Leo nimetua Dar ... kutoka Airport shida, kufika Kariakoo barabara zimegeuka mahandaki kinachoonekana ni chemba za maji machafu zenye kuvuja plus mapicha kibao za wagombea wa CCM ... Kariakoo inanuka... nikaenda Magomeni Mkwajuni hadi Maeneo ya Open University ... Kwa Ujumla Dar inanuka kwa Uchafu, Barabara za hovyoo ... watu wamekatishwa Tamaa kuanzia Vijijini hadi Mijini ... Hivi CCM huwa wanachaguliwa kwa sababu gani? kwanini wanaruhusiwa kuiba kura wasiuawe kama vibaka wengine? ... Itoshe kusema Mwenye kuifagilia CCM ni Zaidi ya Shetani ...