Uchambuzi wa tuhuma za Dhulma za Tajiri Saalah Dhidi ya Eliud

Uchambuzi wa tuhuma za Dhulma za Tajiri Saalah Dhidi ya Eliud

Alafu kikawaida muovu hupendelea kumuonea muovu mdogo.
Yaani ukitumwa au ukiyafumbia maovu Mbele ya muovu Ipo siku atakufanyia uovu na wewe.

Mfano, umeajiriwa na kampuni Fulani lakini Boss wako ni muonevu, usipoweza kumwambia jua Ipo siku atakuonea wewe.
Lakini ukiwa unamuambia kama, Ila boss hivyo unavyofanya sio poa, hiyo ni dhulma na dhulma sio nzuri Kabisa.
Ninakuhakikishia boss huyo hatakuwa na ujasiri wa kukudhulumu.

Lakini maboss wengi wameshajihakikisha kuwa wanaowafanyia dhulma wenyewe ni wadhulumaji kama wao, sema ni vile nafasi zinatofautiana
Shida ya wakopeshaji wao wanaandika mkuu ni kama wale wa hela za Moto za Riba wanaandika wakiamini siku wakitaka kuchukua mali yako wao wana ushahidi ndip kilichomkuta jamaa ila hawawezi kuchukua hela kwa mtu wasiefanya nae baishara kabisaa...ndio maana akienda Polisi wanamkibiza ushahidi wa kutoa pesa nyingi kizembe lazima uwashangaze watu...
 
Binafsi kwenye ule uzi, niliishia tu kuguna na kusema no comments.

Uzi wake unaweza kuwa na hoja, lakini tatizo linakuja kuwa Mhanga ni sehemu ya uhalifu.
Kwa sababu akienda Mahakamani Kudai hizo Mali zake si ataambiwa anafanya biashara gani au shughuli gani, kisha hiyo biashara na shughuli vitalinganishwa na fedha anazodai.

Mwishowe itaonekana anakosa la uhujumu uchumi kwani halipo Kodi au anamuibia Boss wake.
Nina uhakika hatakuwa na Mtiririko mzuri wa upatikanaji WA Mali zake(jinsi alivyopata utajiri wake)
 
Shida ya wakopeshaji wao wanaandika mkuu ni kama wale wa hela za Moto za Riba wanaandika wakiamini siku wakitaka kuchukua mali yako wao wana ushahidi ndip kilichomkuta jamaa ila hawawezi kuchukua hela kwa mtu wasiefanya nae baishara kabisaa...ndio maana akienda Polisi wanamkibiza ushahidi wa kutoa pesa nyingi kizembe lazima uwashangaze watu...


Aiseeeh!

Sijaona mahali akiwahusisha Wanasheria.
Afuatilie Jambo hilo
 
  • Changamoto ninayoiona, hakukuwa na makubaliano yoyote ya kisheria (nyaraka) katika uendeshaji wa biashara (ajira) pamoja na ugawaji wa mali.​
  • Matajiri wengi wa Asia na Afrika hutumia mbinu hii, ili litokeapo jambo ukose haki ya kuwashtaki. Kwa tajiri ili asipoteze, anakuwa alishajiwekea mipangilio kichwani, 'asipofanya vile nitafanya hivi', ndio kilichotokea kwa mlalamikaji.​
  • Kosa kubwa la kiufundi ninaloliona; ni kwa nini vyombo vya sheria vinamuogopa kwenye kuhoji na kupata ukweli?​
 
  • Changamoto ninayoiona, hakukuwa na makubaliano yoyote ya kisheria (nyaraka) katika uendeshaji wa biashara (ajira) pamoja na ugawaji wa mali.​
  • Matajiri wengi wa Asia na Afrika hutumia mbinu hii, ili litokeapo jambo ukose haki ya kuwashtaki. Kwa tajiri ili asipoteze, anakuwa alishajiwekea mipangilio kichwani, 'asipofanya vile nitafanya hivi', ndio kilichotokea kwa mlalamikaji.​
  • Kosa kubwa la kiufundi ninaloliona; ni kwa nini vyombo vya sheria vinamuogopa kwenye kuhoji na kupata ukweli?​

Kumhoji MTU Kwa tuhuma za mtandaoni Mkuu?

Huyo achukue wanasheria wapo Kwa kazi hizo,
Kosa la Kwanza hakuajiri Mhasibu licha ya kuwa anafanya biashara ya mamilioni.
Kosa la pili, Baada ya kuingia kwenye matatizo hashirikishi wanasheria na mawakili.
Hapo unategemea nini Mkuu?
 
Kumhoji MTU Kwa tuhuma za mtandaoni Mkuu?

