Uchambuzi wa kisiasa Azam TV Desemba 18, 2023

Uchambuzi wa kisiasa Azam TV Desemba 18, 2023

Kama haiungi mkono,mbona haijakifungia hicho chombo cha habari,
Kama haingi mkono Hamasi mbona imeshindwa kulaani mauji ya watanzania wenzetu.
Kama haiungi mkono mbona.haijuita balozi wa palestina atoe maelezo.
Nadhani yupo sahihi, japo Wewe umeshindwa kumuelewa.
chombo cha habari chenyewe ni cha mwarabu, na anayeongea hayo ni ustaadhi swala tano. na anaamini watanzania wote wanashare mawazo yake. kumbe wanamdharau na kumshangaa tu.
 
IBRAHIM RAHBI anaamini kila mtu anaichukia israel, ni kajinga sana kale kambilikimo. cha ajabu, ni mkufunzi kabisa wa chuo cha kiserikali cha Mwalimu Nyerere, na azam wamemng'ang'ania sana kila siku awe anasambaza uongo na sumu za chuki. kwa kufanya anachofanya anafanya wakristo tuamini ni kampeni ya azam chanel ya muislam kusambaza chuki dhidi ya israel ambayo sisi wakristo tunaipenda.
 
Kuna kijana mmoja, mwembamba hivi ni mwalimu wa Mwalimu Nyerere memorial kama sikosei, huwa anapenda sana kuchambua mambo ya Urusi, na Palestina. huyu kijana ni mdini na amekuwa akisambaza sumu nyingi sana, watu wengi wamekuwa wanalalamika ila naona wanachelea kuliongea, anachokileta Tanzania ni mgawanyiko, wala si vingine.

1. anaitwa IBRAHIM RAHBI Yeye yupo biased 100% kuwapendelea wapalestina, na anasema Hamas sio magaidi. anasema bandari ya Eliet ipo Palestina sio Israel, anaamini kila mtu anaipenda palestina na kila mtu anaichukia israel kama yeye.

2. Yeye anautangazia umma kwamba, Tanzania haiwezi na haijalitangaza kundi la Hamas kama la kigaidi

3. Anasema kwamba, Hamas haitakuja kufa na siku zote anailaumu Israel.

4. Anailaumu UN kukubali kuundwa kwa nchi ya Israel, na anasema ile ardhi ni ya Wapalestina.

Sina shida na maoni yake, kama vile na yeye ambavyo anaweza kuwa hana shida na maoni yangu ambayo ni contrary na anavyoamini, SHIDA YANGU NI PALE ANAPOLIONGEA KWENYE TV.

Hapa Tanzania, usiishi ukifikiri kila mtu anaisapoti Hamas au anaichukia Israel. Unapogusa masuala yanayoweza kuleta hasira kwa watu unakuwa unaigawanya zaidi nchi, na ndio maana hata serikali juzi ilizuia maandamano ya kuunga mkono Hamas kwasababu waliona halina afya.

Yeye anakuja leo anawatangazia watanzania kwamba Tanzania inaisapoti Hamas, mjinga kabisa huyu.
Ulitaka aliongee wapi? Facebook?
 
Mbona tangu zamani Azam wapo hapo kwa ajili ya kusaport dini yao. Azam uwaambii kitu kuhusu uislamu. Tazama filam zao zote za Azam 2, zote wanazitoa huko uarabuni hasa uturuki, tamthilia zimejaa udini dini hadi kero.
Si mna tv zenu wekeni huko kwenu kila mtu atumie chombo chake.
 
Back
Top Bottom