtaji wa fedha na rasilimali watu

TECHNICALLY
Hapa namaanisha MBINU za kiufundi za kushinda uchaguzi siku ya uchaguzi.
MBINU ya kwanza NEC,hii imewapa wabunge zaidi ya 20

NEC na CCM ni watu wamoja wanaongea lugha Moja pia wanaweza kwa hiyari tu Kuivuruga ngome ya wapinzani na matokeo Yao kwa sababu hawana pa kushtakiwa popote kwa kuwa wao wanatoa tamko la mwisho.(namaanisha wakurugenzi) na dalili zishaonekana tayari.

CHADEMA NA ACT

Wote kwa pamoja na wajadili Bila kuwatenganisha ili nihitimishe vizuri. Ni ukweli usiopingika kuwa Zambarau wameiteka Zanzibar na CDM wameiteka Tanganyika.
Ubora wa viongozi wao wakuu wawili MBOWE & SEIF SHARRIF HAMAD umejidhihirisha wazi kwenye uchaguzi huu kwa kuruka mamii ya vihunzi na kuilaghai serikali mchana kweupeeee.
Hebu nikurudishe nyuma kidogo, siku Maalim Seif alipokwenda ikulu kumsalimia Rais huku MBOWE akipambana kesi ya Akwilina. Kila mtu alijua Maalim ameunga juhudi mkono na shughuli anayo mwamba. Sasa ndio nang'amua kwamba kumbe Ile Ni MBINU ya kimedani ya kuwalaghai watawala waamini upo pamoja nao. Ile ndio siku ya USHINDI wa SEIF Kama ikitokea atashinda Zanzibar kesho kutwa.

Hisia zinaniambia kwamba mwamba na mwalimu waliwaingiza Chaka CCM na Membe wao huku wakijua wamemficha mfukoni Lissu.
Tuachane na hayo hebu tuwafanyie SWOT na wao wapoje.
STRENGTH

NGUVU YA UMMA
Umma umewaelewa Sana ACT &CHADEMA na ushahidi wa Watanzania kuwachangia pesa wahalifu wasiende jela badala yake walipiwe faini na warudi uraiani Ni ishara Tosha upo tayari kufanya lolote lenye kuwalinda Chadema kwa upande wa bara. Jambo Hili liliwatia kiwewe IKULU na kesho yake Rais aliamua kumlipia msigwa kuonesha Kwamba Rais Ana huruma na wapinzani. Kama watu walichanga dusko dusko namaanisha kiasi Cha 1k -10k kinyume chake hizi buku buku Ni idadi ya wapiga kura wa upinzani. Sasa kazi yako chukua kikokotoo halafu tafuta majibu Ni watu wangapi wanasapoti Chadema. Zenji siongei Kila mtu ameona NGUVU ya Maalim kaondoka na wanachama wake kwenda ACT so like amevimbisha msuli kwa mamlaka.


UWEZO WA KUNUSA HATARI

Tukio la Membe kuachwa kwenye mataa na hajielewi linathibitisha uwezo wa wapinzani KUNUSA HATARI.
Waliujua mtego wa CCM na wao wakatega wa kwao kwenda ikulu na kuleta picha kwamba Seif Ni mshkaji na MBOWE mkorofi kumbe Ni mtego wa Kumlinda LISSU na kunifanya Membe aonekane punguani asiyejua anataka nn.
Membe Ni ujio hatarishi kwa upinzani na Lissu anatafutwa na watesi wake asirudi kwenye siasa. Inaonesha wazi Kuna makubaliano kwamba ACT na CDM wote waingize wagombea ili mmoja akikatwa aungwe mkono mwingine na ndicho kinachoendelea Sasa.

Wanachama 9M according to MBOWE

WEAKNESS

Hawana Dola Wala serikali na hawajahi kushinda uchaguzi ngazi ya Rais

NEC haipo upande wao

UWEZO mdogo wa ulinzi na USALAMA wa viongozi wake, Ni rahisi kumteka au kumkata au kuzuia mkutano wa upinzani.