Huyo achukue wanasheria wapo Kwa kazi hizo,
Kosa la Kwanza hakuajiri Mhasibu licha ya kuwa anafanya biashara ya mamilioni.
Kosa la pili, Baada ya kuingia kwenye matatizo hashirikishi wanasheria na mawakili.
Hapo unategemea nini Mkuu?
Hakuna watu wadhumati kama hawa matajir wetu wakubwa anakudhukumu haki yako na humuoni utaishia tu kumuona anapita kwenye gari na Wala huwezi kumsogelea
 
Kumhoji MTU Kwa tuhuma za mtandaoni Mkuu?

Huyo achukue wanasheria wapo Kwa kazi hizo,
Kosa la Kwanza hakuajiri Mhasibu licha ya kuwa anafanya biashara ya mamilioni.
Kosa la pili, Baada ya kuingia kwenye matatizo hashirikishi wanasheria na mawakili.
Hapo unategemea nini Mkuu?
Lakini kuna sehemu alikuwa anaenda kutafuta haki, akajibiwa hatumuwezi; hapa ndipo penye kosa la kiufundi.
 
Robert Heriel mkasa wa huyu kijana na tajiri mbona kaeleza vizuri.
Kwanza amekiri kapoteza hela za tajiri
Pili amekubali kulipa njia ya kulipa ndio hio tajiri kuchukua mali zake na wapige hesabu kilichozidi amrudishie

Anacholalamika ni tajiri kumkwepa inapofikia kupiga hesabu tajiri achukue chake na ampe kilichozidi. Ni kama benki wakipiga mnada nyumba yako kwa kushindwa kulipa deni, wanachukua hela yao inayozidi wanakupa wewe.
Sasa tusibariki ukatili utesaji kisa masikini kachukua hela ya tajiri ndio haki kumtesa hata kuua sio sawa. Kapoteza hela yako mdai chukua chako vingine muachie na maisha yake.
 
Robert Heriel mkasa wa huyu kijana na tajiri mbona kaeleza vizuri.
Kwanza amekiri kapoteza hela za tajiri
Pili amekubali kulipa njia ya kulipa ndio hio tajiri kuchukua mali zake na wapige hesabu kilichozidi amrudishie

Anacholalamika ni tajiri kumkwepa inapofikia kupiga hesabu tajiri achukue chake na ampe kilichozidi. Ni kama benki wakipiga mnada nyumba yako kwa kushindwa kulipa deni, wanachukua hela yao inayozidi wanakupa wewe.
Sasa tusibariki ukatili utesaji kisa masikini kachukua hela ya tajiri ndio haki kumtesa hata kuua sio sawa. Kapoteza hela yako mdai chukua chako vingine muachie na maisha yake.
Haelewi halafu anajiita MCHAMBUZI
 
Nimesoma vizuri stori yako iko very interested na unaundishi mzuri sana

Ila ishu yako kuifananisha na ile ya yule jamaa sidhani kama itakuwa na uzito sawa.

Mkasa wako, viongozi wa serikali aliokuwa anamiliki boss wako ni mwela mmoja ambaye huyo ni shemeji yake

Sasa jamaa yule wa Saalah hadi TISS huko kwenye vitengo vya crucifixion kote huko ana watu, ni hatari sana.
 
Nimesoma vizuri stori yako iko very interested na unaundishi mzuri sana

Ila ishu yako kuifananisha na ile ya yule jamaa sidhani kama itakuwa na uzito sawa.

Mkasa wako, viongozi wa serikali aliokuwa anamiliki boss wako ni mwela mmoja ambaye huyo ni shemeji yake

Sasa jamaa yule wa Saalah hadi TISS huko kwenye vitengo vya crucifixion kote huko ana watu, ni hatari sana.

Huyo Hana ubavu wa kusumbuana na huyo Kigogo Kwa sababu moja kuu, naye ni mshirki wa deal hatari na haramu.
Kama angekuwa ni mwenye Haki ninakuhakikishia matajiri hawanaga uwezo wa kumdhulumu mtu mtenda Haki.
Watamsumbua tuu Ila watampa Haki yake.

Lakini ukishakuwa na chembechembe za Utapeli na dhulma Kwa wengine, lazima atatokea WA juu yako akupige kitu kizito hiyo ndio Michezo ya hao mabwana.

Kama ningeambiwa nimshairo huyo Eliud, ambacho angepaswa kukifanya NI kuachana na Kudai hizo Haki zake ambazo kimsingi ni Chumo la haramu.
Yeye angejinyenyekeza na kuanza kazi upya na hao kina Saalah,
Huku akisubiri perfect time to revenge akiwa amejiandaa.

