Kilimbatzz
JF-Expert Member
- Feb 11, 2023
- 9,134
- 14,593
AaaaaaaahaaNADHANI MAKOLO SASA MMEELEWA
YANGA ILIPOTEZA DERBY MAKUSUDICALLY ILI KUSHINDA MECHI YA KIMATAIFA
Mkuu heshima kwako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AaaaaaaahaaNADHANI MAKOLO SASA MMEELEWA
YANGA ILIPOTEZA DERBY MAKUSUDICALLY ILI KUSHINDA MECHI YA KIMATAIFA
Dogo una umri gani?Jamaa katumia sarcasm.Umeingia kichwa kichwa.Tuliwaambia walikataa[emoji23]
Pia mwenzenu aliyewaita Mbumbumbu ana akili🏃Mwenzenu Haji ana akili
hapana mie ni yanga ila hatukupanga kufungwaSalam wakuu
Katika ulimwengu wa uchumi Kuna kitu kinaitwa opportunity cost ambapo una sacrifice kimoja Ili kupata kingine
Turudi kwenye uchambuzi wetu
Katika kipindi hiki Yanga ilikuwa inapitia kipindi kugumu mno kutokana na mechi ilizonazo pale mjini CAF hivyo kwenye ulimwengu wetu ilipaswa Yanga achague kimoja kati ya kushinda derby au kwenda 1/2 fainali .....
Yanga wakachagua kwenda nusu fainali na sio kumpiga kolo .....then ndicho kilichotokea pale tarehe 16 ambapo hata ukicheki evidence zifuatazo
_Yanga hakutumia nguvu nyingi katika gemu tofauti na Simba
,_yanga hawakuwa na wining mentality
_ Simba alichagua kushinda derby Kwa kuwa anajua pale mjini CAF ....mwendo kaumaliza
Salam wakuu
Katika ulimwengu wa uchumi Kuna kitu kinaitwa opportunity cost ambapo una sacrifice kimoja Ili kupata kingine
Turudi kwenye uchambuzi wetu
Katika kipindi hiki Yanga ilikuwa inapitia kipindi kugumu mno kutokana na mechi ilizonazo pale mjini CAF hivyo kwenye ulimwengu wetu ilipaswa Yanga achague kimoja kati ya kushinda derby au kwenda 1/2 fainali .....
Yanga wakachagua kwenda nusu fainali na sio kumpiga kolo .....then ndicho kilichotokea pale tarehe 16 ambapo hata ukicheki evidence zifuatazo
_Yanga hakutumia nguvu nyingi katika gemu tofauti na Simba
,_yanga hawakuwa na wining mentality
_ Simba alichagua kushinda derby Kwa kuwa anajua pale mjini CAF ....mwendo kaumaliza