Ukosefu wa rasilimali fedha

OPPORTUNITY

MPASUKO wa CCM baada ya kura za MAONI. Huu Ni mtaji mkubwa Sana wa upinzani na dalili zimeonekana wazi Kanda ya ziwa na Zanzibar. Maamuzi ya Dodoma huenda yakawafanya CCM kupoteza majimbo 35-50 ya uchaguzi wasipotumia utemi.

KULINDA KURA VITUONI

Wakiwekeza NGUVU imara ya KULINDA KURA CCM hawana Chao. Naamini Lissu anamaanisha na ujumbe umewafikia walengwa. Wameanza kujibu maneno

MAKUNDI MAALUM YALIYOUMIZWA NA SERIKALI

Hapa nawaweka wahanga wote wa utawala wa awamu ya tano. Wafanyakazi hewa,waliobomolewa,waliotoswa walimu, wafanyakazi wa serikali, waliokosa mshahara n.k

Hawa Ni game changers watatoa USHINDI 5%-7% kwa Lissu sababu Wana maumivu Yao.

TECHNICALLY

MAANDAMANO YASIYO KIKOMO

ukifuatilia vizuri utagundua MBINU pekee ya wapinzani kuingia ikulu Ni MAANDAMANO YASIYO na KIKOMO. Hii ndio MBINU ya kiufundi yenye chanya na imewasaidi wapinzani wa nchi jirani kuingia na kushika serikali punde tu baada ya uchaguzi.

Hakuna serikali ya kiafrika imeyashinda MAANDAMANO YASIYO KIKOMO. Kiufundi wapinzani wako vyedi.

MATAMKO NA VITISHO VYA VIKWAZO

tangu wiki iliyopita mataifa makubwa yamekuwa na spidi ya MATAMKO na baru ya into kwa serikali ya Tanzania Ni wazi wapinzani kwenye MBINU hii wako mbali Sana. Yakitokea tusiyoyaomba wanatusua mapema.

Baaada ya mtazamo huo Sasa najikita kueleza kwa Nini Lissu 49% na Magufuli 47%.


Sympathy
Umaarufu wa Magufuli umeporomoka Sana baada ya kura za MAONI. Wakati huohuo umaarufu wa Chadema umekuwa mkubwa kupindukia sababu watu waliaminishwa kuwa upinzani umekufa na kinyume chake umekuwa zaidi kwa sababu ya huruma kuwa wanaonewa.
Kifungo Cha viongozi wa Chadema mwezi Machi kiliibua hisia za huruma kwa wananchi na kuamsha Ari ya huruma kwa wapinzani. Ujio wa Lissu umeikuza sympathy ya Chadema na ACT kwa pamoja na hivi tunavyoongea waliopewa kazi kushughulika na wapinzani wanalala na viatu.Hii itawapa kura sawa na 21%

Waislamu
Hapa Sina lengo la udini Ila hakuna asiyejua michango ya waislamu hapa bongo. Ujio wa sheikh Ponda Ni pigo kwa CCM na faida upinzani.

Sheikh ponda kashawagawa na Hili litawapa wapinzi USHINDI Zanzibar na pwani na mikoa ya kusini ambapo CCM imewakwaza kwa kiasi kikubwa kupitia korosho. Hili litapunguza 45% kwenye kura za waislam zilizotakiwa kwenda ccm

KOROSHO
sekeseke la korosho linaonekana Ni shida kubwa Sana kiasi Cha kuitikisa ngome ya CCM na hii ikikutana na impact ya ponda itawaumiza CCM zaidi na kuwanufaisha wapinzani.


Low turnover
Mwitiko mdogo wa wapiga kura siku ya uchaguzi, Ni pigo kingine kwa CCM na msaada kwa upinzani. Kuna uwezekano turn over ya wapiga kura ikawa watu 9M -11M

Hapa ndio kifo Cha CCM kinaanzia na hiili litawapunguzia 50% kura zote walizotarajia kupata kwenye uchaguzi huu.hii Ni faida kwa upinzani kwa sababu wao wanategemea sababu za hapo juu kupindua meza.

