Uchambuzi wa goli la Fiston Mayele

Uchambuzi wa goli la Fiston Mayele

Goli alilofunga Mayele lilifungwa na Mtoto wa Mbeya kwanza Wakati ligi inaanza ila halikusemwa kwasababu ni Wa Mbeya Kwanza, Cross Ilipigwa kwa Tick Tack Moja Hatari na gori likafungwa zaidi ya Lile la Mayele Tafuta Clip utaona
 
Goli alilofunga Mayele lilifungwa na Mtoto wa Mbeya kwanza Wakati ligi inaanza ila halikusemwa kwasababu ni Wa Mbeya Kwanza, Cross Ilipigwa kwa Tick Tack Moja Hatari na gori likafungwa zaidi ya Lile la Mayele Tafuta Clip utaona
Hili hapa mkuu,


Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app
 
Bado goli la mayele ni hatariiiii sana. Haieleweki hata alibinukaje
Goli alilofunga Mayele lilifungwa na Mtoto wa Mbeya kwanza Wakati ligi inaanza ila halikusemwa kwasababu ni Wa Mbeya Kwanza, Cross Ilipigwa kwa Tick Tack Moja Hatari na gori likafungwa zaidi ya Lile la Mayele Tafuta Clip utaona
 
Goli alilofunga Mayele lilifungwa na Mtoto wa Mbeya kwanza Wakati ligi inaanza ila halikusemwa kwasababu ni Wa Mbeya Kwanza, Cross Ilipigwa kwa Tick Tack Moja Hatari na gori likafungwa zaidi ya Lile la Mayele Tafuta Clip utaona
Lkn goli la Mbeya kwanza halikufungwa kiugumu zaidi......lkn goli la MAYELE limefungwa katikat ya wachezaji wawili ....na ilipigwa Dry cross
 
Back
Top Bottom