Uchambuzi wa Kauli aliyoitoa Dotto Biteko kuwa Watanzania tufanye kazi, siasa haitaleta mkate mezani

Kiufupi yahitajika kuwa mpumbavu Ili kuwaelewa chadema, Mungu ni mwema kwani wanapuuzwa Kila siku. Katika uchambuzi mpana na WA kimantiki, Kuna kosa gani hapo?!!!
Mpuuzi. Kwani chadema imetoka wapi?
 
Tunahitaji vitu vinne ili tuendelee:
1.Watu 2.Ardhi 3.Siasa safi 4.Uongozi bora.
Bila utulivu wa kisiasa hatuwezi kupata muda wa kutafuta huo Mkate!
Labda angezungumza kuwa Siasa zisituchukulie muda mwingi wa kutafuta mkate! Angalau angeeleweka.
 
Ye mwenyewe ni mwanasiasa Kwa sababu hakuna chuo Cha naibu waziri mkuu Wala hakuna chuo Wala shule inafundisha uwaziri vyeo vyake vyote ni vyakisiasa
 
Kiufupi yahitajika kuwa mpumbavu Ili kuwaelewa chadema, Mungu ni mwema kwani wanapuuzwa Kila siku. Katika uchambuzi mpana na WA kimantiki, Kuna kosa gani hapo?!!!
Kuwa mpumbavu ili kuwaelewa Chadema ni tofauti na kuwa mpumbavu ili kuwaelewa ccm!Biteko mwenyewe anakunja ngumi mezani kupitia siasa na amepewa unaibu niniiii kwenye siasa,hebu ajaribu kurudi huko kwenye ualimu ndo aje na hayo maneno ya unafiki mtupu.
 
Tatizo la wanasiasa wa afrika wakishapata madaraka wanafikiri wao wana akili zaidi ya watu wote wanaowaongoza.
 
Unathibitisha tu maneno yangu kuwa kuwaelewa nyie inabidi mtu awe mwehu na mpumbavu.
 
Liko wazi,Katiba Mpya haileti ugali ndio maana Mimi Huwa sipigi kura unless nitanufaika na jambo Hilo,huko ndio kuacha siasa na kufanya kazi.
 
Lazima tukumbuke kwamba siasa ni kazi sasa kama siasa unayoifanya haikupi maendeleo katika maisha yako ni vyema kujielekeza zaidi katika mambo ambayo yataleta mkate wa kila siku mi naona yuko sahihi mh Biteko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…