Common interest za Wazanzibar

Ikumbukwe watu wa visiwani wakitaka Lao hawashindwi licha ya utofauti wa vyama. Ni wazi CCM na ACT wote Lao Ni Moja ingawaje kwa nje wanashambuliana Jana kwamba wanapigana Vita ya 3 ya dunia. Seif anakwenda kushinda uchaguzi kwa sababu wazenji wote Wana ongozwa na common interest kuiona CCM Ni kikwazo kwao so best way Ni kumpa seif na sio Mwinyi.

Membe ATAPATA 1.1%
Lipumba & other 0.9%
Kuharibika kura 2%
Tutarajie mchuano mkali na matokeo ndio hayo hapo juu.

Karibuni kwa mjadalaa
Vyema
 
Ninm ngumu wewe huoni hata kampeni tumepigwa mabomu lakini tumewaweza?? Ni ngumu kumshinda lakini sio kuwa haiwezekani.

Tumepigwa mabomu watu wametekwa hadi kuuawa lakini bado kampeni zetu zime hit sana. Kampeni zilikuwa ngumu sana lakini tumemaliza kwa ushindi .kubwa. hiyo ndio maana ya ngumu. Ni ngumu lakini tutashinda.
Hata hivyo kushinda chama dola Ni rahisi tu Kama utapata sapoti ya
1.nguvu ya uma
2.jumuiya ya Kimataifa

Ambayo sasa imejionesha wazi kuwa inataka Haki itendeke

Raulel Bagbo alikua Ana dola
Yahya Jamme alikua Ana dola

Lakini walitolewa kibabe na wanajeshi wkishirikiana na Umma na Jumuiya za Kimataifa.
 
Very objective analysis. Thanks.

Kweny uchambuzi wako naongezea Na Sala kumuombea Ushindi Mh Tundu Lissu. Kama moshi wa ubani umfikiavyo Bwana mawinguni kutoka ktk hekali takatifu la Sulemani, Bwana pokea sala zetu.

Tenda miujiza Bwana wa Israel. Tunainua macho na sala zetu mbele yako. Utuondolee udhalimu wote uwatie mikononi mwa Lissu kama ulivyowatia Wafilisti mikononi mwa Daudi.

Tunakuomba Ebwana uliyemwokoa Tundu lissu na mvua ya marisasi kutoka kwa mwovu Ibilisi shetani umuepushe na dhulma. Ukawadhofishe maadui wanaotaka kumwaga damu za watanzania taifa lako.

Tunaomba na kushukuru kwa Sifa na utukufu wa jina lako
Mimi nimeanza kufunga leo kutokunywa vodka yangu pendwa wala chochote mpaka Jumatano.
Mungu akubariki.
Mungu mbariki mleta uchambuzi SHANTI.
Mungu wabariki Watanzania wanaoitakia mema Tanzania.
Mungu ibariki Tanzania.
 
Kuna mtu kanambia anauhakika Lissu atashinda nikamwambia mimi sio mwanasiasa wala mtabiri ila Magufuli atashinda.
Nikamuomba tuweke dau la milioni mojamoja ili ambae kauli yake itakua ilikua yakweli achukue milioni mbili kakataa nikajua kumbe ananiambia maneno asio na uhakika nayo kabisa na anaujua ukweli.

Sent from my Infinix X603 using JamiiForums mobile app
Hivi kusema ukweli nani anaweza kumpa kura yake Jiwe? Yaani kwakweli sioni sababu ya kumchagua Jiwe

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
 
mkuu hakuna mada hapa ya kujikita kwayo, Ulichotuletea ni hisia zako binafsi zisizo na base ya kisayansi. Nakujibu kwa utafiti wa kisayansi inayothibitisha JPM atapata ushindi wa kura 89.5% na Lissu ataambualia tu 8.2%. Tafiti ujibiwa kwa tafiti na siyo mada za hisia
Naamini kwa mtu anayejua maana ya tafiti na kuzitumia kujenga hoja au kupinga hoja,hawezi kamwe kuandika "ujibiwa" badala ya "hujibiwa".
Pole kwa ukilaza na usukule.
 
