Watu kama hawa ni kuwaelimisha mana wanachambua mambo ambayo hawayaelewi kabisaMkuu nimeishia kusoma hapo kwenye fao la kujitoa,eti unasema fao la kujitoa haliwezekani kwa kuwa mifuko Ina pesa kidogo kwani mtu anayejitoa anachukua pesa ya mfuko au pesa zake alizoweka hapo?
Mkuu usilazimishe plan zako ziwe sawa na zetu sisi wengine kufanya kazi na shirika au kampuni moja kwa zaidi ya miaka mitano hatuwezi.Hiyo 15 ni ndogo kuliko ninayopata sasaKwahiyo mshahara wako Ni 15m kwa mwezi sawa na 180m kwa mwaka na 9000m kwa miaka mitano bado unalilia 108m ili ujenge?
Toeni ilani yenu hata kwenye mtandao tuisome kama anayosema yamo au hayamo
Na haiwezi kujenga Hadi ulipwe nssf?Mkuu usilazimishe plan zako ziwe sawa na zetu sisi wengine kufanya kazi na shirika au kampuni moja kwa zaidi ya miaka mitano hatuwezi.Hiyo 15 ni ndogo kuliko ninayopata sasa
Mkuu kamchague mzee wa kununua ndege,maana ndege zitaongeza GNI toka 1080 USD hadi 3000 baada ya kuiongeza kwa USD 100.00 in five yearsLisu tapeli wa kisiasa
Mkuu nilikupa mfano na nikakuambia namna nilivyojenga huko nyumba.na Kuna watanzania wengi wangependa au wanatumia strategy hiyo.Naona unaipersonalize.any way fao la kujitoa ni muhimu sanaNa haiwezi kujenga Hadi ulipwe nssf?
kwa zaidi ya miaka 50 ccm imeshindwa kuifanya Tz iweze kujitegemea kwa kila kitu, condom tu Tz inasaidiwa, kutahiri watu mpaka kwa hisani ya watu wa marekani! vyandarua tu mpaka mabeberu wasaidie, kujenga vyoo tu uhamasishaji ufanyike tena kwa kutumia fedha za mabeberu, mkoa wenye wasomi kama kagera ni kati ya mikoa ambayo kaya zenye vyoo bora ni chache......nyerere pamoja na juhudi zake na kukaa madarakani miaka 24 tena kaikuta nchi ikiwa kigoli, bikra, yaan mwali kabisaaa alishindwa vibaya mno kuifanya ijitegemee mpaka kwa aibu akaona bora aachie madaraka! sawa Magu atajipa 5 tena na pengine akawa raisi mpake afe ila kwa staili yake ya uongozi nchi kujitegemea ni ndoto za alinacha na hivi anavyohimiza waTz wazaliane nao wanavyozaliana ka panya Tz kujitegemea sahauLissu siyo mzalendo hata kidogo, ukiangalia sera zake zipo kujenga taifa tegemezi na sio taifa linalojitegemea. Tunataka Tanzania yenye uwezo wa kujitegemea kwa kila kitu katika siku za usoni, na sio taifa tegemezi.
Meambie achambue na ile ya JpmWatu kama hawa ni kuwaelimisha mana wanachambua mambo ambayo hawayaelewi kabisa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mwambie achambue na ile ya Jpm
Kwendraaaaaa huko.Mmezoea Ulaghai kwa hiyo kila mtu mnamuona ni laghai kama CCMLeo nimefurahishwa Lissu kaongea huku ametulia tena kawa mpole, naona keshasoma upepo.
Katika hotuba yake naomba nichambue kidogo maelezo yake, kimsingi hayo aliyoyaelezea yaliwahi kutekelezwa na awamu zilizopita na yakashindikana, ni maneno yakuombea kura tu sio yakiutekelezaji.
1. Kuhusu fao la kujitoa, zipo changamoto za kiutendaji hasa uwezo wa mifuko yenyewe hivyo anaposema mtu ukipugwa tu ukachukue fedha zako. Labda angetueleza kiwango cha labour turnover kikoje, kama wanao acha kazi ni wengi kuliko wanao ajiriwa basi itakuwa pyramid financing, itafika sehemu ita collapse yenyewe. Kwanza tuangalie kwanini kijana afanyekazi miaka kumi halafu apoteze ajira yake na iwe mwisho wa tumaini lake kimaisha, tatizo ni nini? Kinacho mfanya asifanye kazi hadi uzeeni ni nini tunapaswa kuangalia "job security" ya watumishi wetu na sio kukimbilia kuwapa fedha ili wakafie mbele. Kabda ya kufikia huo uamuzi tunapaswa kuwa na labour data base kwanza tujue uwezo wa nguvukazi ya taifa.
