Uchambuzi wa Mkataba wa kuendesha bandari ya Dar es Salaam kati ya Tanzania na Dubai

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nime usoma na ku translate na nimeulewa vyema.
Poleee wee km umedandia baada ya kudadavuliwa ni wee pekee.
Kwa akili zipi ulizonazo wewe zaidi ya ushabiki maandaz? πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†

Ukivyoudoma.ukaelewa nini? Miaka 100 au?
 
Kumbe ubaguzi tu unakusunbuwa, wewe kwenu wapi?

"Kule zenji" kama ghuelewi mkataba na Dubai walianza na eyapoti, wa bandari ukafatia.

Mbona ni zamani mpaka imekuwa historia, wewe ulikuwa umelala?
Ghuelewi ❎= uelewi β˜‘οΈ

Eyapoti❎ = Airport β˜‘οΈ
 
Ehe ehe tupeni faida mnazopata nyie omba omba wahead! Tuondoleeni biashara ya utumwa hapa!
Kwa hayo mawazo yako hautoacha kuwa mtumwa.

 
Ghuelewi ❎= uelewi β˜‘οΈ

Eyapoti❎ = Airport β˜‘οΈ
 
Ngoja waarabu waichukue bandari ya Dar es salaam ndo mtajua hamjui.
Kazi zoote za maana zitakuwa zao, na happy ndo mtatumikishwa Kama watumwa,?
Nasema hivi mtakuja kuwa watumwa ndani ya nchi yenu.
Eti tumeshindwa kuisimamia hiyo bandari hadi tunaleta waarabu waje wasimamie, kweli?
 
Mnaingizwa mkenge na nketa mada na nyinyi mnauvaa kichwa kichwa, Mleta mada ameleta vipande tu vya mkataba na kuwalisha maoni yake.

Aweke mkataba kamili.

Huyu ni wale wale tu, kina ndugai na bashiru.
Kwanini mleta mada peke yake? Wewe unaetetea, kwanini na wewe usilete hivyo unavyosema tukaona au unatoa kwa utashi wako? Sasa kuna maana gani ya kumpinga mleta mada ilihali angalau yeye kajitahidi kuleta hata kipande cha huo mkataba.

Sio wajibu wenu / wako / serikali kuweka wazi watu wakajadili kwa uwazi? Kila mtu akaona? Ingekuwa ni vyema na wewe ukaleta angalau vipande vya hayo unayotetea tukaona pia?
 
faiza faiza faiza FaizaFoxy hua na appreciate sana unachosemaga hapa jf ila kwa hili umefeli. Wewe unawaza positive unasahau kuna negative tena negative n nyng kuliko positive. Mkataba hauna duration, mkataba hautavunjwa hata kama wakifanya makosa makubw kias gn, hakuna mkataba wenye vipengere hivo unaotegemea ukubebe .Obvious wanajua madudu watayoyafanya ndo mana wamesema hata wakoseeje mkataba hauvunjwi yote n kujidefend tu.Unawaza ndio sawa tnaingia kimataifa lakn je tnafaidikaje na huko ilhali mwenzetu ndio anaetuongoza na anatotal control. Naona kbs tz inakua dumping place yao and this marks the official beginning of neo- colonialism in tz.
 
Huu mkataba unaiingiza rasmi Tanzania kwenye biashara za Kimataifa.

Wenye uelewa wa biashara za Kimataifa watalielewa hilo.

Mambumbumbu wa biashara mtabaki bandari imeuzwa, imeuzwa.

Imeuzwa kupelekwa wapi?
Bibi acha kuzingua, ina maana kabla ya hapo hakuna biashara za kimataifa zimekuwa zinafanyika kupitia hiyo bandari? huna uelewa kwamba hiyo bandari inapitisha mizigo ya mataifa mbalimbali yanayotuzunguka, au ni biashara gani ya kimataifa unayoongelea. Acha kuleta porojo zako za udini kwenye mambo yenye maslahi mapana kwa taifa.​
 
 

Attachments

  • 27AD9A88-732F-4AE5-AF15-0AD2E0E29F23.jpeg
    55.1 KB · Views: 3
Kwa akili zipi ulizonazo wewe zaidi ya ushabiki maandaz? [emoji38][emoji38][emoji38]

Ukivyoudoma.ukaelewa nini? Miaka 100 au?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa km kuandika vizuri hujui, ndo ushindane na mie?? Nitolee stress zako hapa.
 
Job alikuwa jikoni huko alicho ona ndicho alichosema ww ujinga Ni hujui Mambo yabiki maandazi ...ukipewa pesa ya bando na posho unashabikia nchi ipelekwe kokote ewe mtu ww..aliamua kuuza shamba ameamua kuanza na miti na vitu vya thamani vilivyomo lakin job alisema..mwisho vikiisha na airport Nayo inafuatia , migodi...alisema job.
Mimi wangu ujinga, wewe wako ujanja mbadala uko wapi?
 
Uko wapi huo mkataba?

. Alikuwa jiko la mwendazake.
 
Mkataba Kati ya Serikali ya Tanzania na kampuni ya DPW ya Emirates Dubai umeacha maswali mengi na kuamsha hisia za kudai Katiba mpya kwa nguvu zote...
This is smart thinking siyo kama wale CHADEMA na Maria Space
 
Kwanza kwanini umejitokeza leo kutetea ili Hali kesho Bunge litakaa kwa shughuli hiyo?

Kujitikeza kwako kutetea huu mkataba as an individual ndiyo kuna leta maswali. Mbona nguvu ni kubwa hivi?

Mbona kama kuna kiwewe?

Nisingeliandika kama ungekuwa unahojiwa na chombo cha habari lakini kuitisha press kutetea ndiyo wengi tunona nyie lomolomo ndiyo mnatangulizwa kuweka mamb Sawa. Ungelitulia ukasubiri kesho nafasi unayo Bungeni.

Mimi siwezi kukubali kusikia porojo zako kwenye press ili Hali mkataba huo umeandaliwa na wasomi wakubwa wanaojua namna ya kula kwa wasiojitambua.

Kweli nisikilize porojo ili Hali wewe hujui hata kutamka neno" contractual term" kwa usahihi.

Hivi mh. Msukuma ule mkataba ukiusoma wewe utaulewa unamaanisha Nini kweli?

Ndugu tulia kwanza jambo lichakatwe hizi porojo ni kwasababu tumeruhusu kuingia mjengoni Sifa moja wapo ni "anayejua kusoma na kuandika kiswahili"

Wewe siyo mtaalamu wa SHERIA

Tukienda kwa pupa, kesho akiingia Rais mzalendo akaona kuna madudu kwenye mkataba akataka kuvunja ndiyo utaona wanakamata mali zetu ZILIZOPO nje ya nchi.

Msukuma tulia kaka, Wacha bunge lipitie kesho na Bunge la wananchi nalo halipo nyuma tunafuatilia. Hatutaki yajirudie Yale ya migodi namna tulivyopigwa. Kila tukijaribu Jamaa wanakimbilia MIGA.

Msukuma Mimi Nina nusu ya umri wako, napenda nami watoto wangu wakute nchi ikiwa vizuri.

Acha tujue, je ni lifetime au ni miaka 100 au la!

Mungu ibariki Tanzania πŸ‡ΉπŸ‡Ώ
 
Wengi humu hawajali mkataba wanachopinga "Uarabu" wa DpWorld.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…