Kukishinda chama dola ni ngumu sana.

Kama ulifatilia kampeni za Ccm utagundua kwamba Ccm iliendesha kampeni ya kiserikali/dola na sio kampeni ya chama cha siasa.
Huwa wanashindwa kizembe Sana pale wanapo Miss calculate.
1.Raulel Bagbo alikua Ana dola
2.yahya Jammeh alikua Ana dola
Hawa wote waliondilewa kizembe na kwa aibu Sana.
Kilichobaki Ni madhara ya Miss calculation ya mambo yao.
Hali hiyo ndo ipo Tanzania kwa Sasa.
Vyombo vya Dola viko very smart,wenyewe siku zote huwa wako upande wa wengi.
Hivyo kadri nguvu ya Umma inavyoongezeka na wao ndivyo wanavyopunguza matumizi ya nguvu.kwa maana ya kwamba wengi Wana haki.yaani kuheshimu maoni ya wengi.
Pia kaa ukijua kua pressure ya nje Sasa hivi Ni kubwa Sana.
 
hahaha ndo maaana nkakwambia umeandika rubbish, with non research! anyway here is the video

Kwanza nikushukuru kwa kuileta video hii nimeitizama yote. Msingi wa Lowassa kuwa na 18% ulikuwa political personality.

Kwa kigezo Cha politics personality twaweza walifanya utafiti na wakasema John Pombe Magufuli umaarufu wake umeporomoka.

Huyo sio Mimi Ni twaweza, wakaishia kufungiwa.

Kwa kigezo hicho hicho political personality Leo hii tukimsimasha Lissu na Lowassa bado atapata hiyo 18%?

Lowassa tukimsimasha na Magufuli atapata 18%?

Jibu Ni hapana, hivyo basi hoja yako dhaifu ya kwamba Lowassa ana watu au mvuto wa kisiasa inafia hapo.Pia Lowassa hakuwa Brand pekee iliyosababisha watu kuvutiwa na kujaa kwenye mkutano. Chadema yenyewe Ni Brand imara iliyojitosheleza na ndio maana hata Lissu anapata watu kwa wingi ule ule.

Kuondoa kwa Lowassa kungekuwa na athari chanya Lissu angekuwa Kama Membe angeishia watu wachache lakini ndio kwanza Gari linawaka.

"Politics is a game of dynamics" ukiyajua haya utaacha ushabiki, kwenye siasa za 2020 hakuna mahusiano na matukio ya 2015 . Ushahidi Ni kura za MAONI ndani ya CCM walioshinda wakati ule wameangukia pia na wamekuja wapya.

Karibu Tena tuchambue siasa.
 
Hakuna wakumzuia Lissu safari hii, mbinu zote chafu hazitafua dafu.
 
Wasalaaam wanabodi,

Kampeni za uchaguzi mkuu zinaelekea ukingoni siku mbili zijazo nchi nzima. Tumeona Kila mgombea akijinadi kwa style yake na upekee kulingana na malengo na mikakati thabiti waliyojiwekea.
Chama tawala CCM walianza kwa kishindo kikubwa pale dodoma na kuonesha ukubwa wa idadi ya wafuasi wake walijipanga kutetea kiti Chao. Kadiri siku zilivyozidi kwenda utamu wa kampeni za chama tawala ulinoga kupita zilizotangulia.

Msingi wao mkubwa ulikuwa nyomi la watu na uwezo wa kufika vijijini zaidi. Tofauti na miaka yote mgombea wao amefika MAENEO mengi ya mijini zaidi kuliko vijijini ukilinganisha na 2015. Ukifanya SWOT Analysis utayaona haya:

Strength:
CCM huwezi kuitenganisha na Sola na pia huwezi kuitenganisha na serikali , na hapo ndipo utagundua kwa Nini NEC Ni watiifu Sana kwa CCM.