2. Vitambulisho vya machinga, kule mbeya alisema atavifuta leo kasemea dosari zake hivyo naamini wazo lake la kuvifuta kaliondoa hivyo siwezi kuzungumzia kwani hajasema atafanya nini juu ya hilo
3. Kuhusu upunguzaji kodi, naona kaongea kienyeji sana labda mikutano ijayo atalitolea ufafanuzi, kasema importers wana kodi 15 yeye atazifuta ibaki moja, kwa kuwa kazitaja kwa idadi basi anazijua vizuri ni vyema akatuambia atafuta kodi zipi? Kwa uchache kuna import duty, exercise duty, vat, income tax etc. Hizi kodi zingine ni mfumo wa kimataifa chini ya WTO hiyo mifumo inafanana duniani sasa sijui anamaanisha Tanzania itajiondoa WTO, ipo mifumo ya SADC na EAC common customs kauli yake ni too skeleton na haijitoshelezi. Mfumo huu aliutumia Rais Mwinyi na ndio chanzo cha kuua viwanda vyetu vya ndani sasa anataka kuturudisha kulekule kwenye ruksa sio?
4. Kulipa fidia kwa maana ya kutibu vidonda, akumbuke kuna wahindi walinyanganywa nyumba zao wakati wa azimio la arusha nao watafidiwa? kuna makampuni ya Rockefeller na Mackenzie yalitaifishwa mashamba ya chai kahawa pareto je nayo yatafidiwa? vipi kuhusu bank ya Barclays UK ambayo ilitaifishishwa na kuanzishwa BOT nayo itafidiwa? Mgodi wa Geita Mine nao ataurudisha kwa Wajerumani? Ni vyema Chadema wakatafakari upana wa tatizo wanalotaka kulitengeneza.
5. Kuvutia wawekezaji, huu mfumo ndio alioutumia mzee wetu marehemu Mkapa, sote tunajua yaliyotupata na hatujasahau naomba usiturudishe huko, hakuna mazingira rafiki ya uwekezaji tusidanganyane. Kwanza ukilegeza mfumo wa kodi hakuna mwekezaji atakuja wekeza labda wachimba mafuta gesi na dhahabu. Mambo amabayo yeye Lissu amekuwa akiyapiga vita tangu zamani huko ubelgiji wamempa nini? Kiujumla mawazo ya Lissu ni yakienyeji sana na yaliyopitwa na wakati.
Kwa hiyo unataka kutuambia ccm kumbe miaka yoote huwa mnatulisha matango pori ahaaaaa kura yangu kwa Lisu 2020Leo nimefurahishwa Lissu kaongea huku ametulia tena kawa mpole, naona keshasoma upepo.
Katika hotuba yake naomba nichambue kidogo maelezo yake, kimsingi hayo aliyoyaelezea yaliwahi kutekelezwa na awamu zilizopita na yakashindikana, ni maneno yakuombea kura tu sio yakiutekelezaji.
1. Kuhusu fao la kujitoa, zipo changamoto za kiutendaji hasa uwezo wa mifuko yenyewe hivyo anaposema mtu ukipugwa tu ukachukue fedha zako. Labda angetueleza kiwango cha labour turnover kikoje, kama wanao acha kazi ni wengi kuliko wanao ajiriwa basi itakuwa pyramid financing, itafika sehemu ita collapse yenyewe. Kwanza tuangalie kwanini kijana afanyekazi miaka kumi halafu apoteze ajira yake na iwe mwisho wa tumaini lake kimaisha, tatizo ni nini? Kinacho mfanya asifanye kazi hadi uzeeni ni nini tunapaswa kuangalia "job security" ya watumishi wetu na sio kukimbilia kuwapa fedha ili wakafie mbele. Kabda ya kufikia huo uamuzi tunapaswa kuwa na labour data base kwanza tujue uwezo wa nguvukazi ya taifa.
2. Vitambulisho vya machinga, kule mbeya alisema atavifuta leo kasemea dosari zake hivyo naamini wazo lake la kuvifuta kaliondoa hivyo siwezi kuzungumzia kwani hajasema atafanya nini juu ya hilo
3. Kuhusu upunguzaji kodi, naona kaongea kienyeji sana labda mikutano ijayo atalitolea ufafanuzi, kasema importers wana kodi 15 yeye atazifuta ibaki moja, kwa kuwa kazitaja kwa idadi basi anazijua vizuri ni vyema akatuambia atafuta kodi zipi? Kwa uchache kuna import duty, exercise duty, vat, income tax etc. Hizi kodi zingine ni mfumo wa kimataifa chini ya WTO hiyo mifumo inafanana duniani sasa sijui anamaanisha Tanzania itajiondoa WTO, ipo mifumo ya SADC na EAC common customs kauli yake ni too skeleton na haijitoshelezi. Mfumo huu aliutumia Rais Mwinyi na ndio chanzo cha kuua viwanda vyetu vya ndani sasa anataka kuturudisha kulekule kwenye ruksa sio?
