Uchambuzi wa kisiasa Azam TV Desemba 18, 2023

Uchambuzi wa kisiasa Azam TV Desemba 18, 2023

Yesu Anakuja

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2019
Posts
12,675
Reaction score
25,924
Kuna kijana mmoja, mwembamba hivi ni mwalimu wa Mwalimu Nyerere memorial kama sikosei, huwa anapenda sana kuchambua mambo ya Urusi, na Palestina. huyu kijana ni mdini na amekuwa akisambaza sumu nyingi sana, watu wengi wamekuwa wanalalamika ila naona wanachelea kuliongea, anachokileta Tanzania ni mgawanyiko, wala si vingine.

1. anaitwa IBRAHIM RAHBI Yeye yupo biased 100% kuwapendelea wapalestina, na anasema Hamas sio magaidi. anasema bandari ya Eliet ipo Palestina sio Israel, anaamini kila mtu anaipenda palestina na kila mtu anaichukia israel kama yeye.

2. Yeye anautangazia umma kwamba, Tanzania haiwezi na haijalitangaza kundi la Hamas kama la kigaidi

3. Anasema kwamba, Hamas haitakuja kufa na siku zote anailaumu Israel.

4. Anailaumu UN kukubali kuundwa kwa nchi ya Israel, na anasema ile ardhi ni ya Wapalestina.

Sina shida na maoni yake, kama vile na yeye ambavyo anaweza kuwa hana shida na maoni yangu ambayo ni contrary na anavyoamini, SHIDA YANGU NI PALE ANAPOLIONGEA KWENYE TV.

Hapa Tanzania, usiishi ukifikiri kila mtu anaisapoti Hamas au anaichukia Israel. Unapogusa masuala yanayoweza kuleta hasira kwa watu unakuwa unaigawanya zaidi nchi, na ndio maana hata serikali juzi ilizuia maandamano ya kuunga mkono Hamas kwasababu waliona halina afya.

Yeye anakuja leo anawatangazia watanzania kwamba Tanzania inaisapoti Hamas, mjinga kabisa huyu.
 
Mmh ila watu wengine mnajitafutia stress za bure, kwani wewe una hisa kwenye TV ya Azam? Unajua msimamo wa mmiliki wa Tv. Chanel 290 dstv ni tbc weka usikilize maendeleo ya CCM, achana na Azam yetu.

Wewe kinacho ku kera ni chuki dhidi ya Dini furani, mbona ulivyo eleza vyote ni kweli mtupu, UN haijawahi kuita Hamas terrorist grp, Tz hatufungamane na upande wowote wote ni marafiki zetu, sisi ni nchi ya kusaka misaada, hatuna msimamo.
 
hakuna kitu kitafanywa na mtu aliyepitia madrasa kisiwe na vinasaba vya dini..ndio maisha yao na utamaduni wao...azam huwezi sikia tangazo la pombe...haipo nyutro ki biashara lazima dini iwepo kwenye misingi ya yote
 
Kuna kijana mmoja, mwembamba hivi ni mwalimu wa Mwalimu Nyerere memorial kama sikosei, huwa anapenda sana kuchambua mambo ya Urusi, na Palestina. huyu kijana ni mdini na amekuwa akisambaza sumu nyingi sana, watu wengi wamekuwa wanalalamika ila naona wanachelea kuliongea, anachokileta Tanzania ni mgawanyiko, wala si vingine.

1. Yeye yupo biased 100% kuwapendelea wapalestina, na anasema Hamas sio magaidi.

2. Yeye anautangazia umma kwamba, Tanzania haiwezi na haijalitangaza kundi la Hamas kama la kigaidi

3. Anasema kwamba, Hamas haitakuja kufa na siku zote anailaumu Israel.

4. Anailaumu UN kukubali kuundwa kwa nchi ya Israel, na anasema ile ardhi ni ya Wapalestina.

Sina shida na maoni yake, kama vile na yeye ambavyo anaweza kuwa hana shida na maoni yangu ambayo ni contrary na anavyoamini, SHIDA YANGU NI PALE ANAPOLIONGEA KWENYE TV.

Hapa Tanzania, usiishi ukifikiri kila mtu anaisapoti Hamas au anaichukia Israel. Unapogusa masuala yanayoweza kuleta hasira kwa watu unakuwa unaigawanya zaidi nchi, na ndio maana hata serikali juzi ilizuia maandamano ya kuunga mkono Hamas kwasababu waliona halina afya.

Yeye anakuja leo anawatangazia watanzania kwamba Tanzania inaisapoti Hamas, mjinga kabisa huyu.
Mbona haueleweki, kwa maelezo yako anaiunga mkono Hamas na pia aniunga mkono Israel, sasa shida iko wapi!
 
Mbona tangu zamani Azam wapo hapo kwa ajili ya kusaport dini yao. Azam uwaambii kitu kuhusu uislamu. Tazama filam zao zote za Azam 2, zote wanazitoa huko uarabuni hasa uturuki, tamthilia zimejaa udini dini hadi kero.
 
Kuna kijana mmoja, mwembamba hivi ni mwalimu wa Mwalimu Nyerere memorial kama sikosei, huwa anapenda sana kuchambua mambo ya Urusi, na Palestina. huyu kijana ni mdini na amekuwa akisambaza sumu nyingi sana, watu wengi wamekuwa wanalalamika ila naona wanachelea kuliongea, anachokileta Tanzania ni mgawanyiko, wala si vingine.

1. Yeye yupo biased 100% kuwapendelea wapalestina, na anasema Hamas sio magaidi.

2. Yeye anautangazia umma kwamba, Tanzania haiwezi na haijalitangaza kundi la Hamas kama la kigaidi

3. Anasema kwamba, Hamas haitakuja kufa na siku zote anailaumu Israel.

4. Anailaumu UN kukubali kuundwa kwa nchi ya Israel, na anasema ile ardhi ni ya Wapalestina.

Sina shida na maoni yake, kama vile na yeye ambavyo anaweza kuwa hana shida na maoni yangu ambayo ni contrary na anavyoamini, SHIDA YANGU NI PALE ANAPOLIONGEA KWENYE TV.

Hapa Tanzania, usiishi ukifikiri kila mtu anaisapoti Hamas au anaichukia Israel. Unapogusa masuala yanayoweza kuleta hasira kwa watu unakuwa unaigawanya zaidi nchi, na ndio maana hata serikali juzi ilizuia maandamano ya kuunga mkono Hamas kwasababu waliona halina afya.

Yeye anakuja leo anawatangazia watanzania kwamba Tanzania inaisapoti Hamas, mjinga kabisa huyu.
Kama haiungi mkono,mbona haijakifungia hicho chombo cha habari,
Kama haingi mkono Hamasi mbona imeshindwa kulaani mauji ya watanzania wenzetu.
Kama haiungi mkono mbona.haijuita balozi wa palestina atoe maelezo.
Nadhani yupo sahihi, japo Wewe umeshindwa kumuelewa.
 
Back
Top Bottom