WEAKNESS
Kundi kubwa Lina wageni ambao sio wajuvi wa siasa za majukwaa na uwezo wa kubashiri yajayo kwa uyakinifu. Hii imewagharimu Sana kiasi hawajui kuwa mbaya wao Ni Seif sharrif Hamad au Tundu Lissu au ubovu wa kumsimamisha Mwinyi.
Si hivyo tu pia kushindwa kujua kuwa Kuivuruga CUF,CHADEMA na kununua wabunge wa upinzani ingelikuwa njia nyepesu ya wao kushinda Bila kupingwa au kushinda kwa kishindo kikubwa. Mpaka Sasa timu ya kampeni ya CCM imeshinda kuondoa udhaifu huu na unawagharimu kwenye field sababu kubwa walisahau kuwa upinzani Ni mioyo na hisia za watu na sio vyama. Hivyo mziki wa upinzani bado unagonga spika zao kwa Kasi Sana.

NGUVU YA UMMA
Inaonekana wazi LISSU na SEIF hawatanii hata kidogo jinsi walivyojipanga kutumia nguvu ya Umma. Kwa mwenye macho mapana .Umma haujawahi kushinda DHIDI ya watawala na Kama kweli basi hiki kitisho kikubwa Sana kwa CCM.


OPPORTUNITY
Fursa kubwa na ya pekee Ni kutumia Dola .

Pili mtaji wa fedha na rasilimali watu

TECHNICALLY
Hapa namaanisha MBINU za kiufundi za kushinda uchaguzi siku ya uchaguzi.
MBINU ya kwanza NEC,hii imewapa wabunge zaidi ya 20

NEC na CCM ni watu wamoja wanaongea lugha Moja pia wanaweza kwa hiyari tu Kuivuruga ngome ya wapinzani na matokeo Yao kwa sababu hawana pa kushtakiwa popote kwa kuwa wao wanatoa tamko la mwisho.(namaanisha wakurugenzi) na dalili zishaonekana tayari.

CHADEMA NA ACT

Wote kwa pamoja na wajadili Bila kuwatenganisha ili nihitimishe vizuri. Ni ukweli usiopingika kuwa Zambarau wameiteka Zanzibar na CDM wameiteka Tanganyika.
Ubora wa viongozi wao wakuu wawili MBOWE & SEIF SHARRIF HAMAD umejidhihirisha wazi kwenye uchaguzi huu kwa kuruka mamii ya vihunzi na kuilaghai serikali mchana kweupeeee.
Hebu nikurudishe nyuma kidogo, siku Maalim Seif alipokwenda ikulu kumsalimia Rais huku MBOWE akipambana kesi ya Akwilina. Kila mtu alijua Maalim ameunga juhudi mkono na shughuli anayo mwamba. Sasa ndio nang'amua kwamba kumbe Ile Ni MBINU ya kimedani ya kuwalaghai watawala waamini upo pamoja nao. Ile ndio siku ya USHINDI wa SEIF Kama ikitokea atashinda Zanzibar kesho kutwa.

Hisia zinaniambia kwamba mwamba na mwalimu waliwaingiza Chaka CCM na Membe wao huku wakijua wamemficha mfukoni Lissu.
Tuachane na hayo hebu tuwafanyie SWOT na wao wapoje.
STRENGTH

NGUVU YA UMMA
Umma umewaelewa Sana ACT &CHADEMA na ushahidi wa Watanzania kuwachangia pesa wahalifu wasiende jela badala yake walipiwe faini na warudi uraiani Ni ishara Tosha upo tayari kufanya lolote lenye kuwalinda Chadema kwa upande wa bara. Jambo Hili liliwatia kiwewe IKULU na kesho yake Rais aliamua kumlipia msigwa kuonesha Kwamba Rais Ana huruma na wapinzani. Kama watu walichanga dusko dusko namaanisha kiasi Cha 1k -10k kinyume chake hizi buku buku Ni idadi ya wapiga kura wa upinzani. Sasa kazi yako chukua kikokotoo halafu tafuta majibu Ni watu wangapi wanasapoti Chadema. Zenji siongei Kila mtu ameona NGUVU ya Maalim kaondoka na wanachama wake kwenda ACT so like amevimbisha msuli kwa mamlaka.