4. Kulipa fidia kwa maana ya kutibu vidonda, akumbuke kuna wahindi walinyanganywa nyumba zao wakati wa azimio la arusha nao watafidiwa? kuna makampuni ya Rockefeller na Mackenzie yalitaifishwa mashamba ya chai kahawa pareto je nayo yatafidiwa? vipi kuhusu bank ya Barclays UK ambayo ilitaifishishwa na kuanzishwa BOT nayo itafidiwa? Mgodi wa Geita Mine nao ataurudisha kwa Wajerumani? Ni vyema Chadema wakatafakari upana wa tatizo wanalotaka kulitengeneza.
5. Kuvutia wawekezaji, huu mfumo ndio alioutumia mzee wetu marehemu Mkapa, sote tunajua yaliyotupata na hatujasahau naomba usiturudishe huko, hakuna mazingira rafiki ya uwekezaji tusidanganyane. Kwanza ukilegeza mfumo wa kodi hakuna mwekezaji atakuja wekeza labda wachimba mafuta gesi na dhahabu. Mambo amabayo yeye Lissu amekuwa akiyapiga vita tangu zamani huko ubelgiji wamempa nini? Kiujumla mawazo ya Lissu ni yakienyeji sana na yaliyopitwa na wakati.
Sera za Tundu Lissu ni bora mara elfu kuliko za CCM.CCM inarudisha ujamaa leo kweli? Halafu utegemeee tuendeleeeLissu siyo mzalendo hata kidogo, ukiangalia sera zake zipo kujenga taifa tegemezi na sio taifa linalojitegemea. Tunataka Tanzania yenye uwezo wa kujitegemea kwa kila kitu katika siku za usoni, na sio taifa tegemezi.
Zimeenda wapi kama hazipo na zilikuwa zikichangiwa tuanze na hao mchwa waliozitafuna kwanzaMkuu nimeishia kusoma hapo kwenye fao la kujitoa,eti unasema fao la kujitoa haliwezekani kwa kuwa mifuko Ina pesa kidogo kwani mtu anayejitoa anachukua pesa ya mfuko au pesa zake alizoweka hapo?
Akili yako ni ndogo sanaLeo nimefurahishwa Lissu kaongea huku ametulia tena kawa mpole, naona keshasoma upepo.
Katika hotuba yake naomba nichambue kidogo maelezo yake, kimsingi hayo aliyoyaelezea yaliwahi kutekelezwa na awamu zilizopita na yakashindikana, ni maneno yakuombea kura tu sio yakiutekelezaji.
1. Kuhusu fao la kujitoa, zipo changamoto za kiutendaji hasa uwezo wa mifuko yenyewe hivyo anaposema mtu ukipugwa tu ukachukue fedha zako. Labda angetueleza kiwango cha labour turnover kikoje, kama wanao acha kazi ni wengi kuliko wanao ajiriwa basi itakuwa pyramid financing, itafika sehemu ita collapse yenyewe. Kwanza tuangalie kwanini kijana afanyekazi miaka kumi halafu apoteze ajira yake na iwe mwisho wa tumaini lake kimaisha, tatizo ni nini? Kinacho mfanya asifanye kazi hadi uzeeni ni nini tunapaswa kuangalia "job security" ya watumishi wetu na sio kukimbilia kuwapa fedha ili wakafie mbele. Kabda ya kufikia huo uamuzi tunapaswa kuwa na labour data base kwanza tujue uwezo wa nguvukazi ya taifa.
2. Vitambulisho vya machinga, kule mbeya alisema atavifuta leo kasemea dosari zake hivyo naamini wazo lake la kuvifuta kaliondoa hivyo siwezi kuzungumzia kwani hajasema atafanya nini juu ya hilo
3. Kuhusu upunguzaji kodi, naona kaongea kienyeji sana labda mikutano ijayo atalitolea ufafanuzi, kasema importers wana kodi 15 yeye atazifuta ibaki moja, kwa kuwa kazitaja kwa idadi basi anazijua vizuri ni vyema akatuambia atafuta kodi zipi? Kwa uchache kuna import duty, exercise duty, vat, income tax etc. Hizi kodi zingine ni mfumo wa kimataifa chini ya WTO hiyo mifumo inafanana duniani sasa sijui anamaanisha Tanzania itajiondoa WTO, ipo mifumo ya SADC na EAC common customs kauli yake ni too skeleton na haijitoshelezi. Mfumo huu aliutumia Rais Mwinyi na ndio chanzo cha kuua viwanda vyetu vya ndani sasa anataka kuturudisha kulekule kwenye ruksa sio?
