Uchambuzi Yakinifu: Bila chuki wala kuweka utaifa mbele Khaligraph jones katisha sana

Uchambuzi Yakinifu: Bila chuki wala kuweka utaifa mbele Khaligraph jones katisha sana

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264
1 kamwambia ukweli Young killer _ saivi yupo busy na mapenzi kuliko mziki (kuna time nilidhan Bongo hip hop ataiokoa)

2 Wakazi anaongea sana mitandaoni(apewe kaz wasafi media
😂
)

3 Nikki Mbishi (apa naisi kikosi kazi wote) __(wanafanya mziki mzuri lakini nidhamu ni kitu cha muimu ili msanii afike mbali )

4 Rosa ree (unafanya poa ila landa Tale alusaini) _ wasanii wengi bongo wanajua ila menejiment mbovu
👊


5 Fid Q (in my top five you can take any number) apa katoa heshima kubwa kwa msanii mkubwa,

6 lunya na con boi (ndio kizazi cha kuikoa hiphop), sema hapa angemtoa Lunya amuweke Dizasta vina angetisha sana
 
1 kamwambia ukweli Young killer _ saivi yupo busy na mapenzi kuliko mziki (kuna time nilidhan Bongo hip hop ataiokoa)

2 Wakazi anaongea sana mitandaoni(apewe kaz wasafi media
😂
)

3 Nikki Mbishi (apa naisi kikosi kazi wote) __(wanafanya mziki mzuri lakini nidhamu ni kitu cha muimu ili msanii afike mbali )

4 Rosa ree (unafanya poa ila landa Tale alusaini) _ wasanii wengi bongo wanajua ila menejiment mbovu
👊


5 Fid Q (in my top five you can take any number) apa katoa heshima kubwa kwa msanii mkubwa,

6 lunya na con boi ndio kizazi cha kuikoa hiphop, sema hapa angemtoa Lunya amuweke Dizasta vina angetisha sana
Aise vitu gani hivi umeandika?
 
Kaligraph kuwadisi marapa wa kibongo hastahili hata kidogo japo anajua ila kuna nyimbo zake za ovyo sana.
 
Huyo Jamaa amesoma akili za watanzania na vitu wanavyopenda vya umbea umbea akawapa!!.. nao wameingia kichwa kichwa na Mwijaku wao.. sasa attention yote ya wabongo imehamia kwa Khaligraph ...jamaa mpaka sasa ni mshindi tu...
 
Back
Top Bottom