UWEZO WA KUNUSA HATARI

Tukio la Membe kuachwa kwenye mataa na hajielewi linathibitisha uwezo wa wapinzani KUNUSA HATARI.
Waliujua mtego wa CCM na wao wakatega wa kwao kwenda ikulu na kuleta picha kwamba Seif Ni mshkaji na MBOWE mkorofi kumbe Ni mtego wa Kumlinda LISSU na kunifanya Membe aonekane punguani asiyejua anataka nn.
Membe Ni ujio hatarishi kwa upinzani na Lissu anatafutwa na watesi wake asirudi kwenye siasa. Inaonesha wazi Kuna makubaliano kwamba ACT na CDM wote waingize wagombea ili mmoja akikatwa aungwe mkono mwingine na ndicho kinachoendelea Sasa.

Wanachama 9M according to MBOWE

WEAKNESS

Hawana Dola Wala serikali na hawajahi kushinda uchaguzi ngazi ya Rais

NEC haipo upande wao

UWEZO mdogo wa ulinzi na USALAMA wa viongozi wake, Ni rahisi kumteka au kumkata au kuzuia mkutano wa upinzani.

Ukosefu wa rasilimali fedha

OPPORTUNITY

MPASUKO wa CCM baada ya kura za MAONI. Huu Ni mtaji mkubwa Sana wa upinzani na dalili zimeonekana wazi Kanda ya ziwa na Zanzibar. Maamuzi ya Dodoma huenda yakawafanya CCM kupoteza majimbo 35-50 ya uchaguzi wasipotumia utemi.

KULINDA KURA VITUONI

Wakiwekeza NGUVU imara ya KULINDA KURA CCM hawana Chao. Naamini Lissu anamaanisha na ujumbe umewafikia walengwa. Wameanza kujibu maneno

MAKUNDI MAALUM YALIYOUMIZWA NA SERIKALI

Hapa nawaweka wahanga wote wa utawala wa awamu ya tano. Wafanyakazi hewa,waliobomolewa,waliotoswa walimu, wafanyakazi wa serikali, waliokosa mshahara n.k

Hawa Ni game changers watatoa USHINDI 5%-7% kwa Lissu sababu Wana maumivu Yao.

TECHNICALLY

MAANDAMANO YASIYO KIKOMO

ukifuatilia vizuri utagundua MBINU pekee ya wapinzani kuingia ikulu Ni MAANDAMANO YASIYO na KIKOMO. Hii ndio MBINU ya kiufundi yenye chanya na imewasaidi wapinzani wa nchi jirani kuingia na kushika serikali punde tu baada ya uchaguzi.

Hakuna serikali ya kiafrika imeyashinda MAANDAMANO YASIYO KIKOMO. Kiufundi wapinzani wako vyedi.

MATAMKO NA VITISHO VYA VIKWAZO

tangu wiki iliyopita mataifa makubwa yamekuwa na spidi ya MATAMKO na baru ya into kwa serikali ya Tanzania Ni wazi wapinzani kwenye MBINU hii wako mbali Sana. Yakitokea tusiyoyaomba wanatusua mapema.

Baaada ya mtazamo huo Sasa najikita kueleza kwa Nini Lissu 49% na Magufuli 47%.


Sympathy
Umaarufu wa Magufuli umeporomoka Sana baada ya kura za MAONI. Wakati huohuo umaarufu wa Chadema umekuwa mkubwa kupindukia sababu watu waliaminishwa kuwa upinzani umekufa na kinyume chake umekuwa zaidi kwa sababu ya huruma kuwa wanaonewa.
Kifungo Cha viongozi wa Chadema mwezi Machi kiliibua hisia za huruma kwa wananchi na kuamsha Ari ya huruma kwa wapinzani. Ujio wa Lissu umeikuza sympathy ya Chadema na ACT kwa pamoja na hivi tunavyoongea waliopewa kazi kushughulika na wapinzani wanalala na viatu.Hii itawapa kura sawa na 21%

Waislamu
Hapa Sina lengo la udini Ila hakuna asiyejua michango ya waislamu hapa bongo. Ujio wa sheikh Ponda Ni pigo kwa CCM na faida upinzani.