4. Kulipa fidia kwa maana ya kutibu vidonda, akumbuke kuna wahindi walinyanganywa nyumba zao wakati wa azimio la arusha nao watafidiwa? kuna makampuni ya Rockefeller na Mackenzie yalitaifishwa mashamba ya chai kahawa pareto je nayo yatafidiwa? vipi kuhusu bank ya Barclays UK ambayo ilitaifishishwa na kuanzishwa BOT nayo itafidiwa? Mgodi wa Geita Mine nao ataurudisha kwa Wajerumani? Ni vyema Chadema wakatafakari upana wa tatizo wanalotaka kulitengeneza.
5. Kuvutia wawekezaji, huu mfumo ndio alioutumia mzee wetu marehemu Mkapa, sote tunajua yaliyotupata na hatujasahau naomba usiturudishe huko, hakuna mazingira rafiki ya uwekezaji tusidanganyane. Kwanza ukilegeza mfumo wa kodi hakuna mwekezaji atakuja wekeza labda wachimba mafuta gesi na dhahabu. Mambo amabayo yeye Lissu amekuwa akiyapiga vita tangu zamani huko ubelgiji wamempa nini? Kiujumla mawazo ya Lissu ni yakienyeji sana na yaliyopitwa na wakati.
Well saidLeo nimefurahishwa Lissu kaongea huku ametulia tena kawa mpole, naona keshasoma upepo.
Katika hotuba yake naomba nichambue kidogo maelezo yake, kimsingi hayo aliyoyaelezea yaliwahi kutekelezwa na awamu zilizopita na yakashindikana, ni maneno yakuombea kura tu sio yakiutekelezaji.
1. Kuhusu fao la kujitoa, zipo changamoto za kiutendaji hasa uwezo wa mifuko yenyewe hivyo anaposema mtu ukipugwa tu ukachukue fedha zako. Labda angetueleza kiwango cha labour turnover kikoje, kama wanao acha kazi ni wengi kuliko wanao ajiriwa basi itakuwa pyramid financing, itafika sehemu ita collapse yenyewe. Kwanza tuangalie kwanini kijana afanyekazi miaka kumi halafu apoteze ajira yake na iwe mwisho wa tumaini lake kimaisha, tatizo ni nini? Kinacho mfanya asifanye kazi hadi uzeeni ni nini tunapaswa kuangalia "job security" ya watumishi wetu na sio kukimbilia kuwapa fedha ili wakafie mbele. Kabda ya kufikia huo uamuzi tunapaswa kuwa na labour data base kwanza tujue uwezo wa nguvukazi ya taifa.
2. Vitambulisho vya machinga, kule mbeya alisema atavifuta leo kasemea dosari zake hivyo naamini wazo lake la kuvifuta kaliondoa hivyo siwezi kuzungumzia kwani hajasema atafanya nini juu ya hilo
3. Kuhusu upunguzaji kodi, naona kaongea kienyeji sana labda mikutano ijayo atalitolea ufafanuzi, kasema importers wana kodi 15 yeye atazifuta ibaki moja, kwa kuwa kazitaja kwa idadi basi anazijua vizuri ni vyema akatuambia atafuta kodi zipi? Kwa uchache kuna import duty, exercise duty, vat, income tax etc. Hizi kodi zingine ni mfumo wa kimataifa chini ya WTO hiyo mifumo inafanana duniani sasa sijui anamaanisha Tanzania itajiondoa WTO, ipo mifumo ya SADC na EAC common customs kauli yake ni too skeleton na haijitoshelezi. Mfumo huu aliutumia Rais Mwinyi na ndio chanzo cha kuua viwanda vyetu vya ndani sasa anataka kuturudisha kulekule kwenye ruksa sio?
4. Kulipa fidia kwa maana ya kutibu vidonda, akumbuke kuna wahindi walinyanganywa nyumba zao wakati wa azimio la arusha nao watafidiwa? kuna makampuni ya Rockefeller na Mackenzie yalitaifishwa mashamba ya chai kahawa pareto je nayo yatafidiwa? vipi kuhusu bank ya Barclays UK ambayo ilitaifishishwa na kuanzishwa BOT nayo itafidiwa? Mgodi wa Geita Mine nao ataurudisha kwa Wajerumani? Ni vyema Chadema wakatafakari upana wa tatizo wanalotaka kulitengeneza.
5. Kuvutia wawekezaji, huu mfumo ndio alioutumia mzee wetu marehemu Mkapa, sote tunajua yaliyotupata na hatujasahau naomba usiturudishe huko, hakuna mazingira rafiki ya uwekezaji tusidanganyane. Kwanza ukilegeza mfumo wa kodi hakuna mwekezaji atakuja wekeza labda wachimba mafuta gesi na dhahabu. Mambo amabayo yeye Lissu amekuwa akiyapiga vita tangu zamani huko ubelgiji wamempa nini? Kiujumla mawazo ya Lissu ni yakienyeji sana na yaliyopitwa na wakati.