Sasa yeye kakosea, uliona wapi MTU anadhulumiwa Pesa alizozipata kiharamu akaenda kushtaki Mahakamani?
Au kuomba msaada kwenye jamii. Uliona wapo?

Hao matajiri wenyewe Wapo wakubwa zao wanawadhulumu parefu mno, uliwahi kusikia wanapiga Kelele na kulalamika?
Pesa haramu haipigiwi Kelele kisa umetemwa kwenye mfumo.
 
Robert Heriel mkasa wa huyu kijana na tajiri mbona kaeleza vizuri.
Kwanza amekiri kapoteza hela za tajiri
Pili amekubali kulipa njia ya kulipa ndio hio tajiri kuchukua mali zake na wapige hesabu kilichozidi amrudishie

Anacholalamika ni tajiri kumkwepa inapofikia kupiga hesabu tajiri achukue chake na ampe kilichozidi. Ni kama benki wakipiga mnada nyumba yako kwa kushindwa kulipa deni, wanachukua hela yao inayozidi wanakupa wewe.
Sasa tusibariki ukatili utesaji kisa masikini kachukua hela ya tajiri ndio haki kumtesa hata kuua sio sawa. Kapoteza hela yako mdai chukua chako vingine muachie na maisha yake.

Mtu keshasema hizo Pesa ni zinapatikana kiharamu, naye alishiriki kufanya shughuli haramu. Kisha kafanyiwa kitendo haramu.
Bado atake Haki ipi Mkuu?

Uliza mahali popote pale, Pesa haramu haidaiwi Mahakamani au Kwa Njia ya Haki.

Hizo kazi zinakanuni zake, na huyo alichokosea na kuwa na kitete na haraka ndio maana keshazidiwa hesabu.

Yeye kama alijua anadaiwa Mali kiasi Fulani iweje akabidhi vitu vitakavyobinafsishwa kwa Saalah vilivyozidi Deni lake?

Unadaiwa Baiskeli, wewe badala uweke angalau pikipiki wewe Unaweka Gari, hivi kina Logic hapo?

Udaiwe milioni 100, wewe urudishe milioni Mia tatu alafu unataka chenchi sio😂😂😂

Sipendi MTU aonewe na kudhulumiwa lakini sioni Shida wadhulumaji wakidhulumiana Kwa sababu hiyo ndio Michezo Yao na ndio kazi Yao inayoendesha Maisha Yao.

Mkuu zingatia tumesikia upande mmoja.
 
Hakuna watu wadhumati kama hawa matajir wetu wakubwa anakudhukumu haki yako na humuoni utaishia tu kumuona anapita kwenye gari na Wala huwezi kumsogelea

Hata Maskini ni dhulmati wakubwa ni vile inaonekana udhulmati wao unaonekana wa miambili miambili.

Dhulma haina cha Tajiri wala Maskini.
Dhulma ni Tabia MTU yeyote anaweza kuwa nayo.
 
Usiniletee upimbi kwenye masuala ya shilingi jina la msanii nimemsahau.Kuna watu hawana masihara na fedha zao .
 
Usiniletee upimbi kwenye masuala ya shilingi jina la msanii nimemsahau.Kuna watu hawana masihara na fedha zao .

Watanzania wengi tunaile Tabia ya kuchukulia mambo kirahisi.
Mtu amekuta unabiashara kubwa, anapoteza robo ya mtaji au nusu alafu gharama yake anailipa Kwa Samahani 😂😂😂
Ukichukua hatua utaonekana Mbaya na majina mabaya utaitwa
 
  • Kicheko
Reactions: EEX
Hakuna watu wadhumati kama hawa matajir wetu wakubwa anakudhukumu haki yako na humuoni utaishia tu kumuona anapita kwenye gari na Wala huwezi kumsogelea
Watanzania wengi wanafanya biashara ya kuaminiana mpaka na mabwenyenye ambayo akiamua kukuruka anaruka tuu tena utamuona kwa kuwa anapokea simu za Tajiri basi anamwamini kuliko Mchimbachunvi mwenzie...
 
Hata Maskini ni dhulmati wakubwa ni vile inaonekana udhulmati wao unaonekana wa miambili miambili.

Dhulma haina cha Tajiri wala Maskini.
Dhulma ni Tabia MTU yeyote anaweza kuwa nayo.
Wanafunika mpaka hela za mchango wa msiba au zile za harusi si unaona sasa hivi michango ya harusi Mhasibu wao ni mwandugu kwa nini watu washapigwa sana na hizo Kamati za Harusi..
 
Back
Top Bottom