Sheikh ponda kashawagawa na Hili litawapa wapinzi USHINDI Zanzibar na pwani na mikoa ya kusini ambapo CCM imewakwaza kwa kiasi kikubwa kupitia korosho. Hili litapunguza 45% kwenye kura za waislam zilizotakiwa kwenda ccm

KOROSHO
sekeseke la korosho linaonekana Ni shida kubwa Sana kiasi Cha kuitikisa ngome ya CCM na hii ikikutana na impact ya ponda itawaumiza CCM zaidi na kuwanufaisha wapinzani.


Low turnover
Mwitiko mdogo wa wapiga kura siku ya uchaguzi, Ni pigo kingine kwa CCM na msaada kwa upinzani. Kuna uwezekano turn over ya wapiga kura ikawa watu 9M -11M

Hapa ndio kifo Cha CCM kinaanzia na hiili litawapunguzia 50% kura zote walizotarajia kupata kwenye uchaguzi huu.hii Ni faida kwa upinzani kwa sababu wao wanategemea sababu za hapo juu kupindua meza.

Common interest za Wazanzibar

Ikumbukwe watu wa visiwani wakitaka Lao hawashindwi licha ya utofauti wa vyama. Ni wazi CCM na ACT wote Lao Ni Moja ingawaje kwa nje wanashambuliana Jana kwamba wanapigana Vita ya 3 ya dunia. Seif anakwenda kushinda uchaguzi kwa sababu wazenji wote Wana ongozwa na common interest kuiona CCM Ni kikwazo kwao so best way Ni kumpa seif na sio Mwinyi.

Membe ATAPATA 1.1%
Lipumba & other 0.9%
Kuharibika kura 2%
Tutarajie mchuano mkali na matokeo ndio hayo hapo juu.

Karibuni kwa mjadalaa
BAVICHA mmebarikiwa ujinga ndio maana nasema Wafuasi Wa lissu ni wavivu wahuni na watu wanaofikili kwa matamanio na sio uhalisia endeleeni Tutakuna 2025 Five tukimjadili Paramagamba Kabudi kumrithi Magufuli
 
Tundu Lissu - Kura tutakupa lakini Kaijage ndio hivyo tena. Atamtangaza dikteta mshindi. Watu tuko tayari kwa option hii hapa chini. Tunahitaji uongozi tu. Hii ndiyo kazi yako wewe, Maalim na Zitto. Najua Mbowe atasema tumwachie Mungu tu. Usimsikilize.
MAANDAMANO YASIYO KIKOMO

ukifuatilia vizuri utagundua MBINU pekee ya wapinzani kuingia ikulu Ni MAANDAMANO YASIYO na KIKOMO. Hii ndio MBINU ya kiufundi yenye chanya na imewasaidi wapinzani wa nchi jirani kuingia na kushika serikali punde tu baada ya uchaguzi.

Hakuna serikali ya kiafrika imeyashinda MAANDAMANO YASIYO KIKOMO. Kiufundi wapinzani wako vyedi.

MATAMKO NA VITISHO VYA VIKWAZO

tangu wiki iliyopita mataifa makubwa yamekuwa na spidi ya MATAMKO na baru ya into kwa serikali ya Tanzania Ni wazi wapinzani kwenye MBINU hii wako mbali Sana. Yakitokea tusiyoyaomba wanatusua mapema.
 
Hakuna wa kumpigia kura msaliti wa Nchi Lissu

Ila ndio mbembwe za Uchaguzi, mnaruhusiwa kuongea kila lugha

October 29 baada ya kuragazwa na lissu kurudi ubeligiji
mrudi shamba msimu wa mvua umeanza
Dah ccm Leo nimewaonea Huruma sana hakika kwa nilichokiona Leo.
 
Back
Top Bottom