Uchambuzi: Yanga ilipanga kupoteza mechi ya derby

Uchambuzi: Yanga ilipanga kupoteza mechi ya derby

Labani og

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2020
Posts
19,637
Reaction score
29,473
Salam wakuu

Katika ulimwengu wa uchumi Kuna kitu kinaitwa opportunity cost ambapo una sacrifice kimoja Ili kupata kingine

Turudi kwenye uchambuzi wetu

Katika kipindi hiki Yanga ilikuwa inapitia kipindi kugumu mno kutokana na mechi ilizonazo pale mjini CAF hivyo kwenye ulimwengu wetu ilipaswa Yanga achague kimoja kati ya kushinda derby au kwenda 1/2 fainali .....

Yanga wakachagua kwenda nusu fainali na sio kumpiga kolo .....then ndicho kilichotokea pale tarehe 16 ambapo hata ukicheki evidence zifuatazo

_Yanga hakutumia nguvu nyingi katika gemu tofauti na Simba

,_yanga hawakuwa na wining mentality
_ Simba alichagua kushinda derby Kwa kuwa anajua pale mjini CAF ....mwendo kaumaliza

1680725361530.jpg
 
Salam wakuu

Katika ulimwengu wa uchumi Kuna kitu kinaitwa opportunity cost ambapo una sacrifice kimoja Ili kupata kingine

Turudi kwenye uchambuzi wetu

Katika kipindi hiki Yanga ilikuwa inapitia kipindi kugumu mno kutokana na mechi ilizonazo pale mjini CAF hivyo kwenye ulimwengu wetu ilipaswa Yanga achague kimoja kati ya kushinda derby au kwenda 1/2 fainali .....

Yanga wakachagua kwenda nusu fainali na sio kumpiga kolo .....then ndicho kilichotokea pale tarehe 16 ambapo hata ukicheki evidence zifuatazo

_Yanga hakutumia nguvu nyingi katika gemu tofauti na Simba

,_yanga hawakuwa na wining mentality
_ Simba alichagua kushinda derby Kwa kuwa anajua pale mjini CAF ....mwendo kaumaliza
Ikitokea napendelea ucheshi wako unapatikana wapi "blooo"?Si wewe na wenzako mliokuwa mkihanikiza kwamba Simba atafungwa kabla ya mechi?Daima mbele "bloo",nyuma ungalipo mwiko!😜
 
Salam wakuu

Katika ulimwengu wa uchumi Kuna kitu kinaitwa opportunity cost ambapo una sacrifice kimoja Ili kupata kingine

Turudi kwenye uchambuzi wetu

Katika kipindi hiki Yanga ilikuwa inapitia kipindi kugumu mno kutokana na mechi ilizonazo pale mjini CAF hivyo kwenye ulimwengu wetu ilipaswa Yanga achague kimoja kati ya kushinda derby au kwenda 1/2 fainali .....

Yanga wakachagua kwenda nusu fainali na sio kumpiga kolo .....then ndicho kilichotokea pale tarehe 16 ambapo hata ukicheki evidence zifuatazo

_Yanga hakutumia nguvu nyingi katika gemu tofauti na Simba

,_yanga hawakuwa na wining mentality
_ Simba alichagua kushinda derby Kwa kuwa anajua pale mjini CAF ....mwendo kaumaliza
Hadithi nzuri...
 
Nmetoa fact mkuu.....kama ulicheki Ile mech uliona kabisa mayele + Aziz ki wangetoka na magoli ya kutosha
Sasa kama wangetoka na magoli mbn hawakufunga????.... nyie mlipigwa vitu vingine hata sio vya kila mtu kuongea, hakuna kitu ambacho timu inapenda kama ushindi kuelekea mechi kubwa kwahiyo hiyo ni hoja dhaifu kuliko zote!!!!!
 
Back
Top Bottom